Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

10Hugs alijibu kwa nyodo sana baada ya kile kikombe.

"Kwadrupo" my foot...
Huyu 7Jagi binafsi nimeanza kua na mashaka nae, kikubwa alichowazidi wengine waliomtangulia ni ile kupewa mamlaka kamili ya kua na amri juu ya wachezaji, ila nje ya hapo tokea amekuja sijaona chochote alichokiongeza kwenye timu.
Zile Sub zake za kipuuzi anazozirudia mara kwa mara zinanifanya nianze kukosa matumaini juu yake.
Wengi tulimuona ni shujaa/mkombozi kwa sababu tu ya ujasiri wake wa kuwapiga benchi kina Ronaldo na Maguire.
Laiti Liverpool na Chelsea wangekua bora na imara kama misimu miwili iliyopita hata hio top4 tusingeinusa.
 
Sijawahi kumpenda wan bissaka na tokea siku ya kwanza kusajiliwa kwake nilikuwa wa kwanza kupinga usajili wake humu ndani.

Hata hivyo naiona dalili ya kwenda kufanya kosa kubwa sana la kimaamuzi kwa klabu,

  • ni kosa kumpa mkataba mpya dalot diogo na kumuuza wan bissaka
  • Diogo dalot hana sifa ya kupewa mkataba mpya
  • Ni sahihi kuwauza wote wawili na kutafuta fullback mwengine
  • Pia ni sahihi kutafuta fullback mwengine na wakati huo huo tukambakisha wan bissaka.

Muda ndiye mwalimu mzuri wa maamuzi na mawazo
Hivi umeona Dalot alichofanywa na Ocampos? Sawa hakucheza RB ila tu kiukweli Dalot ni average saana, mbavu zetu bado sana
 
Huyu 7Jagi binafsi nimeanza kua na mashaka nae, kikubwa alichowazidi wengine waliomtangulia ni ile kupewa mamlaka kamili ya kua na amri juu ya wachezaji, ila nje ya hapo tokea amekuja sijaona chochote alichokiongeza kwenye timu.
Zile Sab zake za kipuuzi anazozirudia mara kwa mara zinanifanya nianze kukosa matumaini juu yake.
Wengi tulimuona ni shujaa kwa sababu tu ya ujasiri wake wa kuwapiga benchi kina Ronaldo na Maguire.
Laiti Liverpool na Chelsea wangekua imara kama misimu miwili iliyopita hata hio top4 tusingeinusa.
s tulikubaliana ana kipara kama pep kwaio akili n zilezile
 
Huyu 7Jagi binafsi nimeanza kua na mashaka nae, kikubwa alichowazidi wengine waliomtangulia ni ile kupewa mamlaka kamili ya kua na amri juu ya wachezaji, ila nje ya hapo tokea amekuja sijaona chochote alichokiongeza kwenye timu.
Zile Sab zake za kipuuzi anazozirudia mara kwa mara zinanifanya nianze kukosa matumaini juu yake.
Wengi tulimuona ni shujaa kwa sababu tu ya ujasiri wake wa kuwapiga benchi kina Ronaldo na Maguire.
Laiti Liverpool na Chelsea wangekua imara kama misimu miwili iliyopita hata hio top4 tusingeinusa.
pole kijana
 
Huyu 7Jagi binafsi nimeanza kua na mashaka nae, kikubwa alichowazidi wengine waliomtangulia ni ile kupewa mamlaka kamili ya kua na amri juu ya wachezaji, ila nje ya hapo tokea amekuja sijaona chochote alichokiongeza kwenye timu.
Zile Sab zake za kipuuzi anazozirudia mara kwa mara zinanifanya nianze kukosa matumaini juu yake.
Wengi tulimuona ni shujaa kwa sababu tu ya ujasiri wake wa kuwapiga benchi kina Ronaldo na Maguire.
Laiti Liverpool na Chelsea wangekua imara kama misimu miwili iliyopita hata hio top4 tusingeinusa.

yamekua haya tena hongereni kwa carabao haya makombe mengine hamyaweziii . Mnatuandama sana arsenal, sasa tumewatoa kafara kuanzia kesho ni winning hizi mechi 7 ni
 
Back
Top Bottom