Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tuishi kwa Imani..nina hakika hata wao wanaumiza vichwa..

Ila walete wavuja jasho kulko wachezaji wa kideo..

Kweli de Jong ni mchezaji mzuri ila kama hataki kuja waachane nae..dunia ina wachezaji wengi wazuri kumzidi..
Ukiwaangalia BHA wanavyocheza halafu uambiwe umri wao pamoja na thamani yao kama timu,huwa unashangaa scouting ya man utd huwa inafanyia kazi nchi gani.
 
Kwa hali ilivyo Liverpool anaweza kushinda mechi zake zote zilizobaki.

Wale viazi kesho ni lazima washinde, tunahitaji points 9. Wasipoacha utoto na uchoyo litawaluta jambo. Chelsea kashaanza kukataa unyonge.
Hapo ndio watakapotuchosha "the super stars"
 
Ukiwaangalia BHA wanavyocheza halafu uambiwe umri wao pamoja na thamani yao kama timu,huwa unashangaa scouting ya man utd huwa inafanyia kazi nchi gani.
Hili litimu limejifia from top to bottom. Wao ni bendera fuata upepo na kusajili wachezaji kwa lengo la kibiashara zaidi.

Hivi mchezaji kama Sancho kwanini analipwa £350k?

De Gea kwanini anabaki? Ili alipwe £250k, kwa kazi ipi anayofanya?
 
Ukiwaangalia BHA wanavyocheza halafu uambiwe umri wao pamoja na thamani yao kama timu,huwa unashangaa scouting ya man utd huwa inafanyia kazi nchi gani.
Utd imeanguka sana..

Sawa Liverpool walianguka pia
Arsenal walianguka pia..

Ila hawakuwahi kuwekeza kama Manchester United..

Timu bado ipo na Jones..then inataka ubingwa?
Huo ujomba ujomba tutasubiri sana..
 
Hili litimu limejifia from top to bottom. Wao ni bendera fuata upepo na kusajili wachezaji kwa lengo la kibiashara zaidi.

Hivi mchezaji kama Sancho kwanini analipwa £350k?

De Gea kwanini anabaki? Ili alipwe £250k, kwa kazi ipi anayofanya?
Ndio maana naamini mwanadamu aina ya Pep angeamua kuondoka..

Dawa ilioshiriki kutoponya haiwezi kuwa na jipya hata ukileta tiba mpya..

Ondoa wote walioshiriki anguko..

Utaskia eti Scott abaki..utasikia Martial awe back up..

Miaka nane hana jipya wala record ya kueleweka ila eti ni kipenzi cha wenye timu
 
Ukiwaangalia BHA wanavyocheza halafu uambiwe umri wao pamoja na thamani yao kama timu,huwa unashangaa scouting ya man utd huwa inafanyia kazi nchi gani.
Brighton
Brentford
Newcastle utd
Aston Villa post Gerard
Fulham

Wamecheza vizuri kutuzidi kwa muda mwingi ..

Sasa njoo linganisha na wachezaji wetu wenye mamishahara yao..so sad..

Unajiuliza kwa nini hukuzaliwa Uingereza jiji la Manchester ukapewa tu kauwezo kidogo ka kusukuma kandanda?
 
Utd imeanguka sana..

Sawa Liverpool walianguka pia
Arsenal walianguka pia..

Ila hawakuwahi kuwekeza kama Manchester United..

Timu bado ipo na Jones..then inataka ubingwa?
Huo ujomba ujomba tutasubiri sana..
Timu kama Madrid ipo juu kwenye soka Ulaya na Duniani kwa kufanya kazi bila kuangaliana usoni.

Unalipwa ufanye kazi ya watu kama kazi nyingine tu na siyo mchezo.

Hilo limewasaidia Madrid wachezaji wao wakongwe kuishi ktk misingi hiyo hata hawa madogo wakienda wanakuta ni kazikazi.

United alipoondoka SAF aliondoka na nguvu na ushawishi wake, kizazi cha wakina Rashford na Lingard kikakutana na mhuni kama Rooney (heshima kwake legend).

Sasa hivi timu imejaa mabishoo tu. Sancho, Rashford, Garnacho, Antony. Wakija madogo wengine nao wanakuta Carrington ni sehemu ya kula bata tu.
 
Timu kama Madrid ipo juu kwenye soka Ulaya na Duniani kwa kufanya kazi bila kuangaliana usoni.

Unalipwa ufanye kazi ya watu kama kazi nyingine tu na siyo mchezo.

Hilo limewasaidia Madrid wachezaji wao wakongwe kuishi ktk misingi hiyo hata hawa madogo wakienda wanakuta ni kazikazi.

United alipoondoka SAF aliondoka na nguvu na ushawishi wake, kizazi cha wakina Rashford na Lingard kikakutana na mhuni kama Rooney (heshima kwake legend).

Sasa hivi timu imejaa mabishoo tu. Sancho, Rashford, Garnacho, Antony. Wakija madogo wengine nao wanakuta Carrington ni sehemu ya kula bata tu.
Real Madrid kwangu mimi ndio timu pekee inayoweza sajili jina na likazaa matunda..

Mchezaji kama Pogba Pale Madrid wala asingekuwa anaongea shit..

Ibebe timu, ikubebe..

Imagine waliachana na Ronaldo ambaye bado alibeba kiatu Serie A..

Sancho tumefukuzia miaka miwili..
Anthony tumelipa €100

Then eti anacheza show off..

Nakumbuka Man City Vs nimesahau,,
Walikuwa wakiongoza magoli mengi sana, ikapatikana penalty..
Ederson akataka kwenda kuipiga ili nae aingie kwenye vitabu vya wafungaji..
Pep alikataa huo ushenzi..
Nidhamu kwa na heshima kwa mpinzani iwepo haijalishi unaongoza ngapi wala ni dakika ya ngapi..
 
Timu kama Madrid ipo juu kwenye soka Ulaya na Duniani kwa kufanya kazi bila kuangaliana usoni.

Unalipwa ufanye kazi ya watu kama kazi nyingine tu na siyo mchezo.

Hilo limewasaidia Madrid wachezaji wao wakongwe kuishi ktk misingi hiyo hata hawa madogo wakienda wanakuta ni kazikazi.

United alipoondoka SAF aliondoka na nguvu na ushawishi wake, kizazi cha wakina Rashford na Lingard kikakutana na mhuni kama Rooney (heshima kwake legend).

Sasa hivi timu imejaa mabishoo tu. Sancho, Rashford, Garnacho, Antony. Wakija madogo wengine nao wanakuta Carrington ni sehemu ya kula bata tu.
Ni bahati tu wote Chelsea, Tottenham, na Liverpool wapo vibaya..

Haijalishi form ya Rashy wala uwezo wa Casi..
Ni dhahiri EtH angekuwa kwenye red zone..
 
ETH anaweza vizur sana kama akipata nguvu ya wamiliki Pep mwenyewe hatoboi na wakina Martial mpe heshima ETH

Chaguo la kwanza kabla hajaja lilikuwa Frenkie De Jong ma boss wa wa hii timu waliishia kupiga soga tu sajili zilizokamilika zilikuwa zimebak siku mbili au moja dirisha kufungwa ina maana pre season kocha hakupata machaguo yake mfumo ushaanguka hapo

Pep msimu wa kwanza alipigania top 4 tena city imetimia haswaa kuna David silva, Kdb,Kun Aguero ,Yaya Toure , Raheem Sterling ,Kompany & Fernandinho tena hao ni top player ambao united hamna hata mmoja mwenye uwezo huo kwa kipind kile hivyo bas kapata nguvu ya wamiliki yupo pale

Mwez wa kwanza aliomba striker wakat Martial kaumia hakupata ikabidi kocha aangalie option nyingine ya mkopo wa Wout Weghorst

Eriksen anaumia wanampa mkopo wa Marcel Sabitzer timu gani iliyo serious na mashindano wanafanya huo upuuzi? Manchestet united inang'ang'ana na mikopo tena iliyojifia

Mwezi wa kwanza kulitakiwa kununuliwa striker kisha mwez wa 6 anaongezwa mshambuliaji mwingine sasa mwez wa 6 anaweza kununuliwa mshambuliaji mmoja tu akiumia timu inarudi kwa sancho,rashfotd na martial + antony kocha gan anatoboa?

Pep anamuachia Jesus anamchukua halland

Manchester united wanamuachia Ronaldo wanamchukua Wout Weghorst

Huyo Pep anatoboa?

Kinachotokea sasa ndio makocha wote wazur walikipata chini ya wamiliki wa hii timu

Mourinho alilalamika sana kuhusu usajili kuna watu humu walimponda sana mourinho ila alikuwa sahihi leo tunaona kwa Martial kinachotokea

Wao wanaangalia nani anauza jez sio nani anapiga kazi

Solskjaer alitaka kumsajili Moises Caicedo kwa £4.5 Mwez 12 mwaka 2020 waligoma wakasema hela ni nyingi sasa uliza bei yake na hii kutokana na kutokuwa na jina kipind kile biashara isingeenda kwenye jez


Mpe heshim ETH hata Pep hatoboi chini ya uongozi wa hii timu.
Ole aliwadokeza United kuhusu kumsajili Haaland kipindi bado yupo Molde, akampeleka Bellingham mpaka Carrington ktk harakati za kumsajili, akamtaka Caicedo, Camavinga, Alvarez.

United imefeli pakubwa sana.
20230506_202204.jpg
 
Real Madrid kwangu mimi ndio timu pekee inayoweza sajili jina na likazaa matunda..

Mchezaji kama Pogba Pale Madrid wala asingekuwa anaongea shit..

Ibebe timu, ikubebe..

Imagine waliachana na Ronaldo ambaye bado alibeba kiatu Serie A..

Sancho tumefukuzia miaka miwili..
Anthony tumelipa €100

Then eti anacheza show off..

Nakumbuka Man City Vs nimesahau,,
Walikuwa wakiongoza magoli mengi sana, ikapatikana penalty..
Ederson akataka kwenda kuipiga ili nae aingie kwenye vitabu vya wafungaji..
Pep alikataa huo ushenzi..
Nidhamu kwa na heshima kwa mpinzani iwepo haijalishi unaongoza ngapi wala ni dakika ya ngapi..
20230506_210134.jpg

Kocha wako Pep huyo. 😂 Huyu jamaa ana mentality ya ushindi, kaongea kitu kikubwa sana. Unaona nafasi waliyopata Gundo kaipoteza na mechi ikaisha 2-1 ni kwasababu tu City wapo vizuri defensively.

Sasa rejea mechi ya United na Sevilla wakati tunaongoza 2-0 wachezaji wakawa hawatumii nafasi vizuri kwa uchoyo na ubinafsi matokeo yake dk ya 80 watu wanajua mechi imeisha, mpira unaisha 2-2.
 
View attachment 2612441
Kocha wako Pep huyo. Huyu jamaa ana mentality ya ushindi, kaongea kitu kikubwa sana. Unaona nafasi waliyopata Gundo kaipoteza na mechi ikaisha 2-1 ni kwasababu tu City wapo vizuri defensively.

Sasa rejea mechi ya United na Sevilla wakati tunaongoza 2-0 wachezaji wakawa hawatumii nafasi vizuri kwa uchoyo na ubinafsi matokeo yake dk ya 80 watu wanajua mechi imeisha, mpira unaisha 2-2.
mentality za kibingwa..

Mpe heshima mpinzani wako..

Sisi tukaleta mizaha Anfield ambako SAF anakiri ni kiwanja ambacho viti vyake alikuwa akihisi vinawaka moto..


Kwa ufupi EtH namkubali kama kocha anaeibukia ila awe makini sana na project yake.. alete wachezaji wenye maturity kama Lisandro..hawa wazee wa Spin watamwoteshea majani Kibaruani..

Miaka 21 anaitwa mtoto..

Kina Rooney wame-battle wakiwa na umri gani?
Halland ana umri gani?
ÇR7 na Leo wamebeba tuzo wakiwa na umri gani?

Rash eti bado anakua
Antony bado
Sancho bado mtoto..

Jude kakomaa?
 
Back
Top Bottom