hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Wakati mwezi March tunasema Manjesta hana vigezo sio Title contender material tulionekana wehu ,kipindi hicho akiwa ameachwa point 6 na Arsenal
Muda Ni mwalimu mzuri
Bado nauliza bado mnadai nyie Ni Title contender au mmetupa Taulo?
Jaman Vita ya ubingwa Ni ngumu ,mpira wa ujanja ujanja utakusaidia mechi mbili tatu
Ila Consinstency ndio itawaumbua
Muda Ni mwalimu mzuri
Bado nauliza bado mnadai nyie Ni Title contender au mmetupa Taulo?
Jaman Vita ya ubingwa Ni ngumu ,mpira wa ujanja ujanja utakusaidia mechi mbili tatu
Ila Consinstency ndio itawaumbua

0 vs Manchester United 2
12:30
