

Unabishana nini na mtu timu yake miaka 19 ijabeba ligi timu hata ueropa aina.Ngumi za kwenye mshono ambao kidonda bado hakijakauka
Nyumbu kaeni kwenye meza ya mazungumzo na hamis77
Haya maswala mbona yanazungumzika,
#ArsenalNDOO
Hapa umenena...huyu tumepigwa ipasavo.Sancho
Mechi 50 Goli 5
Thaman yake €80m
Moja ya sajili za ovyo
Usimlaumu huyu mhuni wadau watakushushia rungu.Wana bisaka
£50m
Old fashioned RB
Hajui kupiga Kross
Usimlaumu huyu wadau watakushushia runguCasemiro
Umri miaka 30
€70m
Unasajili mchezaji ambaye hawezi kudumu kwa long term project
Ina maana miaka miwili mbele tunarudi kule kule
Madrid wanamsajili Tchoumeni kwa €80m ,ana miaka 20-21 wanakuuzia Casemiro babu kwa €70m
Kihasibu Madrid wamemnunua Tchoumeni kwa €10m na Wana uhakika wakuwa nae kwa miaka 10
