Unafanya uchambuzi gani wewe mpuuzi? Uchambuzi wa kuiponda timu Moja tu? Peleka huko takataka zakoSasa unadhani ukitukana ukipanik inasaidia Nini ?
Mimi siwezi kutukana kutokana na mazingira yangu niliyokulia
So wewe tukana Mimi nitaendelea kufanya uchambuzi humu ukiona unaumia nipige block
United tunacheza mpira wa ujanja-ujanja sikatai ila tatizo hawa jamaa wanakuja kumlinganisha Erik ten Hag na makocha wenye profile za kawaida sana kwa kigezo cha kucheza mpira mzuri tu.Kwenye ligi ya EPL kwasasa, mpira wa kucheza kwa kusubiri counter umekosa nafasi ndio maana unaona timu zinazobeba makombe ya EPL kwa miaka ya hivi karibuni ni timu zinazocheza mpira wa kueleweka.
Inapokuja kwenye European theatre, mambo ni tofauti, timu nyingi zinazocheza mpira wa ujanja ujanja ndio zinapata mafanikio huko mostly.
Sitoshangaa ten hag akibeba Europa huku arteta akiondoka trophyless ( sababu city ndio itakua kikwazo pekee kwake kwenye ligi)
7 hag kocha wa kawaida SanaUnited tunacheza mpira wa ujanja-ujanja sikatai ila tatizo hawa jamaa wanakuja kumlinganisha Erik ten Hag na makocha wenye profile za kawaida sana kwa kigezo cha kucheza mpira mzuri tu.
Wanasahau hata Arteta wakati amepewa kazi Arsenal alikuwa hachezi kama wanavyocheza sasa, tena yeye ndiyo aliongoza kwa matokeo mabaya.
EtH msimu wake wa kwanza tayari ana nafasi ya kufuzu UCL, ana Carabao Cup na bado timu ipo kwenye makombe yote inayoshiriki msimu huu.
Arteta ana makombe mawili kama kocha wa Arsenal ktk miaka yote hiyo na hajawahi kufuzu Champions League (kabla ya msimu huu) EtH anafanya hayo ktk msimu wake wa kwanza.
EtH ameshafanya makubwa Netherlands na Ulaya kwa ujumla, msimu anaompiga Real Madrid mtasema ule ni mpira wa ujanja-ujanja?
Kama walivyompa muda Arteta, wakae kwa kutulia hivyohivyo kwasababu anaweza hata kumaliza trophyless msimu huu. EtH yupo kwenye level nyingine kabisa.
Wewe unaona timu Moja tu ,ila wachambuzi nguli tunachambua timu zoteUnafanya uchambuzi gani wewe mpuuzi? Uchambuzi wa kuiponda timu Moja tu? Peleka huko takataka zako
Nikikuita taahira nakosea wapi eti ng'ombe kama hii inajiita mchambuzi labda unachambua funza za kichwani mwako7 hag kocha wa kawaida Sana
Simuon akimaliza msimu ujao kabla hajafungashiwa virago
Pale Ajax hata Jamhuri kiwelo anabeba Erevedise ,Ni sawa na Scotland tu ,Brendan Rodger alikuwa had unbeaten
7 hag pamoja na kukuta manjesta na wachezaji wazuri na bajet kubwa akaongezewa bado janja janja kibao
Usimfananishe na Arteta ambaye ndan ya miezi 6 alibeba FA cup mbele ya Mancity ,Chelsea na Liverpool waliokuwa Moto bila Bajeti yoyote
7 hag narudia Ni kocha wakawaida Sana ,ndio maana hata usajili tu unakuonesha Ni kocha wa aina gani
Ulishajiuliza kocha aliyekaa na mchezaji Ajax (means anamjua vzr) ,bado kamleta manjesta kwa €100m ,hapo tu unapaswa ujue Huyo kocha Ni level za kina David moyesView attachment 2589582
Mimi nategemea unijibu kwa data ,Takwimu ,maelezo ya kina ,Cha ajabu unalalamika ,unatukana ,Nikikuita taahira nakosea wapi eti ng'ombe kama hii inajiita mchambuzi labda unachambua funza za kichwani mwako
Alexis Sanchez akiwa na Man U:Katika mechi 50 Arteta akiwa Arsenal.7 hag kocha wa kawaida Sana
Simuon akimaliza msimu ujao kabla hajafungashiwa virago
Pale Ajax hata Jamhuri kiwelo anabeba Erevedise ,Ni sawa na Scotland tu ,Brendan Rodger alikuwa had unbeaten
7 hag pamoja na kukuta manjesta na wachezaji wazuri na bajet kubwa akaongezewa bado janja janja kibao
Usimfananishe na Arteta ambaye ndan ya miezi 6 alibeba FA cup mbele ya Mancity ,Chelsea na Liverpool waliokuwa Moto bila Bajeti yoyote
7 hag narudia Ni kocha wakawaida Sana ,ndio maana hata usajili tu unakuonesha Ni kocha wa aina gani
Ulishajiuliza kocha aliyekaa na mchezaji Ajax (means anamjua vzr) ,bado kamleta manjesta kwa €100m ,hapo tu unapaswa ujue Huyo kocha Ni level za kina David moyesView attachment 2589582
Ona mbwa huyu hii post inahusu Chelsea na Brighton harafu hii mbwa inamu include Ten Hag huu uchafu utakuwa unaliwa huu sio bureBrighton 70% Possession Chelsea 30%
Brighton 19 shots to Chelsea 3
Brighton 437 passes, Chelsea 217
HALAFU MTU MMOJA ANAKWAMBIA 7HAG BONGE LA KOCHA
7 hag karith kikos kizuri na bajeti €250mKatika mechi 50 Arteta akiwa Arsenal.
Games: 50
Won: 21
Drawn: 12
Lost: 17
Mimi siwezi kuendelea kubishana na wewe, uko obsessed na United. EtH anafanya zaidi ya alichofanya Arteta ktk msimu wake wa kwanza.
View attachment 2589594
Idiot7 hag karith kikos kizuri na bajeti €250m
Hizo mechi 50 ndani kacheza na kina chalton , Reading, Forest Mara 3, plus mechi kibao za Cups
Arteta karith kikos kibovu huku Saka akiwa beki ,leo Ni among RW duniani with €OM bajeti
7 hag huyu huyu aliyepewa €250mOna mbwa huyu hii post inahusu Chelsea na Brighton harafu hii mbwa inamu include Ten Hag huu uchafu utakuwa unaliwa huu sio bure
Mpira unadunda ila bado sijaona Manjesta ya kuwafunga wakata kuni Nottingham forestIdiot


Hamis sometimes kwenye mpira unakuwa mjinga sana Mpaka computer Arsenal anakujua wewe kwenye mpira uwaga akili zako unaweka pembeni.Mpira unadunda ila bado sijaona Manjesta ya kuwafunga wakata kuni Nottingham forest
Mjinga pekee ndio ataamini Maguire na Malacia wanaweza kuwazuia striker machachari kama LingardView attachment 2589640
Computer Arsenal si alihamia psg ,toka lini akawa ArsenalHamis sometimes kwenye mpira unakuwa mjinga sana Mpaka computer Arsenal anakujua wewe kwenye mpira uwaga akili zako unaweka pembeni.
Nachojiuliza mbona Chelsea wametumia hela kuliko sisi lakini uwezi kuta hata mara moja unawazungumzia?
Chelsea ligi inaanza Tajiri anafanya sajili yeye ,anazamia dili za watu ,Hamis sometimes kwenye mpira unakuwa mjinga sana Mpaka computer Arsenal anakujua wewe kwenye mpira uwaga akili zako unaweka pembeni.
Nachojiuliza mbona Chelsea wametumia hela kuliko sisi lakini uwezi kuta hata mara moja unawazungumzia?
Nyie mkishinda si mnatuma had msimamo wa ligi jukwaa la Arsenalnyie Arsenal si timu Bora,.... Msitupigie kelele bure.. mbebe ubingwa wa EPL mtuoneshe mfano.