Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,875
- 16,442
Za ndani ndani kabisa 7Jagi ni mtoto wa dadake Luis Van Ugali, hivyo Van Ugali ni mjomba wake kabisa Majagi7.Huenda kocha ni jasusi kweli.. Haiwezekani kila siku unafanya sub za kipuuzi kama hizi, hivi weghost wa nini hawezi kukuoffer chochote zaidi ya kukimbia tu si bora hata aingie peri awapush tunaweza ambulia kitu.
Nachoona huyu utaifa sijui unamponza yani dah mechi tunapoteza kizembe kabisa, wachezaji nao wahedi goli 2 hawakabi wanatembea tu wameridhika sioni kama hilo linafanyiwa kazi.
Kipara mdomo mwingiiii timu hakuna kitu.
Kiuhalisia kabisa Ni labda kocha au timu mmoja ana bahati msimu huu ila kiukweli mechi nyingi tulipaswa kufungwa kabisa.
Anachofanya Majagi7 ni kulipa kisasi cha mjomba wake.
Hakika Bachelor ll ni jasusi mbobezi asikilizwe maana anawajua double Agents wote wa hapo Old Trafford [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]