Mr Mike
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 222
- 466
Pep msimu wake wa kwanza alifanya nini City?
Wala huhitaji World class players kubeba EPL, unahitaji wachezaji sahihi tu. Wengi mnashindwa kuelewa United ina matatizo kwenye kila eneo: kuanzia GK, CB, RB, CM, ST.
Hata wakisajili hayo maeneo yote bado nafasi ya kubeba EPL msimu ujao ni ndogo sana, zaidi tutakuwa title contenders. Maana ndiyo kwanza kila usajili tunafanya kwa ajili ya first eleven na siyo squad depth.
Tumetumia £250m kuboresha maeneo kadhaa. Timu ni kiungo na hilo ni eneo United hatuna watu sahihi, hatuna striker, hatuna top quality CBs: ameumia Martinez na Varane tuna-drop points. Hatuna RB wa kuweza ku-link up na RW: ikumbukwe Sancho pale Dortmund alikuwa anacheza na Hakimi.
Ten Hag ni kocha anayeonyesha mwanga, kwanza kaleta ball-passing CB "Martinez" baada ya kipindi kirefu United tumepata DM "Casemiro" kamleta Antony na sasa anamtaka Frimpong ambaye sasa anacheza RW ila yeye anataka amtumie kama RB ku-influence RWs zake.
Huwezi kucheza total football ukimtegemea De Gea "stopper" ambaye anashindwa kuanzisha mashambulizi na hawezi kumiliki eneo lake vizuri. De Gea ndiyo chanzo cha United kupoteza mipira kila muda anapopata anabutua, kipa wa Brighton (2nd GK) jana katoa somo.
Rashford, Sancho, Antony ni wachezaji wazuri sana tu, tukiboresha eneo la kiuongo kwa kumpata ball carrier "De Jong", ST, CB, RB, GK tutabadilika kiuchezaji.
Suala la ku-spend na kufanya vizuri havina uhusiano. Chelsea £600m imetumika na bado timu haina muunganiko.
Shukurani Mkuu..
ni kweli timu ina changamoto nyingi ila hatuna mentality sahihi za kibingwa..
Pep aliionesha dunia jinsi mpira wa kisasa unavyoendeshwa..
aliamini katika anachoamini..akaleta vijana wake wakafeli..
nini kilifata?
kina Bravo, Nolito and co..waliondoka..
Muangalie Lottin Mbappe..kuna siku mbaya kazini anazingua, hata dk 85 ila zile tano anaweza kubadili upepo kabisa..
marejeo ni Fainali Vs Argentina..
ukija kwetu MBE akipata goli moja ndio kwanza kawa New Lionel..
mzee Ranginick aliweka wazi matatizo ya timu.. MENTALITY ya kina Antony kuzunguka na mpira hatuwezi shinda ubingwa..
tunawaita watoto..ila Rooney na Ronaldo pale Moscow sijui walikuwa na miaka mingapi..
Manchester United wasipobadilika tutaumia sanaa..
Otherwise Chelsea wafeli katika project yao, Plus Liverpool..
usiwasahau Newcastle..
yupo Cityzen pia na Compact team ya London Babies..