Mkuu usiangaike na huyo mpumbavu, mwacheni aendelee na huo upumbavu wake sisi tujifanye hatuoni@Moderator
Nimecheka sanaFather benard 😂
😂 man utd leo watafungashaNimecheka sana
Mkuu usiangaike na huyo mpumbavu, mwacheni aendelee na huo upumbavu wake sisi tujifanye hatuoni
Chap tu hakuna usumbufu tena. 😄Huyo jamaa anayetukana dawa yake ni ndogo, click/touch hapo kwenye ID yake kisha utaona sehemu imeandikwa Ignore unabonyeza unakuwa umempoteza
Ngoja tuone kama ni kweli watawaweka sokoni wachezaji 11 kama kocha alivyosema ili aweze kusajiliNadhani Man utd inaonesha moja ya madhara ya timu kumilikiwa na watu binafsi. Timu kubwa sana, ina mashabiki wengi duniani kote, historia kubwa ila ina average players kibao. Kwani madrid wanatushinda wapi? Wangekuwa wanaacha tu kushabikia timu ningeasha zamani sana kushabikia hii timu. Ila ni ngumu.