Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Kwa ufinyu wa kikosi chetu Bruno na Antony ndio wamekua kama Central Bolts ya timu mzima, anapokosekana mmoja wao unaona kabisa gari linalalia upande mmoja.Ulitaka nani aingie? Tuna squad depth ya aina hiyo unayofikiria?
Yani wachezaji wa United wa uhakika hawafiki 10. Waliobaki takataka wote.
Kwa shughuli aliyokua anaifanya jana Wan-Bissaka kulikua na sababu gani haswa ya msingi ya kumtoa na kumuingiza Malacia?
Tunaomba Bachelor ll asikilizwe huenda ana hoja ya msingi







4:15 night
White Hart Lane




