Bora mzuka tu kule ile takataka martial.Weghorst again..
EtH bana..
Sema team yetu ni noma inafurahishaGoal difference ni 9..
Hii inaonyesha ni kiasi gani tumekuwa butu kwenye magoli..
Twende mbele turudi nyuma hii game ni MUHIMU SANA KUSHINDA tukae top3 Liva anakuja kwa kasi sana kabakiza game 3 na vibonde kina Leicster
Weghorst dakka za mwanzo yuko vizuri sana leo tunaimani naeHamuwezi kushinda hii game na takataka kama weghorst
Tumebeba kombe mbele yao. Arsenyani wanatusaidia kwenda Champions League msimu ujao.Beating Newcastle isn't for everybody