Maguire ni jasusi wa Man City operation ni kuhakikisha UTD hawapati kombe ndio maana City walitutega kama wanamtaka Maguire ila Man U waingie chaka na walivyopanda dau tu wakakimbia.Maguire kisiki ukuta wa Berlin mitano tena
Elanga winga teleza anapiga klosi dongo matata saana apewe mkataba wa maisha
Mmeshinda njaa sasa au sebuleniManchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Sevilla 1 vs Manchester United 2
Time
4:00 usiku
venue
Ramòn Pizjuàn
Last match
Manchester United 2 vs Sevilla 2
Cha ajabu tutao shinda ni man u ila wataumia mashabiki wa Arsenyani.
Kauli ni moja tu.
Pigaaaa
Uaaaaa
Chinjaaa
Malizaaaa
GGMU![]()
View attachment 2594136
Ewaaa dunia nzima inafurahaa 🤣🤣🤣🤣Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Sevilla 1 vs Manchester United 2
Time
4:00 usiku
venue
Ramòn Pizjuàn
Last match
Manchester United 2 vs Sevilla 2
Cha ajabu tutao shinda ni man u ila wataumia mashabiki wa Arsenyani.
Kauli ni moja tu.
Pigaaaa
Uaaaaa
Chinjaaa
Malizaaaa
GGMU![]()
View attachment 2594136


Maguire mmoja ni sawa na vidic 3 Evra 5 Ferdinand 7 na Rafael 9
Kamanda nimekuomba link ile unayotumua kuangalia mechiKuna nyumbu mmoja anakaa kutabiri magoli
This is for you nyumbu wewe
Ni kweli7 hag kocha wa kawaida Sana anapambwa na media tu hasa za UK
️ Tatizo ni Ronaldo
️ solved
️ Tatizo ni Wachezaji hawajitumi
️ solved
️ Tatizo hatujafanya usajili
️ solved
️ Inatakiwa mchezaji mwingine wa kumsaidia Rashford asajiliwe (Mzee ferg alisema baadhi ya mashabiki ku bet wakaanza mponda)
️ Manchester kuna tatizo kubwa sana kuna wachezaji ambao hawatakiwi kuwepo pale kabisa,kocha akaongeza wengine
️ Tatizo Ferg anaingilia maamuzi ya kocha (Mashabiki ku bet)
️ Tuna bonge la kocha (Mashabiki ku bet baada ya kula mikeka kadhaa)
️ Europa yetu (Mashabiki ku bet baada ya kuchukua Carabao)
"Ten hag ni bonge la kocha ila hawezi kuwa kocha wa United,united ni kubwa sana kwake,kocha ana Ego sana na ana dharau wapinzani na anaamini yeye ndio kila kitu amesahau hamna kijiji kinachokosa wazee,Manchester united sio Academic au Ajax,EPL sio ligi ya uholanzi huku ukiingia kwenye mfumo hata Newcastle inaweza kukupiga 7" baada ya siku chache Liverpool mbovu ikatupiga 7,