Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

️ Tatizo ni Ronaldo ️ solved

️ Tatizo ni Wachezaji hawajitumi ️ solved

️ Tatizo hatujafanya usajili ️ solved

️ Inatakiwa mchezaji mwingine wa kumsaidia Rashford asajiliwe (Mzee ferg alisema baadhi ya mashabiki ku bet wakaanza mponda)

️ Manchester kuna tatizo kubwa sana kuna wachezaji ambao hawatakiwi kuwepo pale kabisa,kocha akaongeza wengine

️ Tatizo Ferg anaingilia maamuzi ya kocha (Mashabiki ku bet)

️ Tuna bonge la kocha (Mashabiki ku bet baada ya kula mikeka kadhaa)

️ Europa yetu (Mashabiki ku bet baada ya kuchukua Carabao)

Alafu kuna sisi "Ten hag ni bonge la kocha ila hawezi kuwa kocha wa United,united ni kubwa sana kwake,kocha ana Ego sana na ana dharau wapinzani na anaamini yeye ndio kila kitu amesahau hamna kijiji kinachokosa wazee,Manchester united sio Academic au Ajax,EPL sio ligi ya uholanzi huku ukiingia kwenye mfumo hata Newcastle inaweza kukupiga 7" baada ya siku chache Liverpool mbovu ikatupiga 7,

NB:Mimi naamini Ten hag ni bonge la Kocha tuendelee nae tunaweza chukua World cup
 
Ole Guna ana uwezo mkubwa kimbinu kuliko 3+7 hag


Wachache wanaelewa hili
 
Mungu na awe upande wetu leo. Hii mechi tukitolewa itaniuma sana kushinda mechi ya 7 - 0. Tumefika hatua ambayo sisi ndiyo favourites wa kubeba UEL. Sevilla wameshatuonea sana kwenye UCL & UEL leo ndiyo siku ya kulipa kisasi na kuwaonjesha dawa yao wenyewe.

#GGMU
 
Mechi hizi zilizobaki 7hag hawezi kutoboa

Vs Spurs , mtapigwa 3-0

Vs Chelsea ,mtapigwa 2-0

Vs Brighton mtalambwa 4-0

Vs astonvilla mtakandwa 3-0
 
7 hag anatengeneza Project

Casemiro miaka 31

Eriksen miaka 32

Anthony kupigwa kwa €100m

Degea kuongezewa mkataba mrefu

Malacia Average player

PROJECT UCHWARA HII
 
7 hag anatengeneza Project

Casemiro miaka 31

Eriksen miaka 32

Anthony kupigwa kwa €100m

Degea kuongezewa mkataba mrefu

Malacia Average player

PROJECT UCHWARA HII
Hahahah! Ulikuwa unasubiri United tufungwe ndo urudi.
 
SIKU NILIPOGUNDUA MANJESTA HAWANA KOCHA ILA WANA MBABAISHAJI

Kocha wa Manchester United Erik ten Hag alimlinganisha Antony na gwiji wa Uholanzi Arjen Robben baada ya bao lake na Assist dhidi ya Nottingham Forest siku ya Jumapili.

"Namuona kama Robben, kwa mfano, Arjen Robben mara nyingi na kila mara walisema ana chenga moja tu kwenda pembeni na kuingia ndani, lakini katika chenga hiyo moja alikuwa na kipaji sana. Hakuna aliyeweza kumzuia.
 
Back
Top Bottom