D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Yule bwana naye anaturudisha nyuma sana, huenda ndiye mchezaji anayeongoza kwa kupoteza mipira, juzi umemuangalia ederson anavyolaumiwa kwa simple mistakes licha ya kwamba timu yake imefunga goli, kama mchezaji haendani na huo mpira wako tafuta mwengineGoli la pili De Gea katufanyia uhuni, huwezi kubutua vile na timu iko disorganized namna halafu unabutua mpira kwenda direct kwa opponent dah.


