Anthony nilimuongelea ile siku ya kwanza tu dhidi ya arsenal watu wakasema sijui mpirainaweza kuwa ni kweli siujui ila kwa jamaa hata mimi kipofu niliona ni
10hag naona aliamua kuwapunguzia mzigo ajax
Antony ni wa kucheza 10 15 mins za mwishoKocha ndo anazingua kuhusu ishu ya ubinafsi hata Rashidi ni mbinafsi tena sana kinachombeba ni yale magoli yake
Sema all in all Anthony ni winga wa kawaida bora hata tungemchukua Moussa Diaby wa Leverkusen
️
Pep Guardiola: Mzee wakuchomesha au kukinukisha😁😁😁😁Magwaya the badman
Aliona watu wamekaa kimya muda mrefu bila kumzungumzia akaamua kurudi, Sasa yupo on trending media zote zinamuongelea Uncle Magu.
Aliumizwa na nani?Wahuni wanakushugulikia halafu wanakupa msaadaView attachment 2587894