Nitakuwa mtu was mwisho kabisa kuamini 7+3hag ana mbinu za kisasa za kupambana mbio ndefu EPL
Bado sijawahi kuona utofauti mkubwa Kati ya Ole Guna sosha na 3+7 hag
Anachozidiwa Ole Guna Ni uzoefu wakukaa kwenye ukocha muda mrefu Basi
Ukiangalia kwa jicho la 3 ,Ole Guna sosha angekuwa na Uzoefu mkubwa angebeba Europa League,na Carabao angalau 2 ,EPL alipambana had nafasi ya 2
Lakini huyu 7 hag anavyopambwa humu unaweza kujiuliza kaleta kitu gani kipya hapo Matofalini