Mlamba Mawingu
Member
- Nov 18, 2019
- 52
- 165
Maguaya super striker


Kwenye ligi ya EPL kwasasa, mpira wa kucheza kwa kusubiri counter umekosa nafasi ndio maana unaona timu zinazobeba makombe ya EPL kwa miaka ya hivi karibuni ni timu zinazocheza mpira wa kueleweka.Kama Arsenyani ni timu kubwa ina tofauti gani na Roma? Hivi Arsenyani na Roma nani kacheza Champions League ktk miaka 7 iliyopita?
Mourinho yupo Roma huko timu ileile iliyokuwa ina-struggle ashawapa kombe na kuwa kocha pekee kubeba makombe yote ya UEFA.
Mafanikio ya Arteta ktk miaka yote Arsenal yanaweza kufikiwa na EtH msimu huu tena anaipeleka timu UCL. Kipindi Arsenyani mnacheza bora liende mshasahau leo EtH msimu wa kwanza mnalazimisha acheze mpira mzuri.
Spurs ni bottlers tu kama nyie, makocha wote wazuri wanafeli.


Dah unawashwa sanaBrighton ndio timu bora kwenye build up EPL na DUNIANI kudadeki
Yule de zerbi aisee mi shabiki yake kitambo
Jana ziligawia pipi pale kati
Pumbavu sana wale watoto yule hawez kuendelea kufundisha Brighton wakati kuna wajinga wanafundisha timu kubwa kama TEN HAG na Lampard
Sasa pale walimkosa beki yao Levi colwill (loan kutoka Chelsea) kudadeki Chelsea wanabeki pale(Arteta alimtaka toka yupo academy Chelsea ,now mancty na Liverpool wanamtaka dirisha kubwa)
Kazi wanayo manake wanabadiashili
Nilikuwa doubt na caicedo ktk build up kumbe ameimprove sana Ukiachana na arsenal na City sasa hivi
Watafute Brighton uburudike Yule lewis dunk Southgate hamuitagi
Halafu anaitwa magwaya mara guehi
SawaDah unawashwa sana
Wangekuwa wanaongoza ligi kwa kuwapamba hukuBrighton ndio timu bora kwenye build up EPL na DUNIANI kudadeki
Yule de zerbi aisee mi shabiki yake kitambo
Jana ziligawia pipi pale kati
Pumbavu sana wale watoto yule hawez kuendelea kufundisha Brighton wakati kuna wajinga wanafundisha timu kubwa kama TEN HAG na Lampard
Sasa pale walimkosa beki yao Levi colwill (loan kutoka Chelsea) kudadeki Chelsea wanabeki pale(Arteta alimtaka toka yupo academy Chelsea ,now mancty na Liverpool wanamtaka dirisha kubwa)
Kazi wanayo manake wanabadiashili
Nilikuwa doubt na caicedo ktk build up kumbe ameimprove sana Ukiachana na arsenal na City sasa hivi
Watafute Brighton uburudike Yule lewis dunk Southgate hamuitagi
Halafu anaitwa magwaya mara guehi
Personal issues kwa Manchester alafu unajiita mchambuzi, sikushangai na wengi mnaojiita wachambuzi bongo hizi ndo mentality zenuNi Mwendawazimu Pekee Ndio Anaweza Kuamini Kuwa Manchester United Anaweza Kumfunga Nottingham forest.
Mimi Kama Mchambuz Nikiiangalia Hii Mechi Kiufundi Sion Kama Manjesta Atachomoka.!
Kama Unabeti Mpe Nottingham forest Ashinde Ukiliw Nakurudishia Hela Yako![]()
Bajeti yao ndogo ,tunachoshangaa Yule Mitoma , Sol March wanawazidi mbali Sancho na AnthonyWangekuwa wanaongoza ligi kwa kuwapamba huku
Unamtukana mchambuzi nguli ?Wewe jamaa ni mpumbavu wa kiwango Cha PhD muda wote unashinda humu ukituma ujinga wako sijui unafanya kazi saa ngapi au ushawekwa kinyumba unatoa marinda kwa kwenda mbele?
Atumie bajeti kubwa au ndogo wewe upo huko nanjilinji inakuhusu nini sasaBajeti yao ndogo ,tunachoshangaa Yule Mitoma , Sol March wanawazidi mbali Sancho na Anthony
Ulishajiuliza mbona 7 hag alitumia bajeti kubwa lakini anarukaruka tu
Unafanya uchambuzi gani wewe mpuuzi? Uchambuzi wa kuiponda timu Moja tu? Peleka huko takataka zakoSasa unadhani ukitukana ukipanik inasaidia Nini ?
Mimi siwezi kutukana kutokana na mazingira yangu niliyokulia
So wewe tukana Mimi nitaendelea kufanya uchambuzi humu ukiona unaumia nipige block
United tunacheza mpira wa ujanja-ujanja sikatai ila tatizo hawa jamaa wanakuja kumlinganisha Erik ten Hag na makocha wenye profile za kawaida sana kwa kigezo cha kucheza mpira mzuri tu.Kwenye ligi ya EPL kwasasa, mpira wa kucheza kwa kusubiri counter umekosa nafasi ndio maana unaona timu zinazobeba makombe ya EPL kwa miaka ya hivi karibuni ni timu zinazocheza mpira wa kueleweka.
Inapokuja kwenye European theatre, mambo ni tofauti, timu nyingi zinazocheza mpira wa ujanja ujanja ndio zinapata mafanikio huko mostly.
Sitoshangaa ten hag akibeba Europa huku arteta akiondoka trophyless ( sababu city ndio itakua kikwazo pekee kwake kwenye ligi)
7 hag kocha wa kawaida SanaUnited tunacheza mpira wa ujanja-ujanja sikatai ila tatizo hawa jamaa wanakuja kumlinganisha Erik ten Hag na makocha wenye profile za kawaida sana kwa kigezo cha kucheza mpira mzuri tu.
Wanasahau hata Arteta wakati amepewa kazi Arsenal alikuwa hachezi kama wanavyocheza sasa, tena yeye ndiyo aliongoza kwa matokeo mabaya.
EtH msimu wake wa kwanza tayari ana nafasi ya kufuzu UCL, ana Carabao Cup na bado timu ipo kwenye makombe yote inayoshiriki msimu huu.
Arteta ana makombe mawili kama kocha wa Arsenal ktk miaka yote hiyo na hajawahi kufuzu Champions League (kabla ya msimu huu) EtH anafanya hayo ktk msimu wake wa kwanza.
EtH ameshafanya makubwa Netherlands na Ulaya kwa ujumla, msimu anaompiga Real Madrid mtasema ule ni mpira wa ujanja-ujanja?
Kama walivyompa muda Arteta, wakae kwa kutulia hivyohivyo kwasababu anaweza hata kumaliza trophyless msimu huu. EtH yupo kwenye level nyingine kabisa.