Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |View attachment 2605091View attachment 2605092View attachment 2605093
IMG_20230430_164902_838.jpg
 
Kane ndo best option kwa sasa mkuu na ni mzoefu wa ligi.

Na mfumo wa saizi unaitaji striker Aina ya Kane mwenye uwezo wa kucheza kama namba 10.

Heshima sana,

Bora leo tumeshinda tunaweza kujadiliana pasipo bugudha.

Nakubaliana na wewe Kane ni Bonge la striker lakini ule UK wake unampandisha sana bei bila kusahau Chairman wa Spurs ni mtu wa vurugu nyingi katika masuala ya usajili.

Nadhani ni muda muafaka sasa tukajenga Team ya kesho na keshokutwa.

Ningependa sana kama tungempata mshambuliaji wa kati ya miaka 20 to 26.Mshambuliaji wa umri huu unaweza kukaa naye hata miaka 10 na bado ukamuuza.Ukimchukua leo Kane huwezi ku muuza tena ana miaka 3 hadi 5 tu.
 
Spurs ni wepesi mno, nasikitika tulikosa point 3 zao. Dk ya 6 wameshapigwa 2 tayari, Liverfool atajipitia sifa za bure hapa.
 
Back
Top Bottom