Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
tumuitie na mods ale ban kwanza😂
tumuitie na mods ale ban kwanza😂
Huyu dogo kama vipi apunguze mshahara aendelee nasi msimu ujao kama back up striker,anatupa namna tofauti ya kushambulia lang la adui. Ni kama namuelewa E7+3H
Daaaahhhh we jamaa hebu tupumzishe kidogo, tunakukaribisha kwenye jukwaa la Arsenal ukawape maneno mawili matatu ya kuwafariji na kuwatia moyo kwa kipindi kigumu wanachopitia kwa sasa.Eric ten hag ni kocha ambae huwa anashinda mechi kimoyo moyo
Mkuu umeanza kuangalia mpira 1994 unajilinganisha na mimi? Mzuri sana Antony subiri mechi tatu mbele utakuja kukiri hapa.Mimi ni Manchester United tangu 1994 huyo Antony ni uchafu mtupu
Aisee..usimlinganishe Antony na vitu vya hovyo.Ila huyu antony na Sancho kuna muda wanazngua sanaView attachment 2590420
Sawa ngoja nikawatie moyoDaaaahhhh we jamaa hebu tupumzishe kidogo, tunakukaribisha kwenye jukwaa la Arsenal ukawape maneno mawili matatu ya kuwafariji na kuwatia moyo kwa kipindi kigumu wanachopitia kwa sasa.
Match ya Brighton naombea sana acheze Wan Bissaka, yule Mitoma atamsumbua sana DalotTukicheza na timu mbovu sana ndo maana uliona kacheza vizuri dalot ni mzuri timu kama inashambulia mkipoteana utamchukia iyo mechi.
Hivi Mitoma hatuwezi mchukua next season?Match ya Brighton naombea sana acheze Wan Bissaka, yule Mitoma atamsumbua sana Dalot
Timu imemwangusha De Gea. Nafikiri wameangalia goal difference.Hawa watu wapo serious kweli?
No bruno fernandez and david de gea.
Lakini havertz yumo.
Kepa yumo
Bentancur yumo
View attachment 2591602