Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ten hag anazalau san katik sub zake adhajiona genius san hii inagharimu timu na huyu dogo malacia sijui tulivyoenda halftime kocha akumpa maelekezo anapenda kukaa na mali saan ule mpira alitakiwa aucheze mapema tu ila alitaka auchukue na kuuchezea dogo anazingua san.
Sub ilikuw moja tu ya sancho na bruno nae anamiss mech inayokuja sasa sijui kwanini katoka
 
Nitakuwa mtu was mwisho kabisa kuamini 7+3hag ana mbinu za kisasa za kupambana mbio ndefu EPL

Bado sijawahi kuona utofauti mkubwa Kati ya Ole Guna sosha na 3+7 hag

Anachozidiwa Ole Guna Ni uzoefu wakukaa kwenye ukocha muda mrefu Basi

Ukiangalia kwa jicho la 3 ,Ole Guna sosha angekuwa na Uzoefu mkubwa angebeba Europa League,na Carabao angalau 2 ,EPL alipambana had nafasi ya 2

Lakini huyu 7 hag anavyopambwa humu unaweza kujiuliza kaleta kitu gani kipya hapo Matofalini
 
Unacheza na kitayosya GK Degea ,kila mechi kikosi kile kile kauka nikuvae

Mechi kila baada ya siku 3

Haya umebeba Carabao lakini lazima uendee HAKI

Lisandro out of the season

Varane out of the season

Shaw anacheza kwa kupigwa sindano za ganzi

Rashford anatakiwa akose nae mechi zilizobakia ,lakini wanapambana adungwe sindano matokeo yake mtamuharibia msimu ujao awe injury prone
 
Tumeona kuhusu ubora wa Manchester City kwenye UEFA champions league bila ya performance ya kipa wa Bayern Munich ingekuwa aibu.

Lakini hii Manchester City ipo kwenye kiwango Bora ipo second place kwenye EPL, hapa unapata picha ya Ubora wa Arsenal Msimu huu
IMG_20230415_115356.jpg
 
Hadi kufikia mwezi March , manjesta ilikuwa inasemekana yupo kwenye MBIO ZA UBINGWA ,binafsi nililikataa na kulipinga kwa nguvu zote

Baada ya muda manjesta walitupa TAULO na Sasa wanajiandaa kugombea Europa League,

Upuuzi wa Spurs na inconsinstency ya Brighton ndio inawaweka Top 4 mkiwa na GD SINGE DIGIT
IMG_20230415_115356.jpg
 
Liverpool imeruhusu magoli 35 msimu huu na ipo kwenye perfomance mbovu sana ya mabeki.

Lakini muda huohuo Manchester United inayodai ina mabeki bora imeruhusu magoli 37 kwenye msimu wake bora zaidi
IMG_20230414_205214.jpg
 
Phil Jones will be available for Manchester United's game against Nottingham Forest tomorrow after confirmation of Lisandro Martinez and Raphael Varane long term injuries.

Ladies and gentlemen, the return of the King, the wall of Manchester, Lord of Lords. Mr Phil Jones
1681558352728.jpg
 
Ngumi za kwenye mshono ambao kidonda bado hakijakauka

Nyumbu kaeni kwenye meza ya mazungumzo na hamis77
Haya maswala mbona yanazungumzika,

#ArsenalNDOO
Unabishana nini na mtu timu yake miaka 19 ijabeba ligi timu hata ueropa aina.

Uyo ana force kubishana na sisi maana ni timu ndogo lazima ajipendekeze kwa timu kubwa hapa aonekane bado yupo jukwaani.
 
Back
Top Bottom