Dish
JF-Expert Member
- Jun 3, 2019
- 628
- 930
Kwangu binafsi , 7hag ana mengi yakujifunza kwa Di zerbi
7hag kakuta timu ina wachezaji wazuri
Graza family wakamuongezea na bajeti ya €250m
Cha ajabu Sasa timu inacheza Kama GWAMBINA YA PASTA ATHANAS
Brighton 70% Possession Chelsea 30%
Brighton 19 shots to Chelsea 3
Brighton 437 passes, Chelsea 217
Chelsea are Pathetic![]()
Dogo wewe ni mropokaji tu
Hakuna timu imetumia Hela kusajili km Chelsea ungeanza kuwapigia kelele wao sio sisi wa top4



