Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Line up vs WestHam 4-2-3-1

Screenshot_20230507-182110.jpg


David de Gea,

Bissaka Lindelof Shaw malacia

Casemiro Eriksen


Rashford bruno Sancho,

Martial
 
Kama umeelewa huu mfumo wa ten hag nipe like.
Screenshot_20230507-203747.jpg

Hii style utamuona shaw akiwa kushoto na kati, na malacia akipanda kucheza na viungo.


Hiinstyle ya kuua winga ya kulia.

Wengi wanaomlaumu Antony wanashindwa kugundua, Antony typo kweny mission maalum.

Weghorst no false number 9. Huyu anamsaada kwenye ukabaji. Muangalie mara zote anapokea na kukaba. Mweny kazi yake ya kuambaa na mpira ni rashford.

Ukweli ni kwamba united ni kama vile haina mfungaji
 
Goal difference ni 9..

Hii inaonyesha ni kiasi gani tumekuwa butu kwenye magoli..
Sema team yetu ni noma inafurahisha
Pamoja na GD ya 9 lakini DDG ndo anaongoza kwa cleansheet

Mechi zilizotucost ni Man city 6-3 liverpool 7-0 brentford 4-0 na nyingine zinazoishia 2-2 kama spurs 3-2 kwa arsenal
 
Back
Top Bottom