Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sasa unadhani ukitukana ukipanik inasaidia Nini ?

Mimi siwezi kutukana kutokana na mazingira yangu niliyokulia

So wewe tukana Mimi nitaendelea kufanya uchambuzi humu ukiona unaumia nipige block
 
Sasa unadhani ukitukana ukipanik inasaidia Nini ?

Mimi siwezi kutukana kutokana na mazingira yangu niliyokulia

So wewe tukana Mimi nitaendelea kufanya uchambuzi humu ukiona unaumia nipige block
Unafanya uchambuzi gani wewe mpuuzi? Uchambuzi wa kuiponda timu Moja tu? Peleka huko takataka zako
 
Kwenye ligi ya EPL kwasasa, mpira wa kucheza kwa kusubiri counter umekosa nafasi ndio maana unaona timu zinazobeba makombe ya EPL kwa miaka ya hivi karibuni ni timu zinazocheza mpira wa kueleweka.

Inapokuja kwenye European theatre, mambo ni tofauti, timu nyingi zinazocheza mpira wa ujanja ujanja ndio zinapata mafanikio huko mostly.

Sitoshangaa ten hag akibeba Europa huku arteta akiondoka trophyless ( sababu city ndio itakua kikwazo pekee kwake kwenye ligi)
United tunacheza mpira wa ujanja-ujanja sikatai ila tatizo hawa jamaa wanakuja kumlinganisha Erik ten Hag na makocha wenye profile za kawaida sana kwa kigezo cha kucheza mpira mzuri tu.

Wanasahau hata Arteta wakati amepewa kazi Arsenal alikuwa hachezi kama wanavyocheza sasa, tena yeye ndiyo aliongoza kwa matokeo mabaya.

EtH msimu wake wa kwanza tayari ana nafasi ya kufuzu UCL, ana Carabao Cup na bado timu ipo kwenye makombe yote inayoshiriki msimu huu.

Arteta ana makombe mawili kama kocha wa Arsenal ktk miaka yote hiyo na hajawahi kufuzu Champions League (kabla ya msimu huu) EtH anafanya hayo ktk msimu wake wa kwanza.

EtH ameshafanya makubwa Netherlands na Ulaya kwa ujumla, msimu anaompiga Real Madrid mtasema ule ni mpira wa ujanja-ujanja?

Kama walivyompa muda Arteta, wakae kwa kutulia hivyohivyo kwasababu anaweza hata kumaliza trophyless msimu huu. EtH yupo kwenye level nyingine kabisa.
 
United tunacheza mpira wa ujanja-ujanja sikatai ila tatizo hawa jamaa wanakuja kumlinganisha Erik ten Hag na makocha wenye profile za kawaida sana kwa kigezo cha kucheza mpira mzuri tu.

Wanasahau hata Arteta wakati amepewa kazi Arsenal alikuwa hachezi kama wanavyocheza sasa, tena yeye ndiyo aliongoza kwa matokeo mabaya.

EtH msimu wake wa kwanza tayari ana nafasi ya kufuzu UCL, ana Carabao Cup na bado timu ipo kwenye makombe yote inayoshiriki msimu huu.

Arteta ana makombe mawili kama kocha wa Arsenal ktk miaka yote hiyo na hajawahi kufuzu Champions League (kabla ya msimu huu) EtH anafanya hayo ktk msimu wake wa kwanza.

EtH ameshafanya makubwa Netherlands na Ulaya kwa ujumla, msimu anaompiga Real Madrid mtasema ule ni mpira wa ujanja-ujanja?

Kama walivyompa muda Arteta, wakae kwa kutulia hivyohivyo kwasababu anaweza hata kumaliza trophyless msimu huu. EtH yupo kwenye level nyingine kabisa.
7 hag kocha wa kawaida Sana

Simuon akimaliza msimu ujao kabla hajafungashiwa virago


Pale Ajax hata Jamhuri kiwelo anabeba Erevedise ,Ni sawa na Scotland tu ,Brendan Rodger alikuwa had unbeaten


7 hag pamoja na kukuta manjesta na wachezaji wazuri na bajet kubwa akaongezewa bado janja janja kibao

Usimfananishe na Arteta ambaye ndan ya miezi 6 alibeba FA cup mbele ya Mancity ,Chelsea na Liverpool waliokuwa Moto bila Bajeti yoyote


7 hag narudia Ni kocha wakawaida Sana ,ndio maana hata usajili tu unakuonesha Ni kocha wa aina gani

Ulishajiuliza kocha aliyekaa na mchezaji Ajax (means anamjua vzr) ,bado kamleta manjesta kwa €100m ,hapo tu unapaswa ujue Huyo kocha Ni level za kina David moyes
IMG_20230416_105144.jpg
 
7 hag kocha wa kawaida Sana

Simuon akimaliza msimu ujao kabla hajafungashiwa virago


Pale Ajax hata Jamhuri kiwelo anabeba Erevedise ,Ni sawa na Scotland tu ,Brendan Rodger alikuwa had unbeaten


7 hag pamoja na kukuta manjesta na wachezaji wazuri na bajet kubwa akaongezewa bado janja janja kibao

Usimfananishe na Arteta ambaye ndan ya miezi 6 alibeba FA cup mbele ya Mancity ,Chelsea na Liverpool waliokuwa Moto bila Bajeti yoyote


7 hag narudia Ni kocha wakawaida Sana ,ndio maana hata usajili tu unakuonesha Ni kocha wa aina gani

Ulishajiuliza kocha aliyekaa na mchezaji Ajax (means anamjua vzr) ,bado kamleta manjesta kwa €100m ,hapo tu unapaswa ujue Huyo kocha Ni level za kina David moyesView attachment 2589582
Nikikuita taahira nakosea wapi eti ng'ombe kama hii inajiita mchambuzi labda unachambua funza za kichwani mwako
 
Nikikuita taahira nakosea wapi eti ng'ombe kama hii inajiita mchambuzi labda unachambua funza za kichwani mwako
Mimi nategemea unijibu kwa data ,Takwimu ,maelezo ya kina ,Cha ajabu unalalamika ,unatukana ,

Nani anaonekana tahahira? Mm kutukana nilishashindwa kabisa
 
Alexis Sanchez akiwa na Man U:

"Nilisaini Manjests bila taarifa nyingi, Wakati mwingine kuna mambo huyatambui hadi ufike. Baada ya mazoezi yangu ya kwanza, nilirudi nyumbani na kumpigia simu wakala wangu na kumuuliza kama mkataba wangu unaweza kusitishwa na nirudi Arsenal.
 
7 hag kocha wa kawaida Sana

Simuon akimaliza msimu ujao kabla hajafungashiwa virago


Pale Ajax hata Jamhuri kiwelo anabeba Erevedise ,Ni sawa na Scotland tu ,Brendan Rodger alikuwa had unbeaten


7 hag pamoja na kukuta manjesta na wachezaji wazuri na bajet kubwa akaongezewa bado janja janja kibao

Usimfananishe na Arteta ambaye ndan ya miezi 6 alibeba FA cup mbele ya Mancity ,Chelsea na Liverpool waliokuwa Moto bila Bajeti yoyote


7 hag narudia Ni kocha wakawaida Sana ,ndio maana hata usajili tu unakuonesha Ni kocha wa aina gani

Ulishajiuliza kocha aliyekaa na mchezaji Ajax (means anamjua vzr) ,bado kamleta manjesta kwa €100m ,hapo tu unapaswa ujue Huyo kocha Ni level za kina David moyesView attachment 2589582
Katika mechi 50 Arteta akiwa Arsenal.

Games: 50
Won: 21
Drawn: 12
Lost: 17

Mimi siwezi kuendelea kubishana na wewe, uko obsessed na United. EtH anafanya zaidi ya alichofanya Arteta ktk msimu wake wa kwanza.
336540155_1585374775287943_4901143492424570428_n.jpg
 
Brighton 70% Possession Chelsea 30%
Brighton 19 shots to Chelsea 3
Brighton 437 passes, Chelsea 217

HALAFU MTU MMOJA ANAKWAMBIA 7HAG BONGE LA KOCHA
Ona mbwa huyu hii post inahusu Chelsea na Brighton harafu hii mbwa inamu include Ten Hag huu uchafu utakuwa unaliwa huu sio bure
 
Katika mechi 50 Arteta akiwa Arsenal.

Games: 50
Won: 21
Drawn: 12
Lost: 17

Mimi siwezi kuendelea kubishana na wewe, uko obsessed na United. EtH anafanya zaidi ya alichofanya Arteta ktk msimu wake wa kwanza.
View attachment 2589594
7 hag karith kikos kizuri na bajeti €250m

Hizo mechi 50 ndani kacheza na kina chalton , Reading, Forest Mara 3, plus mechi kibao za Cups

Arteta karith kikos kibovu huku Saka akiwa beki ,leo Ni among RW duniani with €OM bajeti
 
7 hag karith kikos kizuri na bajeti €250m

Hizo mechi 50 ndani kacheza na kina chalton , Reading, Forest Mara 3, plus mechi kibao za Cups

Arteta karith kikos kibovu huku Saka akiwa beki ,leo Ni among RW duniani with €OM bajeti
Idiot
 
Ona mbwa huyu hii post inahusu Chelsea na Brighton harafu hii mbwa inamu include Ten Hag huu uchafu utakuwa unaliwa huu sio bure
7 hag huyu huyu aliyepewa €250m

Akachota €100m akamleta mchezaji wa YouTube?

Nitakuwa wa mwisho kuamini manjesta imepiga hatua
IMG_20230416_104714.jpg
 
Mpira unadunda ila bado sijaona Manjesta ya kuwafunga wakata kuni Nottingham forest

Mjinga pekee ndio ataamini Maguire na Malacia wanaweza kuwazuia striker machachari kama Lingard View attachment 2589640
Hamis sometimes kwenye mpira unakuwa mjinga sana Mpaka computer Arsenal anakujua wewe kwenye mpira uwaga akili zako unaweka pembeni.

Nachojiuliza mbona Chelsea wametumia hela kuliko sisi lakini uwezi kuta hata mara moja unawazungumzia?
 
Hamis sometimes kwenye mpira unakuwa mjinga sana Mpaka computer Arsenal anakujua wewe kwenye mpira uwaga akili zako unaweka pembeni.

Nachojiuliza mbona Chelsea wametumia hela kuliko sisi lakini uwezi kuta hata mara moja unawazungumzia?
Computer Arsenal si alihamia psg ,toka lini akawa Arsenal

Utaizungumziaje Chelsea ambayo imebadili makocha kuliko mechi ilizoshinda ,huoni kwamba Chelsea matatizo yao Ni makubwa ,

Chelsea tulizungumza toka ligi inaanza Kama unakumbuka pre season , had sajili zao anafanya Tody bila ruhusa au asuarance ya kocha ,mbona tumezungumza Sana ,kwasasa kinachotokea Ni matokeo tu ya walichopanda


Manjesta lazima msemwe maana nyie kwanza mlisema Ni Title contender ,nakumbuka niliwabishia Sana humu ,nikiwaambia kwa Mpira na approch yenu hamstahili kupigania ubingwa Kipind hicho Arsenal tumewazid point 6-9
 
Hamis sometimes kwenye mpira unakuwa mjinga sana Mpaka computer Arsenal anakujua wewe kwenye mpira uwaga akili zako unaweka pembeni.

Nachojiuliza mbona Chelsea wametumia hela kuliko sisi lakini uwezi kuta hata mara moja unawazungumzia?
Chelsea ligi inaanza Tajiri anafanya sajili yeye ,anazamia dili za watu ,

Kwa principle za football tulisema hawez kutoboa ,maana nowdays football inachezwa kwa Profile maalumu ,sio kukusanya tu wachezaji wazuri


7 hag tunamsema maana mlijinasibu ni kocha mkubwa lakin tunaona anadhalilishwa Sana kimbinu hata Kama inatokea ameshinda

Nina mechi zaidi ya 10 ambazo 7hag ameshinda ila kimbinu unaona amefeli ,bila msaada wa Degea na Form ya maisha ya Rashford believe me mngekuwa nafasi ya 10-12

Hata top 4 mpo sio sababu ya ubora Ni sababu ya Form mbaya ya Spurs na kukosa quality kwa Brighton
 
nyie Arsenal si timu Bora,.... Msitupigie kelele bure.. mbebe ubingwa wa EPL mtuoneshe mfano.
 
Mpira wa janja janja huwezi kukimbizana na UBINGWA

Watu wanapiga 7 WIN Wana draw wanaanza Tena WIN zinapigwa hata 8

Tuweke ushabiki pembeni 7 hag anaweza kupiga WIN mfululizo hata 5 EPL ?
 
Back
Top Bottom