Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,141
- 18,803
Nyumbu Ni wajinga Sana😂
Lord of the 7 kingdom😂😂😂
Hii timu ilishajifia ni ngumu kurudi tena , tatizo kubwa ina wajuaji wengi full stop

| NEW: Erik ten Hag wants a No. 1 who is better with his feet. [@TelegraphDucker]


Mi hua sina tabia ya kukimbia jukwaa kisa kufungwa ila utabisha kwakua nyumbu ni poyoyo so huwezi elewaYote yakina hamis77 Jackwillpower Will Jr mkorea Castr yameanza kuibuka jana na leo .
Walikosa ubingwa hatowaona kabisa inaelekea watakuwa wanashinda jukwaa la mapishi.
umefufuka tuanzie tulipoishia pale kwa westHam7+3 hag hatoboi December mwakani
Sikumbuki Arsenal alifungwa liniumefufuka tuanzie tulipoishia pale kwa westHam