Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Habari njema hizi
FB_IMG_1681550541833.jpg
 
Phil Jones will be available for Manchester United's game against Nottingham Forest tomorrow after confirmation of Lisandro Martinez and Raphael Varane long term injuries.

Ladies and gentlemen, the return of the King, the wall of Manchester, Lord of Lords. Mr Phil Jones
1681558352728.jpg
 
Ngumi za kwenye mshono ambao kidonda bado hakijakauka

Nyumbu kaeni kwenye meza ya mazungumzo na hamis77
Haya maswala mbona yanazungumzika,

#ArsenalNDOO
Unabishana nini na mtu timu yake miaka 19 ijabeba ligi timu hata ueropa aina.

Uyo ana force kubishana na sisi maana ni timu ndogo lazima ajipendekeze kwa timu kubwa hapa aonekane bado yupo jukwaani.
 
Mkimshindwa forest kibonde , mjiandae kuacha points kwa Brighton, Spurs , astonvilla , Chelsea


Hadi hapo mtakuwa nafasi ya 6 au 7


Astonvilla ana points 50 had muda huu ,
 
Zinahitajika mechi 2 tu ,manjesta aianze Safari ya kugombea kucheza Europa League na Europa conference
 
Aston villa wanacheza mpira mzuri kuliko Chelsea,Liverpool na Manjesta
 
Casemiro

Umri miaka 30

€70m

Unasajili mchezaji ambaye hawezi kudumu kwa long term project

Ina maana miaka miwili mbele tunarudi kule kule

Madrid wanamsajili Tchoumeni kwa €80m ,ana miaka 20-21 wanakuuzia Casemiro babu kwa €70m

Kihasibu Madrid wamemnunua Tchoumeni kwa €10m na Wana uhakika wakuwa nae kwa miaka 10
Usimlaumu huyu wadau watakushushia rungu
 
Utamchukia Anthony milele "ALIKUPIGA GOLI LA KIUFUNDI SANA" hamis77
Nimchukie ?

Kwahiyo Anthony hamjapigwa pale?

Kama kufunga ,hata Nicolas pepe aliwalamba Goli zuri Sana hapo OT ,Ila tulimuondoa ,had leo Anthony hawez mfikia uwezo Pepe
 
Brighton 70% Possession Chelsea 30%
Brighton 19 shots to Chelsea 3
Brighton 437 passes, Chelsea 217

HALAFU MTU MMOJA ANAKWAMBIA 7HAG BONGE LA KOCHA
 
Kwangu binafsi , 7hag ana mengi yakujifunza kwa Di zerbi

7hag kakuta timu ina wachezaji wazuri

Graza family wakamuongezea na bajeti ya €250m

Cha ajabu Sasa timu inacheza Kama GWAMBINA YA PASTA ATHANAS

Brighton 70% Possession Chelsea 30%
Brighton 19 shots to Chelsea 3
Brighton 437 passes, Chelsea 217

Chelsea are Pathetic
 
Back
Top Bottom