Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu jasusi anamtoa WB anamuingiza Malacia, halafu unamtoa Anthony unamuingiza Martial.
Maaaammae wacha tupigwe tu.
Huyu Kipara Sub zake hua zinaniacha hoi sana halafu kila siku anarudia upuuzi huohuo yaani hata hajifunzi.
Amezidiwa mbali sana na Nabi kwenye upande wa sub, mara nyingi anapuyanga tu.
 
halafu majagi7 kila mechi anarudia sub zake za kijingajinga yaani hata hajifunzi, ndio maana Bachelor ll amemuingiza kwenye list yake ya Majasusi.
Hapa akikusanya data za kijasusi ,Ingekuwa za kitimu ingesaidia

Cc : Bachelor ll
images (23).jpeg
 
GOAL! Man Utd (43")

️: Rashford
: Fernandes
 
Goli la pili De Gea katufanyia uhuni, huwezi kubutua vile na timu iko disorganized namna halafu unabutua mpira kwenda direct kwa opponent dah.
Yule bwana naye anaturudisha nyuma sana, huenda ndiye mchezaji anayeongoza kwa kupoteza mipira, juzi umemuangalia ederson anavyolaumiwa kwa simple mistakes licha ya kwamba timu yake imefunga goli, kama mchezaji haendani na huo mpira wako tafuta mwengine
 
Msimu uishe tu sasa. Kila mechi lazima uwe na wasiwasi, hakuna mechi utaangalia kwa ku-relax na ku-enjoy football.
Mechi yote unainjoy kwa dakika 20 tu halafu dakika 70 zote ni za kubana pumbuh.
Hizi mechi za usiku ni bora ulale tu asubuhi ukutane na matokeo maana hizi presha tunazopitia mpaka usingizi wenyewe unakata usiku kucha.
 
Back
Top Bottom