Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Unaona timu nyingi zinafanya usajili ila United hakuna kinachofanyika.Acha tuone msimu mpya utaanza vipi..kakini tupo taratibu sana..
unafuu wetu wakubwa wenzetu pia jua likawie kuchomoza
Unaona timu nyingi zinafanya usajili ila United hakuna kinachofanyika.Acha tuone msimu mpya utaanza vipi..kakini tupo taratibu sana..
unafuu wetu wakubwa wenzetu pia jua likawie kuchomoza
Unaona timu nyingi zinafanya usajili ila United hakuna kinachofanyika.Acha tuone msimu mpya utaanza vipi..kakini tupo taratibu sana..
unafuu wetu wakubwa wenzetu pia jua likawie kuchomoza
Ni kweli hiyo yote ni kwasababu Bado team yetu na body kuwa na msimamo juu ya mustakabali wa teamUnaona timu nyingi zinafanya usajili ila United hakuna kinachofanyika.
Hutasikia wakimtaka mchezaji kama huyu unaweza kusikia sahv wanamtaka lukaku tena au pogba kwa 80mil 😀Kuna chuma hiki cha ki-Japan "Kyogo Furuhashi" niliangalia mechi moja ya Celtic nikajiuliza kwanini Martial anacheza United?
Market value €9m - €15m.
View attachment 2611399
Bodi bado haina msimamo au timu bado haieleweki mustakabali wake ?Ni kweli hiyo yote ni kwasababu Bado team yetu na body kuwa na msimamo juu ya mustakabali wa team
Wachezaji pesa nyingi ila hawaoneshi thamani ya pesaUkweli usemwe tuu majina unatengeneza tatizo , timu zimehama kwenye huo mfumo wa majina , ukileta wachezaji watatu wenye majina hasa safu ya ushambuliaji 80% unaenda kufeli , wengi hujiangalia wao ili washine na wazihirishe Uma kuwa wapo vzuri , hapa Gharama yake ni kuwa timu inakosa muunganiko ,
Pale Madrid angalia wale madogo akina Vini , sjui wametokea huko Brazil na hawana selfish hii inafanya Benzema anatupia tuu, angalia Napoli jinsi walivyo na team work , iangalie mancity , angalia hata arsenal, .... Alaf njoo Kwa PSG uone tatizo lilipo, njoo Kwa Man U ....
Solution Man u iuzwe Kwa mwarabu , ili aisuke upya bila pressure ya machawa , na wajuaji , wazoefu wabaki eneo la midfielder tuu, na striker finisher wa maana
Hii timu ina waongeaji Sana pale uingereza , too much know wengi , yaan kocha unaanza kuyumbishwa kabla hata hujaanza kibarua
Rashford hapana, ana kituMbona umemsahau Rashford mkuu?
Nakubaliana, na inafanya tukose magoli mengi na kufanya Goal difference ya 9+Hyo namba mbili ni tatizo kubwa mno , solution yake ondoa wote wenye majina leta madogo kama Mitoma , alaf ndo ulete striker finisher kama Kane ndo utaona matokeo , Ila hao selfish waliopo Huyo Kane ni Nani boya atakuwa anamlisha afunge yeye alaf wao wasionekane kitu ambacho Ronaldo mwenyewe kilimshinda sababu ya majungu ya hao madogo , kama Kane akija akifikisha magoli 15 kwenye ligi basi ni mwanaume , Antony , Rashford , Sancho , Martial etc wote wanataka wafunge
Nachukua Lukaku kiroho safi sio kubaki na Martial au yule tall Werghost. Martial hawezi tena kuimprove atleast Rashford anakaza kaza siku hiziHutasikia wakimtaka mchezaji kama huyu unaweza kusikia sahv wanamtaka lukaku tena au pogba kwa 80mil![]()
Replacement zipi na wakati kocha mwenyewe anaonekana hata jicho la kusajili wachezaji wazuri hanaHuwezi kujenga timu huku ukiwa na mafurushi mengi tu klabuni..
Fagia na fanya replacement ya kweli.
Ni ukweli mchungu.Kweli 10Hag ana kibarua kigumu sana pale united. Leo hii akitokea mwendawazimu mmoja akasema tumuuze Rashford ili nafasi yake achukue Mitoma watu watamshangaa kama walivyokuwa wanakasirika pindi Son akikuzwa dhidi ya Rashford. Kwa sasa tunadanganywa na rekodi ya magoli yake ila jamaa anaiharibu striking force yetu sana tu kwa ajili ya kufukuzia rekodi binafsi. Takwimu ni kitu kingine ila muunganiko wa timu ni suala la msingi zaidi.
United inaharibiwa na media za uingereza pia ila hii damage ingepungua kama tungepunguza hawa kenge wa malkia kwa kiasi cha kutosha. Kwa miaka ya sasa Wingereza wanafaa kucheza nafasi za mabeki wa pembeni kuliko nafasi nyingine zozote ndani ya uwanja.
Kosa la 10Hag liko wapi kama anafundisha timu kutengeneza nafasi za kufunga na timu inafika langoni mwa adui mara kadhaa ila wanashindwa kuweka mpira kambani? Pale mbele ni mashindano ya one man show kati ya Rashford,Martial,Anthony,Garnacho,e.t.c
Sisi na nyie Nani hastahili kucheza Uefa nyie toka kombe la Uefa limeanza mjawai kubeba nyie ndo hamkustahili kwenda.Oyaa nyie nyumbu achieni hiyo top 4 waingie liverkuku. Hamstahili kucheza champions league na sie.