Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yes panga linatakiwa lipite kuanzia kwenye beki,Maguire na Varane wauzwe watoke.
Fullbacks Dalot na Brandon William's watoke.

Kwenye midfield, Fred, atoke, striking force ondoa Martial, na Elanga

Goalkeeping De Gea ndiyo chaka la matatizo yetu kwa sasa

Changamoto timu yetu haitofanya lolote..

Martial bado wanamngoja
Scott bado wanamngoja
Maguire atarudia form ya world cup 2018
Fred wa Shaktar bado tunamngoja..

yote ya nini?

uza hata kwa bei pungufu project iendelee..

arsenal waliachana na Ozil plus Aubameyang wakiwa ma-star wa timu ili tu wasiharibu Mentality ya timu
 
Kuna chuma hiki cha ki-Japan "Kyogo Furuhashi" niliangalia mechi moja ya Celtic nikajiuliza kwanini Martial anacheza United?

Market value €9m - €15m.
20230505_213912.jpg
 
Na mimi naamini sana kwa talents ambao hawana majina
Kila mchezaji mwenye jina wanaomtaka man u dau linaanzia 100 kama wameambiana vile
Ukweli usemwe tuu majina unatengeneza tatizo , timu zimehama kwenye huo mfumo wa majina , ukileta wachezaji watatu wenye majina hasa safu ya ushambuliaji 80% unaenda kufeli , wengi hujiangalia wao ili washine na wazihirishe Uma kuwa wapo vzuri , hapa Gharama yake ni kuwa timu inakosa muunganiko ,

Pale Madrid angalia wale madogo akina Vini , sjui wametokea huko Brazil na hawana selfish hii inafanya Benzema anatupia tuu, angalia Napoli jinsi walivyo na team work , iangalie mancity , angalia hata arsenal, .... Alaf njoo Kwa PSG uone tatizo lilipo, njoo Kwa Man U ....

Solution Man u iuzwe Kwa mwarabu , ili aisuke upya bila pressure ya machawa , na wajuaji , wazoefu wabaki eneo la midfielder tuu, na striker finisher wa maana

Hii timu ina waongeaji Sana pale uingereza , too much know wengi , yaan kocha unaanza kuyumbishwa kabla hata hujaanza kibarua
 
Changamoto timu yetu haitofanya lolote..

Martial bado wanamngoja
Scott bado wanamngoja
Maguire atarudia form ya world cup 2018
Fred wa Shaktar bado tunamngoja..

yote ya nini?

uza hata kwa bei pungufu project iendelee..

arsenal waliachana na Ozil plus Aubameyang wakiwa ma-star wa timu ili tu wasiharibu Mentality ya timu
Nafikiri United wachezaji wengi hawauziki kwa sababu ya mishahara mikubwa.
Kingine wanaogopa kuvunja timu nzima kwa msimu mmoja wasijikute wanashuka daraja.
 
Nafikiri United wachezaji wengi hawauziki kwa sababu ya mishahara mikubwa.
Kingine wanaogopa kuvunja timu nzima kwa msimu mmoja wasijikute wanashuka daraja.

Acha tuone msimu mpya utaanza vipi..kakini tupo taratibu sana..

unafuu wetu wakubwa wenzetu pia jua likawie kuchomoza
 
Ukweli usemwe tuu majina unatengeneza tatizo , timu zimehama kwenye huo mfumo wa majina , ukileta wachezaji watatu wenye majina hasa safu ya ushambuliaji 80% unaenda kufeli , wengi hujiangalia wao ili washine na wazihirishe Uma kuwa wapo vzuri , hapa Gharama yake ni kuwa timu inakosa muunganiko ,

Pale Madrid angalia wale madogo akina Vini , sjui wametokea huko Brazil na hawana selfish hii inafanya Benzema anatupia tuu, angalia Napoli jinsi walivyo na team work , iangalie mancity , angalia hata arsenal, .... Alaf njoo Kwa PSG uone tatizo lilipo, njoo Kwa Man U ....

Solution Man u iuzwe Kwa mwarabu , ili aisuke upya bila pressure ya machawa , na wajuaji , wazoefu wabaki eneo la midfielder tuu, na striker finisher wa maana

Hii timu ina waongeaji Sana pale uingereza , too much know wengi , yaan kocha unaanza kuyumbishwa kabla hata hujaanza kibarua
Wachezaji pesa nyingi ila hawaoneshi thamani ya pesa
 
Hyo namba mbili ni tatizo kubwa mno , solution yake ondoa wote wenye majina leta madogo kama Mitoma , alaf ndo ulete striker finisher kama Kane ndo utaona matokeo , Ila hao selfish waliopo Huyo Kane ni Nani boya atakuwa anamlisha afunge yeye alaf wao wasionekane kitu ambacho Ronaldo mwenyewe kilimshinda sababu ya majungu ya hao madogo , kama Kane akija akifikisha magoli 15 kwenye ligi basi ni mwanaume , Antony , Rashford , Sancho , Martial etc wote wanataka wafunge
Nakubaliana, na inafanya tukose magoli mengi na kufanya Goal difference ya 9+
 
Back
Top Bottom