Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Screenshot_20230430_175548_All%20Goals.jpg
 
Kane ndo best option kwa sasa mkuu na ni mzoefu wa ligi.

Na mfumo wa saizi unaitaji striker Aina ya Kane mwenye uwezo wa kucheza kama namba 10.

Heshima sana,

Bora leo tumeshinda tunaweza kujadiliana pasipo bugudha.

Nakubaliana na wewe Kane ni Bonge la striker lakini ule UK wake unampandisha sana bei bila kusahau Chairman wa Spurs ni mtu wa vurugu nyingi katika masuala ya usajili.

Nadhani ni muda muafaka sasa tukajenga Team ya kesho na keshokutwa.

Ningependa sana kama tungempata mshambuliaji wa kati ya miaka 20 to 26.Mshambuliaji wa umri huu unaweza kukaa naye hata miaka 10 na bado ukamuuza.Ukimchukua leo Kane huwezi ku muuza tena ana miaka 3 hadi 5 tu.
 
Spurs ni wepesi mno, nasikitika tulikosa point 3 zao. Dk ya 6 wameshapigwa 2 tayari, Liverfool atajipitia sifa za bure hapa.
 
Heshima sana,

Bora leo tumeshinda tunaweza kujadiliana pasipo bugudha.

Nakubaliana na wewe Kane ni Bonge la striker lakini ule UK wake unampandisha sana bei bila kusahau Chairman wa Spurs ni mtu wa vurugu nyingi katika masuala ya usajili.

Nadhani ni muda muafaka sasa tukajenga Team ya kesho na keshokutwa.

Ningependa sana kama tungempata mshambuliaji wa kati ya miaka 20 to 26.Mshambuliaji wa umri huu unaweza kukaa naye hata miaka 10 na bado ukamuuza.Ukimchukua leo Kane huwezi ku muuza tena ana miaka 3 hadi 5 tu.
Martial amekuja hapo Manchester hakiwa na miaka 21 tu Mpaka leo katufanyia nini cha maana ni heli tupate Kane tumtumie hata misimu mitatu au minne tu.
 
Mbali na kupoteza sana mipira tumewashika Villa ila tulitakiwa kuua mechi kipindi cha kwanza maana dakika 45 zijazo nadhani historia tunayo humu.
 
Martial amekuja hapo Manchester hakiwa na miaka 21 tu Mpaka leo katufanyia nini cha maana ni heli tupate Kane tumtumie hata misimu mitatu au minne tu.
Usisahau Ronaldo alikuja akiwa na miaka mingapi.

Wakati wa Jose alishapendekeza tumuuze Martial wenye Team wakamgomea.

Sijakataa Kane ni mzuri lakini fedha yake ingetumika vyema tungeweza kupata washambuliaji wawili.

Tatizo letu ukilitaza utagundua team ina passengers wengi sana.leo wakiumia Rashford,Bruno au Casemiro tunapoteza mwelekeo kabisa.Dirisha dogo tumchukua kwa mkopo ngongoti hana uwezo wa kukaa na mpira,hana uwezo wa kutoa pasi za uhakika,hana uwezo wa kufunga,hana uwezo wa kuokoa jahazi team inapokuwa katika wakati mgumu.Ukweli ni very average player hasiyestahili kuvaa uzi wa Man.

Kwanini Ngongoti alisajiliwa badala world class striker,jibu ni rahisi sana fedha nyingi zilitumika kunsajili Anthony.
Wasiwasi wangu tunaweza kutumia fedha nyingi kumsajili Kane tukaacha maeneo mengine mengi yanayohitaji usajili wa maana ikiwemo mlinzi wa kati,kulia na eneo la kiungo.
 
Sijui kwanini sitaki Kane ajiunge na man United.

Nikiangalia umri na fedha watakayotaka Spurs nadhani tungetafuta option nyingine.
Naona kununuliwa kwa Kane kunapigiwa chapuo na vyombo vya habari vya Uingereza zaidi kuliko mahitaji halisi ya kocha.
Ukiwauliza kwanini Kane na sio damu changa watakwambia EPL proven player,hakuna la ziada
 
Back
Top Bottom