Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

NOTTINGHAM FOREST LEO TUNA JAMBO LETU
MANYUMBU TUTAPIGA PALE PALE KWENYE MSHONO MKIPATA HATA DROO TU NIPO PALE
LINGARD MAN OF THE MATCH
MAGUIRE LEGEND
 
Kama Arsenyani ni timu kubwa ina tofauti gani na Roma? Hivi Arsenyani na Roma nani kacheza Champions League ktk miaka 7 iliyopita?

Mourinho yupo Roma huko timu ileile iliyokuwa ina-struggle ashawapa kombe na kuwa kocha pekee kubeba makombe yote ya UEFA.

Mafanikio ya Arteta ktk miaka yote Arsenal yanaweza kufikiwa na EtH msimu huu tena anaipeleka timu UCL. Kipindi Arsenyani mnacheza bora liende mshasahau leo EtH msimu wa kwanza mnalazimisha acheze mpira mzuri.

Spurs ni bottlers tu kama nyie, makocha wote wazuri wanafeli.
Kwenye ligi ya EPL kwasasa, mpira wa kucheza kwa kusubiri counter umekosa nafasi ndio maana unaona timu zinazobeba makombe ya EPL kwa miaka ya hivi karibuni ni timu zinazocheza mpira wa kueleweka.

Inapokuja kwenye European theatre, mambo ni tofauti, timu nyingi zinazocheza mpira wa ujanja ujanja ndio zinapata mafanikio huko mostly.

Sitoshangaa ten hag akibeba Europa huku arteta akiondoka trophyless ( sababu city ndio itakua kikwazo pekee kwake kwenye ligi)
 
Ni Mwendawazimu Pekee Ndio Anaweza Kuamini Kuwa Manchester United Anaweza Kumfunga Nottingham forest.
Mimi Kama Mchambuz Nikiiangalia Hii Mechi Kiufundi Sion Kama Manjesta Atachomoka.!
Kama Unabeti Mpe Nottingham forest Ashinde Ukiliw Nakurudishia Hela Yako
 
IMG-20230416-WA0001.jpg
 
Brighton ndio timu bora kwenye build up EPL na DUNIANI kudadeki

Yule de zerbi aisee mi shabiki yake kitambo

Jana ziligawia pipi pale kati

Pumbavu sana wale watoto yule hawez kuendelea kufundisha Brighton wakati kuna wajinga wanafundisha timu kubwa kama TEN HAG na Lampard

Sasa pale walimkosa beki yao Levi colwill (loan kutoka Chelsea) kudadeki Chelsea wanabeki pale(Arteta alimtaka toka yupo academy Chelsea ,now mancty na Liverpool wanamtaka dirisha kubwa)

Kazi wanayo manake wanabadiashili
Nilikuwa doubt na caicedo ktk build up kumbe ameimprove sana Ukiachana na arsenal na City sasa hivi

Watafute Brighton uburudike Yule lewis dunk Southgate hamuitagi

Halafu anaitwa magwaya mara guehi
 
Brighton ndio timu bora kwenye build up EPL na DUNIANI kudadeki

Yule de zerbi aisee mi shabiki yake kitambo

Jana ziligawia pipi pale kati

Pumbavu sana wale watoto yule hawez kuendelea kufundisha Brighton wakati kuna wajinga wanafundisha timu kubwa kama TEN HAG na Lampard

Sasa pale walimkosa beki yao Levi colwill (loan kutoka Chelsea) kudadeki Chelsea wanabeki pale(Arteta alimtaka toka yupo academy Chelsea ,now mancty na Liverpool wanamtaka dirisha kubwa)

Kazi wanayo manake wanabadiashili
Nilikuwa doubt na caicedo ktk build up kumbe ameimprove sana Ukiachana na arsenal na City sasa hivi

Watafute Brighton uburudike Yule lewis dunk Southgate hamuitagi

Halafu anaitwa magwaya mara guehi
Dah unawashwa sana
 
Brighton ndio timu bora kwenye build up EPL na DUNIANI kudadeki

Yule de zerbi aisee mi shabiki yake kitambo

Jana ziligawia pipi pale kati

Pumbavu sana wale watoto yule hawez kuendelea kufundisha Brighton wakati kuna wajinga wanafundisha timu kubwa kama TEN HAG na Lampard

Sasa pale walimkosa beki yao Levi colwill (loan kutoka Chelsea) kudadeki Chelsea wanabeki pale(Arteta alimtaka toka yupo academy Chelsea ,now mancty na Liverpool wanamtaka dirisha kubwa)

Kazi wanayo manake wanabadiashili
Nilikuwa doubt na caicedo ktk build up kumbe ameimprove sana Ukiachana na arsenal na City sasa hivi

Watafute Brighton uburudike Yule lewis dunk Southgate hamuitagi

Halafu anaitwa magwaya mara guehi
Wangekuwa wanaongoza ligi kwa kuwapamba huku
 
Ni Mwendawazimu Pekee Ndio Anaweza Kuamini Kuwa Manchester United Anaweza Kumfunga Nottingham forest.
Mimi Kama Mchambuz Nikiiangalia Hii Mechi Kiufundi Sion Kama Manjesta Atachomoka.!
Kama Unabeti Mpe Nottingham forest Ashinde Ukiliw Nakurudishia Hela Yako
Personal issues kwa Manchester alafu unajiita mchambuzi, sikushangai na wengi mnaojiita wachambuzi bongo hizi ndo mentality zenu
 
Wangekuwa wanaongoza ligi kwa kuwapamba huku
Bajeti yao ndogo ,tunachoshangaa Yule Mitoma , Sol March wanawazidi mbali Sancho na Anthony

Ulishajiuliza mbona 7 hag alitumia bajeti kubwa lakini anarukaruka tu
 
Bajeti yao ndogo ,tunachoshangaa Yule Mitoma , Sol March wanawazidi mbali Sancho na Anthony

Ulishajiuliza mbona 7 hag alitumia bajeti kubwa lakini anarukaruka tu
Atumie bajeti kubwa au ndogo wewe upo huko nanjilinji inakuhusu nini sasa
 
Sasa unadhani ukitukana ukipanik inasaidia Nini ?

Mimi siwezi kutukana kutokana na mazingira yangu niliyokulia

So wewe tukana Mimi nitaendelea kufanya uchambuzi humu ukiona unaumia nipige block
 
Sasa unadhani ukitukana ukipanik inasaidia Nini ?

Mimi siwezi kutukana kutokana na mazingira yangu niliyokulia

So wewe tukana Mimi nitaendelea kufanya uchambuzi humu ukiona unaumia nipige block
Unafanya uchambuzi gani wewe mpuuzi? Uchambuzi wa kuiponda timu Moja tu? Peleka huko takataka zako
 
Kwenye ligi ya EPL kwasasa, mpira wa kucheza kwa kusubiri counter umekosa nafasi ndio maana unaona timu zinazobeba makombe ya EPL kwa miaka ya hivi karibuni ni timu zinazocheza mpira wa kueleweka.

Inapokuja kwenye European theatre, mambo ni tofauti, timu nyingi zinazocheza mpira wa ujanja ujanja ndio zinapata mafanikio huko mostly.

Sitoshangaa ten hag akibeba Europa huku arteta akiondoka trophyless ( sababu city ndio itakua kikwazo pekee kwake kwenye ligi)
United tunacheza mpira wa ujanja-ujanja sikatai ila tatizo hawa jamaa wanakuja kumlinganisha Erik ten Hag na makocha wenye profile za kawaida sana kwa kigezo cha kucheza mpira mzuri tu.

Wanasahau hata Arteta wakati amepewa kazi Arsenal alikuwa hachezi kama wanavyocheza sasa, tena yeye ndiyo aliongoza kwa matokeo mabaya.

EtH msimu wake wa kwanza tayari ana nafasi ya kufuzu UCL, ana Carabao Cup na bado timu ipo kwenye makombe yote inayoshiriki msimu huu.

Arteta ana makombe mawili kama kocha wa Arsenal ktk miaka yote hiyo na hajawahi kufuzu Champions League (kabla ya msimu huu) EtH anafanya hayo ktk msimu wake wa kwanza.

EtH ameshafanya makubwa Netherlands na Ulaya kwa ujumla, msimu anaompiga Real Madrid mtasema ule ni mpira wa ujanja-ujanja?

Kama walivyompa muda Arteta, wakae kwa kutulia hivyohivyo kwasababu anaweza hata kumaliza trophyless msimu huu. EtH yupo kwenye level nyingine kabisa.
 
United tunacheza mpira wa ujanja-ujanja sikatai ila tatizo hawa jamaa wanakuja kumlinganisha Erik ten Hag na makocha wenye profile za kawaida sana kwa kigezo cha kucheza mpira mzuri tu.

Wanasahau hata Arteta wakati amepewa kazi Arsenal alikuwa hachezi kama wanavyocheza sasa, tena yeye ndiyo aliongoza kwa matokeo mabaya.

EtH msimu wake wa kwanza tayari ana nafasi ya kufuzu UCL, ana Carabao Cup na bado timu ipo kwenye makombe yote inayoshiriki msimu huu.

Arteta ana makombe mawili kama kocha wa Arsenal ktk miaka yote hiyo na hajawahi kufuzu Champions League (kabla ya msimu huu) EtH anafanya hayo ktk msimu wake wa kwanza.

EtH ameshafanya makubwa Netherlands na Ulaya kwa ujumla, msimu anaompiga Real Madrid mtasema ule ni mpira wa ujanja-ujanja?

Kama walivyompa muda Arteta, wakae kwa kutulia hivyohivyo kwasababu anaweza hata kumaliza trophyless msimu huu. EtH yupo kwenye level nyingine kabisa.
7 hag kocha wa kawaida Sana

Simuon akimaliza msimu ujao kabla hajafungashiwa virago


Pale Ajax hata Jamhuri kiwelo anabeba Erevedise ,Ni sawa na Scotland tu ,Brendan Rodger alikuwa had unbeaten


7 hag pamoja na kukuta manjesta na wachezaji wazuri na bajet kubwa akaongezewa bado janja janja kibao

Usimfananishe na Arteta ambaye ndan ya miezi 6 alibeba FA cup mbele ya Mancity ,Chelsea na Liverpool waliokuwa Moto bila Bajeti yoyote


7 hag narudia Ni kocha wakawaida Sana ,ndio maana hata usajili tu unakuonesha Ni kocha wa aina gani

Ulishajiuliza kocha aliyekaa na mchezaji Ajax (means anamjua vzr) ,bado kamleta manjesta kwa €100m ,hapo tu unapaswa ujue Huyo kocha Ni level za kina David moyes
IMG_20230416_105144.jpg
 
Back
Top Bottom