Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Yeah..Leo nimeona kitu wakati tunaanzisha
Shambulizi Fullback mmoja , anakuwa anacheza sehemu ya kiungo mwingine anacheza almost as winger, then Ericksen anashuka chini katikati ya Maguire na Lindelof- kutengeneza mfumo wa 3-2-5.
Ilikuwa hivi..Dalot alikuwa anasogea katikati.