D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Kipara ni mshenzi
Amezidiwa mbali sana na Nabi kwenye upande wa sub, mara nyingi anapuyanga tu.Huyu jasusi anamtoa WB anamuingiza Malacia, halafu unamtoa Anthony unamuingiza Martial.
Maaaammae wacha tupigwe tu.
Huyu Kipara Sub zake hua zinaniacha hoi sana halafu kila siku anarudia upuuzi huohuo yaani hata hajifunzi.
Anapaniki kijinga sana,Amezidiwa mbali sana na Nabi kwenye upande wa sub, mara nyingi anapuyanga tu.
Leo kumlaumu De Gea ni kumuonea bure, wakulaumiwa ni Jasusi na Sub zake za kipumbavu.De Gea mchezaji wa ajabu sana, kile mechi lazima afanye kosa la kutufungisha tu duh.
Goli la pili De Gea katufanyia uhuni, huwezi kubutua vile na timu iko disorganized namna halafu unabutua mpira kwenda direct kwa opponent dah.Kuna wachezaji unatamani waendelee kuwa majeruhi ili usipate kuwaona uwanjani
Umeona goli la pili alivyowasetia spurs ?Leo kumlaumu De Gea ni kumuonea bure, wakulaumiwa ni Jasusi na Sub zake za kipumbavu.
Tena tushukuru leo Spurs hawakua na bahati tu la sivyo tulikua tunagongwa goli zisizopungua 5.
Hapa akikusanya data za kijasusi ,Ingekuwa za kitimu ingesaidiahalafu majagi7 kila mechi anarudia sub zake za kijingajinga yaani hata hajifunzi, ndio maana Bachelor ll amemuingiza kwenye list yake ya Majasusi.
Yule bwana naye anaturudisha nyuma sana, huenda ndiye mchezaji anayeongoza kwa kupoteza mipira, juzi umemuangalia ederson anavyolaumiwa kwa simple mistakes licha ya kwamba timu yake imefunga goli, kama mchezaji haendani na huo mpira wako tafuta mwengineGoli la pili De Gea katufanyia uhuni, huwezi kubutua vile na timu iko disorganized namna halafu unabutua mpira kwenda direct kwa opponent dah.
Msimu uishe tu sasa. Kila mechi lazima uwe na wasiwasi, hakuna mechi utaangalia kwa ku-relax na ku-enjoy football.



Mechi yote unainjoy kwa dakika 20 tu halafu dakika 70 zote ni za kubana pumbuh.
Wakiwa wanaongoza wanarelax wakisawazishiwa Wana attack.Wachezaji wetu wana mentality za kipumbavu sana