Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,342
- 112,218
Ndugu wa damu hawa 😂
Bora minziro kuliko huyu chacha ten hag linamuhujumu captain Maguire kisiki ukuta wa Berlin

Wachezaji wa barcelona hawakuwa ngangari kimwili ndio maana tuliweza kwenda nao.Presha ya camp nou uliiona???
Povu km loteTen Hag ni JASUSI la Dutch government hapo MANCHESTER

No, pasi kwenda kati ni best option kuliko Diagonal pasi......Degea alimrudishia mpira katika mazingira magumu ,
Tema mate kwa AWBTuna wachezaji wengi ambao viwango vyao ni kupwa na kujaa kwa maji na aliyeiharibu Man U ni sosha kwa kujaza michezaji ya kiingereza
Maguire
Bissaka
Martial
Tommy
Elanga
Fred
Werghost asipewe mkataba
Sancho apelekwe kwa mkopo timu yoyote
Degae next season awe golikipa namba 2
Bora Eric Baily sio maguire
Hao ni next levelWachezaji wa barcelona hawakuwa ngangari kimwili ndio maana tuliweza kwenda nao.
Mfano mwengine nenda kaiangalie mechi yetu dhidi ya newcastle united
Sio hii ata pale OT walipeleka moto sio haba nikajisemea tu kwa Injury hizi tukienda kwao sidhani kama kuna kutoka salamaYani hii game Sevilla walivyokuwa wanaitaka, mda wote wanakimbia. Wachezaji wa unyumbuni lazima wakalale na viatu Leo. Alaf hapo J2 mna Brighton, mbona kazi mnayo
Tema mate kwa AWB
Huyu 7Hag anazarau za kishamba sana.10 Hang kwanini uwa aanzishi full kikosi? Game ya leo hii kweli ilikuwa ya kumuweka Shaw na Rashid nje mpaka kipindi cha pili?
