Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Maguire kisiki ukuta wa Berlin mitano tena

Elanga winga teleza anapiga klosi dongo matata saana apewe mkataba wa maisha
Maguire ni jasusi wa Man City operation ni kuhakikisha UTD hawapati kombe ndio maana City walitutega kama wanamtaka Maguire ila Man U waingie chaka na walivyopanda dau tu wakakimbia.
 
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Sevilla 1 vs Manchester United 2

Time
4:00 usiku

venue
Ramòn Pizjuàn

Last match

Manchester United 2 vs Sevilla 2

Cha ajabu tutao shinda ni man u ila wataumia mashabiki wa Arsenyani.

Kauli ni moja tu.

Pigaaaa
Uaaaaa
Chinjaaa
Malizaaaa

GGMU View attachment 2594136
Mmeshinda njaa sasa au sebuleni
 
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Sevilla 1 vs Manchester United 2

Time
4:00 usiku

venue
Ramòn Pizjuàn

Last match

Manchester United 2 vs Sevilla 2

Cha ajabu tutao shinda ni man u ila wataumia mashabiki wa Arsenyani.

Kauli ni moja tu.

Pigaaaa
Uaaaaa
Chinjaaa
Malizaaaa

GGMU View attachment 2594136
Ewaaa dunia nzima inafurahaa 🤣🤣🤣🤣
 
Screenshot_20230421-104104_Samsung Internet.jpg
 
️ Tatizo ni Ronaldo ️ solved

️ Tatizo ni Wachezaji hawajitumi ️ solved

️ Tatizo hatujafanya usajili ️ solved

️ Inatakiwa mchezaji mwingine wa kumsaidia Rashford asajiliwe (Mzee ferg alisema baadhi ya mashabiki ku bet wakaanza mponda)

️ Manchester kuna tatizo kubwa sana kuna wachezaji ambao hawatakiwi kuwepo pale kabisa,kocha akaongeza wengine

️ Tatizo Ferg anaingilia maamuzi ya kocha (Mashabiki ku bet)

️ Tuna bonge la kocha (Mashabiki ku bet baada ya kula mikeka kadhaa)

️ Europa yetu (Mashabiki ku bet baada ya kuchukua Carabao)

Alafu kuna sisi "Ten hag ni bonge la kocha ila hawezi kuwa kocha wa United,united ni kubwa sana kwake,kocha ana Ego sana na ana dharau wapinzani na anaamini yeye ndio kila kitu amesahau hamna kijiji kinachokosa wazee,Manchester united sio Academic au Ajax,EPL sio ligi ya uholanzi huku ukiingia kwenye mfumo hata Newcastle inaweza kukupiga 7" baada ya siku chache Liverpool mbovu ikatupiga 7,

NB:Mimi naamini Ten hag ni bonge la Kocha tuendelee nae tunaweza chukua World cup
 
Back
Top Bottom