Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kibarua cha Kuirejesha Manchester United juu kimekuwa kigumu sana..

naweka akiba ya maneno ila..Only Pep Can Do That..

Our Ten Hag tutamuonea tu..

huwezi beba ubingwa wa EPL na wachezaji dizaini ya Sancho, Rashford, Antony, and co..

Manchester United inahitaji 5 Worldie kubeba EPL..as of now ni Only Casimiro..ndie World Class Player..


yule bwana hamis77 huwa tunamuona snitch ila kiuhalisia yupo sahihi..

Imagine Manchester United wame spend karibu £250M.. ila mpira bado hauna uelekeo..

Mchukue Rashford mpeleke Real Madrid, Bayern Munich, Manchester City, PSG, tuone atamweka nani benchi?

Safari bado ni ndefu..tuwe na subira..ingawa bila watu sahihi wa usajili safari ni ndefu zaidi..

ETH anaweza vizur sana kama akipata nguvu ya wamiliki Pep mwenyewe hatoboi na wakina Martial mpe heshima ETH

Chaguo la kwanza kabla hajaja lilikuwa Frenkie De Jong ma boss wa wa hii timu waliishia kupiga soga tu sajili zilizokamilika zilikuwa zimebak siku mbili au moja dirisha kufungwa ina maana pre season kocha hakupata machaguo yake mfumo ushaanguka hapo

Pep msimu wa kwanza alipigania top 4 tena city imetimia haswaa kuna David silva, Kdb,Kun Aguero ,Yaya Toure , Raheem Sterling ,Kompany & Fernandinho tena hao ni top player ambao united hamna hata mmoja mwenye uwezo huo kwa kipind kile hivyo bas kapata nguvu ya wamiliki yupo pale

Mwez wa kwanza aliomba striker wakat Martial kaumia hakupata ikabidi kocha aangalie option nyingine ya mkopo wa Wout Weghorst

Eriksen anaumia wanampa mkopo wa Marcel Sabitzer timu gani iliyo serious na mashindano wanafanya huo upuuzi? Manchestet united inang'ang'ana na mikopo tena iliyojifia

Mwezi wa kwanza kulitakiwa kununuliwa striker kisha mwez wa 6 anaongezwa mshambuliaji mwingine sasa mwez wa 6 anaweza kununuliwa mshambuliaji mmoja tu akiumia timu inarudi kwa sancho,rashfotd na martial + antony kocha gan anatoboa?

Pep anamuachia Jesus anamchukua halland

Manchester united wanamuachia Ronaldo wanamchukua Wout Weghorst

Huyo Pep anatoboa?

Kinachotokea sasa ndio makocha wote wazur walikipata chini ya wamiliki wa hii timu

Mourinho alilalamika sana kuhusu usajili kuna watu humu walimponda sana mourinho ila alikuwa sahihi leo tunaona kwa Martial kinachotokea

Wao wanaangalia nani anauza jez sio nani anapiga kazi

Solskjaer alitaka kumsajili Moises Caicedo kwa £4.5 Mwez 12 mwaka 2020 waligoma wakasema hela ni nyingi sasa uliza bei yake na hii kutokana na kutokuwa na jina kipind kile biashara isingeenda kwenye jez


Mpe heshim ETH hata Pep hatoboi chini ya uongozi wa hii timu.
 
ETH anaweza vizur sana kama akipata nguvu ya wamiliki Pep mwenyewe hatoboi na wakina Martial mpe heshima ETH

Chaguo la kwanza kabla hajaja lilikuwa Frenkie De Jong ma boss wa wa hii timu waliishia kupiga soga tu sajili zilizokamilika zilikuwa zimebak siku mbili au moja dirisha kufungwa ina maana pre season kocha hakupata machaguo yake mfumo ushaanguka hapo

Pep msimu wa kwanza alipigania top 4 tena city imetimia haswaa kuna David silva, Kdb,Kun Aguero ,Yaya Toure , Raheem Sterling ,Kompany & Fernandinho tena hao ni top player ambao united hamna hata mmoja mwenye uwezo huo kwa kipind kile hivyo bas kapata nguvu ya wamiliki yupo pale

Mwez wa kwanza aliomba striker wakat Martial kaumia hakupata ikabidi kocha aangalie option nyingine ya mkopo wa Wout Weghorst

Eriksen anaumia wanampa mkopo wa Marcel Sabitzer timu gani iliyo serious na mashindano wanafanya huo upuuzi? Manchestet united inang'ang'ana na mikopo tena iliyojifia

Mwezi wa kwanza kulitakiwa kununuliwa striker kisha mwez wa 6 anaongezwa mshambuliaji mwingine sasa mwez wa 6 anaweza kununuliwa mshambuliaji mmoja tu akiumia timu inarudi kwa sancho,rashfotd na martial + antony kocha gan anatoboa?

Pep anamuachia Jesus anamchukua halland

Manchester united wanamuachia Ronaldo wanamchukua Wout Weghorst

Huyo Pep anatoboa?

Kinachotokea sasa ndio makocha wote wazur walikipata chini ya wamiliki wa hii timu

Mourinho alilalamika sana kuhusu usajili kuna watu humu walimponda sana mourinho ila alikuwa sahihi leo tunaona kwa Martial kinachotokea

Wao wanaangalia nani anauza jez sio nani anapiga kazi

Solskjaer alitaka kumsajili Moises Caicedo kwa £4.5 Mwez 12 mwaka 2020 waligoma wakasema hela ni nyingi sasa uliza bei yake na hii kutokana na kutokuwa na jina kipind kile biashara isingeenda kwenye jez


Mpe heshim ETH hata Pep hatoboi chini ya uongozi wa hii timu.

Namheshimu ETH Mkuu..

kafanya mambo mazuri tu Ajax pale..

But again..kama hatokuwa serious na project yake hatapushana na Solskajear..
Kawanyanyasa Eredivisie wakati ambao PSV, AZ, na Feyenoord wakiwa hou pia..

Sasa yupo mikononi mwa Pilato..

Athibitishe ubora wake..kwa kuwaondoa kina Maguire, Scott, Fred, Dalot and co.

akishindwa basi kulinda heshima ni kuiacha timu au afe na tai shingoni..

hakuna mchezaji wa kibingwa pale,,ukimwondoa Casimiro na Bruno..

Leicester ya Ranieri ilikuwa na Kante, Drinkwater, Okazaki, Mahrezi, Vardy, Huth, Morgan and co..

kwa haraka hapo wengi ni mtu kazi sio wapaka rangi..

hatuwezi shinda ubingwa winga muhimu akiwa ni mwenye assist 3 kwa msimu
 
Kweli 10Hag ana kibarua kigumu sana pale united. Leo hii akitokea mwendawazimu mmoja akasema tumuuze Rashford ili nafasi yake achukue Mitoma watu watamshangaa kama walivyokuwa wanakasirika pindi Son akikuzwa dhidi ya Rashford. Kwa sasa tunadanganywa na rekodi ya magoli yake ila jamaa anaiharibu striking force yetu sana tu kwa ajili ya kufukuzia rekodi binafsi. Takwimu ni kitu kingine ila muunganiko wa timu ni suala la msingi zaidi.

United inaharibiwa na media za uingereza pia ila hii damage ingepungua kama tungepunguza hawa kenge wa malkia kwa kiasi cha kutosha. Kwa miaka ya sasa Wingereza wanafaa kucheza nafasi za mabeki wa pembeni kuliko nafasi nyingine zozote ndani ya uwanja.

Kosa la 10Hag liko wapi kama anafundisha timu kutengeneza nafasi za kufunga na timu inafika langoni mwa adui mara kadhaa ila wanashindwa kuweka mpira kambani? Pale mbele ni mashindano ya one man show kati ya Rashford,Martial,Anthony,Garnacho,e.t.c


Na hapa ndio Pep, Josee na makocha wakali wanapopishana na wauza sura..

pamoja na hype.., Mbappe ni mchezaji bora mbali sana kwa Rashy..

Halland hata akufunge bao 4 bado anakua na kiu kali..kwetu, bao moja tumeridhika..

mwisho GD 10..

kuna Kvicha Napoli huko..
 
Namheshimu ETH Mkuu..

kafanya mambo mazuri tu Ajax pale..

But again..kama hatokuwa serious na project yake hatapushana na Solskajear..
Kawanyanyasa Eredivisie wakati ambao PSV, AZ, na Feyenoord wakiwa hou pia..

Sasa yupo mikononi mwa Pilato..

Athibitishe ubora wake..kwa kuwaondoa kina Maguire, Scott, Fred, Dalot and co.

akishindwa basi kulinda heshima ni kuiacha timu au afe na tai shingoni..

hakuna mchezaji wa kibingwa pale,,ukimwondoa Casimiro na Bruno..

Leicester ya Ranieri ilikuwa na Kante, Drinkwater, Okazaki, Mahrezi, Vardy, Huth, Morgan and co..

kwa haraka hapo wengi ni mtu kazi sio wapaka rangi..

hatuwezi shinda ubingwa winga muhimu akiwa ni mwenye assist 3 kwa msimu

Na timu imeyumba baada ya kupata injury za kutosha
Rashford mwenyewe ka drop
Martnez
Varane

Shaw kachangia sana upatikanaji wa magoli kwa sasa hamna tena anacheza namba 5 jambo lililosababishwa na injury alikuwa akicheza vizur sana upande wa kushoto na rashford

Pamoja na yote rashford hanishawishi kama tu ambae tunaweza kumtegemea ktk harakat za kufunga
 
Na timu imeyumba baada ya kupata injury za kutosha
Rashford mwenyewe ka drop
Martnez
Varane

Shaw kachangia sana upatikanaji wa magoli kwa sasa hamna tena anacheza namba 5 jambo lililosababishwa na injury alikuwa akicheza vizur sana upande wa kushoto na rashford

Pamoja na yote rashford hanishawishi kama tu ambae tunaweza kumtegemea ktk harakat za kufunga
mimi ni the three Lions

Ila kwa kweli siwapendi hao vijana..

Sijui huwa hawaangalii clip za wayne Rooney
 
Na timu imeyumba baada ya kupata injury za kutosha
Rashford mwenyewe ka drop
Martnez
Varane

Shaw kachangia sana upatikanaji wa magoli kwa sasa hamna tena anacheza namba 5 jambo lililosababishwa na injury alikuwa akicheza vizur sana upande wa kushoto na rashford

Pamoja na yote rashford hanishawishi kama tu ambae tunaweza kumtegemea ktk harakat za kufunga
Still bado tunacheza kwa moments hata tukiwa timilifu..

Ile spirit ya kupambana hadi dk 90 haipo..

Ni kweli kuna siku ngumu katika mpira hata kwa timu bora..ila Utd zote tu zinakuwa ngumu..

Tiba kama kweli wapo serious ni kuondoa wazembe wote..
Walichofanya wa CR7 wakifanye na kwa watoto wao
 
Still bado tunacheza kwa monents hata tukiwa timilifu..

Ile spirit ya kupambana hadi dk 90 haipo..

Ni kweli kuna siku ngumu katika mpira hata kwa timu bora..ila Utd zote tu zinakuwa ngumu..

Tiba kama kweli wapo serious ni kuondoa wazembe wote..
Walichofanya wa CR7 wakifanye na kwa watoto wao
Wakati 10Hag anawasili alikuwa anasisitiza kumiliki mchezo kuliko mpinzani,lakini cha ajabu karibu game zote hasa kipindi cha pili wapinzani wamekuwa wakimiliki wao mchezo na sisi tumekuwa wahangaikaji tu. Hii inaashiria kwamba bado mwalimu hajafikia pale anapotaka timu iwe labda kwa kukosa wachezaji sahihi au mbinu zake hazijakaa vizuri kwenye mafuvu ya wachezaji waliopo.

Bado nina imani na huyu kipara wetu.
 
Wakati 10Hag anawasili alikuwa anasisitiza kumiliki mchezo kuliko mpinzani,lakini cha ajabu karibu game zote hasa kipindi cha pili wapinzani wamekuwa wakimiliki wao mchezo na sisi tumekuwa wahangaikaji tu. Hii inaashiria kwamba bado mwalimu hajafikia pale anapotaka timu iwe labda kwa kukosa wachezaji sahihi au mbinu zake hazijakaa vizuri kwenye mafuvu ya wachezaji waliopo.

Bado nina imani na huyu kipara wetu.
Tuishi kwa Imani..nina hakika hata wao wanaumiza vichwa..

Ila walete wavuja jasho kulko wachezaji wa kideo..

Kweli de Jong ni mchezaji mzuri ila kama hataki kuja waachane nae..dunia ina wachezaji wengi wazuri kumzidi..
 
Tuishi kwa Imani..nina hakika hata wao wanaumiza vichwa..

Ila walete wavuja jasho kulko wachezaji wa kideo..

Kweli de Jong ni mchezaji mzuri ila kama hataki kuja waachane nae..dunia ina wachezaji wengi wazuri kumzidi..
Ukiwaangalia BHA wanavyocheza halafu uambiwe umri wao pamoja na thamani yao kama timu,huwa unashangaa scouting ya man utd huwa inafanyia kazi nchi gani.
 
Kwa hali ilivyo Liverpool anaweza kushinda mechi zake zote zilizobaki.

Wale viazi kesho ni lazima washinde, tunahitaji points 9. Wasipoacha utoto na uchoyo litawaluta jambo. Chelsea kashaanza kukataa unyonge.
Hapo ndio watakapotuchosha "the super stars"
 
Ukiwaangalia BHA wanavyocheza halafu uambiwe umri wao pamoja na thamani yao kama timu,huwa unashangaa scouting ya man utd huwa inafanyia kazi nchi gani.
Hili litimu limejifia from top to bottom. Wao ni bendera fuata upepo na kusajili wachezaji kwa lengo la kibiashara zaidi.

Hivi mchezaji kama Sancho kwanini analipwa £350k?

De Gea kwanini anabaki? Ili alipwe £250k, kwa kazi ipi anayofanya?
 
Ukiwaangalia BHA wanavyocheza halafu uambiwe umri wao pamoja na thamani yao kama timu,huwa unashangaa scouting ya man utd huwa inafanyia kazi nchi gani.
Utd imeanguka sana..

Sawa Liverpool walianguka pia
Arsenal walianguka pia..

Ila hawakuwahi kuwekeza kama Manchester United..

Timu bado ipo na Jones..then inataka ubingwa?
Huo ujomba ujomba tutasubiri sana..
 
Hili litimu limejifia from top to bottom. Wao ni bendera fuata upepo na kusajili wachezaji kwa lengo la kibiashara zaidi.

Hivi mchezaji kama Sancho kwanini analipwa £350k?

De Gea kwanini anabaki? Ili alipwe £250k, kwa kazi ipi anayofanya?
Ndio maana naamini mwanadamu aina ya Pep angeamua kuondoka..

Dawa ilioshiriki kutoponya haiwezi kuwa na jipya hata ukileta tiba mpya..

Ondoa wote walioshiriki anguko..

Utaskia eti Scott abaki..utasikia Martial awe back up..

Miaka nane hana jipya wala record ya kueleweka ila eti ni kipenzi cha wenye timu
 
Ukiwaangalia BHA wanavyocheza halafu uambiwe umri wao pamoja na thamani yao kama timu,huwa unashangaa scouting ya man utd huwa inafanyia kazi nchi gani.
Brighton
Brentford
Newcastle utd
Aston Villa post Gerard
Fulham

Wamecheza vizuri kutuzidi kwa muda mwingi ..

Sasa njoo linganisha na wachezaji wetu wenye mamishahara yao..so sad..

Unajiuliza kwa nini hukuzaliwa Uingereza jiji la Manchester ukapewa tu kauwezo kidogo ka kusukuma kandanda?
 
Utd imeanguka sana..

Sawa Liverpool walianguka pia
Arsenal walianguka pia..

Ila hawakuwahi kuwekeza kama Manchester United..

Timu bado ipo na Jones..then inataka ubingwa?
Huo ujomba ujomba tutasubiri sana..
Timu kama Madrid ipo juu kwenye soka Ulaya na Duniani kwa kufanya kazi bila kuangaliana usoni.

Unalipwa ufanye kazi ya watu kama kazi nyingine tu na siyo mchezo.

Hilo limewasaidia Madrid wachezaji wao wakongwe kuishi ktk misingi hiyo hata hawa madogo wakienda wanakuta ni kazikazi.

United alipoondoka SAF aliondoka na nguvu na ushawishi wake, kizazi cha wakina Rashford na Lingard kikakutana na mhuni kama Rooney (heshima kwake legend).

Sasa hivi timu imejaa mabishoo tu. Sancho, Rashford, Garnacho, Antony. Wakija madogo wengine nao wanakuta Carrington ni sehemu ya kula bata tu.
 
Back
Top Bottom