Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

WACHEZAJI WA €100M


Mudryk: 2 Premier league assists

Sancho and Antony combined: 2 premier league assists
IMG_20230415_204240.jpg
 
Super Frank Lamparange.

The Ligend of Chelsea.

Fantastic and competitive Coach.

Apewe mkataba wa miaka buku "millennium"

Hakuna mwingine kabisa zaidi ya FL.

Tumeipenda wenyewe Chelsea na tuvimbe tupasuke.

Asepimbi nipeni moyo wa kuvumilia mateso ya Chelsea FC la sivyo nitapasua hii TV hapa kibanda umiza

Tangu 2003 hamkubeba EPL ila mna vitambi kabisa
JamiiForums-1387865150.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hapana Pep Guardiola Tactician

Mikel Arteta Phenomenon

Klopp mzee wa Gegen Pressing

Di zerbi Mbabe wa Buildup from GK duniani


Hapo Chelsea wampate Luis Enrique

7 hag na mpira wa ujanja ujanja msimu ujao ,anaweza asifike December
 
NYIE MANJESTA TUNAPOSEMA 7 HAG MBABAISHAJI TUNA MAANA KUBWA

Wiki ijayo mna Brighton angalien msidhalilishwe tu

Hakuna timu duniani kwa Sasa inafanya buildup Bora kuanzia kwa GK Hadi katikati Kama Brighton ,

Brighton had 67.95% possession in the opening 45 minutes against Chelsea, the most by an away team in the first half of ANY Premier League game this season.

Pep was right.
 
NYIE MANJESTA TUNAPOSEMA 7 HAG MBABAISHAJI TUNA MAANA KUBWA

Wiki ijayo mna Brighton angalien msidhalilishwe tu

Hakuna timu duniani kwa Sasa inafanya buildup Bora kuanzia kwa GK Hadi katikati Kama Brighton ,

Brighton had 67.95% possession in the opening 45 minutes against Chelsea, the most by an away team in the first half of ANY Premier League game this season.

Pep was right.
Fuatilia mpira mzee siyo kuja kuandika vitu ambavyo havina maana.

Toka huyo mkulima wa nyanya kutoka Ukraine kaja England amekusanya points 33 wakati Erik ten Hag kakusanya points 44. Hiyo ni kuanzia October 1st, 2022.

Katika kipindi chote hicho De Zerbi anachocheza mpira mzuri, EtH kabeba Carabao Cup, timu yake ipo Top 4, Europa League QF & FA Cup SM (hiki ndiyo kitu pekee De Zerbi kapata kama mafanikio pamoja na EtH).

United chini ya EtH wameshinda mechi zote za muhimu kuwafanya wawepo kwenye makombe yote. De Zerbi ni mkulima wa nyanya, hata kule Ukraine hakuna alichofanya (Shakhtar kubeba kombe ni kama Bayern na Bundesliga) ilibaki kidogo aukose ubingwa. Katika career yake ana vikombe vya chai viwili tu.

EtH profile yake ni ya kocha wa timu kubwa. Kuanzia management ya wachezaji mpaka kukuza vipaji.

Sikatai Brighton wanacheza mpira mzuri ila usimfananishe De Zerbi (au hata Arteta) na Erik ten Hag. Kocha anapimwa kwa mafanikio na siyo kucheza mpira mzuri.

Jose Mourinho (The Special One) ana mpira wa zamani sana lakini hujiulizi kwanini bado vilabu vikubwa barani Ulaya vinamuamini?
 
Fuatilia mpira mzee siyo kuja kuandika vitu ambavyo havina maana.

Toka huyo mkulima wa nyanya kutoka Ukraine kaja England amekusanya points 33 wakati Erik ten Hag kakusanya points 44. Hiyo ni kuanzia October 1st, 2022.

Katika kipindi chote hicho De Zerbi anachocheza mpira mzuri, EtH kabeba Carabao Cup, timu yake ipo Top 4, Europa League QF & FA Cup SM (hiki ndiyo kitu pekee De Zerbi kapata kama mafanikio pamoja na EtH).

United chini ya EtH wameshinda mechi zote za muhimu kuwafanya wawepo kwenye makombe yote. De Zerbi ni mkulima wa nyanya, hata kule Ukraine hakuna alichofanya (Shakhtar kubeba kombe ni kama Bayern na Bundesliga) ilibaki kidogo aukose ubingwa. Katika career yake ana vikombe vya chai viwili tu.

EtH profile yake ni ya kocha wa timu kubwa. Kuanzia management ya wachezaji mpaka kukuza vipaji.

Sikatai Brighton wanacheza mpira mzuri ila usimfananishe De Zerbi (au hata Arteta) na Erik ten Hag. Kocha anapimwa kwa mafanikio na siyo kucheza mpira mzuri.

Jose Mourinho (The Special One) ana mpira wa zamani sana lakini hujilizi kwanini bado vilabu vikubwa barani Ulaya vinamuamini?
Kwa mashabiki wa arsenal, kwao mafanikio ya timu ni kudominate wapinzani in terms of possession.

Makombe kwao vishakua vitu vigeni.
 
Fuatilia mpira mzee siyo kuja kuandika vitu ambavyo havina maana.

Toka huyo mkulima wa nyanya kutoka Ukraine kaja England amekusanya points 33 wakati Erik ten Hag kakusanya points 44. Hiyo ni kuanzia October 1st, 2022.

Katika kipindi chote hicho De Zerbi anachocheza mpira mzuri, EtH kabeba Carabao Cup, timu yake ipo Top 4, Europa League QF & FA Cup SM (hiki ndiyo kitu pekee De Zerbi kapata kama mafanikio pamoja na EtH).

United chini ya EtH wameshinda mechi zote za muhimu kuwafanya wawepo kwenye makombe yote. De Zerbi ni mkulima wa nyanya, hata kule Ukraine hakuna alichofanya (Shakhtar kubeba kombe ni kama Bayern na Bundesliga) ilibaki kidogo aukose ubingwa. Katika career yake ana vikombe vya chai viwili tu.

EtH profile yake ni ya kocha wa timu kubwa. Kuanzia management ya wachezaji mpaka kukuza vipaji.

Sikatai Brighton wanacheza mpira mzuri ila usimfananishe De Zerbi (au hata Arteta) na Erik ten Hag. Kocha anapimwa kwa mafanikio na siyo kucheza mpira mzuri.

Jose Mourinho (The Special One) ana mpira wa zamani sana lakini hujiulizi kwanini bado vilabu vikubwa barani Ulaya vinamuamini?
De zerbi ana mbinu za mpira na tactics kumzidi huyo ten hag ,...

Mpira tunaangalia mzee ,...

De zerbi angekuwa na world class player kama alionao ten hag ,basi tegemea kuona Barcelona ya pep akiibua de zerbi....
 
Fuatilia mpira mzee siyo kuja kuandika vitu ambavyo havina maana.

Toka huyo mkulima wa nyanya kutoka Ukraine kaja England amekusanya points 33 wakati Erik ten Hag kakusanya points 44. Hiyo ni kuanzia October 1st, 2022.

Katika kipindi chote hicho De Zerbi anachocheza mpira mzuri, EtH kabeba Carabao Cup, timu yake ipo Top 4, Europa League QF & FA Cup SM (hiki ndiyo kitu pekee De Zerbi kapata kama mafanikio pamoja na EtH).

United chini ya EtH wameshinda mechi zote za muhimu kuwafanya wawepo kwenye makombe yote. De Zerbi ni mkulima wa nyanya, hata kule Ukraine hakuna alichofanya (Shakhtar kubeba kombe ni kama Bayern na Bundesliga) ilibaki kidogo aukose ubingwa. Katika career yake ana vikombe vya chai viwili tu.

EtH profile yake ni ya kocha wa timu kubwa. Kuanzia management ya wachezaji mpaka kukuza vipaji.

Sikatai Brighton wanacheza mpira mzuri ila usimfananishe De Zerbi (au hata Arteta) na Erik ten Hag. Kocha anapimwa kwa mafanikio na siyo kucheza mpira mzuri.

Jose Mourinho (The Special One) ana mpira wa zamani sana lakini hujiulizi kwanini bado vilabu vikubwa barani Ulaya vinamuamini?
Ten hagi kocha mweupe sana anazidiwa mbinu hata na Unai Emery kwa mbali usimfananishe na Di zerbi mpira tunaangalia Sana
Nyumbu mmekuwa mkiokolewa na Degea na fomu ya Rashford nje ya hapo Teni hagi angekuwa alipo Chelsea
 
Newcastle alivomfanya mpaka akanyoosha mikono juu ...
Kimbinu siwezi kumuweka hata karibu tu au meza moja Ten hagi na Arteta ,Arteta kaiva sana pale kwa Pep
Mashabiki wa united hawataki kusikia ukweli ukiona kocha anasomeka kirahisi na anabutuliwa Huyo kwa epl Sasa hafai kina Conte Mourinho na waviziaji wengine EPL pamekuwa sio salama Tena kwao ,jiulize kwanini hakuna watu wanaowashobokea kina murinho na Conte
 
Newcastle alivomfanya mpaka akanyoosha mikono juu ...
Huyu kocha kimbinu Ni Kama Sean Dyche tu Ni vile Kuna wachezaji kama Rashford aliye form na Degea ndio wanamuweka hapo alipo

Sasa tunataka kumuona akitembea na Magwaya Na Lindelof
 
Kimbinu siwezi kumuweka hata karibu tu au meza moja Ten hagi na Arteta ,Arteta kaiva sana pale kwa Pep
Mashabiki wa united hawataki kusikia ukweli ukiona kocha anasomeka kirahisi na anabutuliwa Huyo kwa epl Sasa hafai kina Conte Mourinho na waviziaji wengine EPL pamekuwa sio salama Tena kwao ,jiulize kwanini hakuna watu wanaowashobokea kina murinho na Conte
Wabongo tunajifanyaga tunajua sana, kwaiyo hapo na wewe unajikuta umefanya uchambuzi yani?
 
Fuatilia mpira mzee siyo kuja kuandika vitu ambavyo havina maana.

Toka huyo mkulima wa nyanya kutoka Ukraine kaja England amekusanya points 33 wakati Erik ten Hag kakusanya points 44. Hiyo ni kuanzia October 1st, 2022.

Katika kipindi chote hicho De Zerbi anachocheza mpira mzuri, EtH kabeba Carabao Cup, timu yake ipo Top 4, Europa League QF & FA Cup SM (hiki ndiyo kitu pekee De Zerbi kapata kama mafanikio pamoja na EtH).

United chini ya EtH wameshinda mechi zote za muhimu kuwafanya wawepo kwenye makombe yote. De Zerbi ni mkulima wa nyanya, hata kule Ukraine hakuna alichofanya (Shakhtar kubeba kombe ni kama Bayern na Bundesliga) ilibaki kidogo aukose ubingwa. Katika career yake ana vikombe vya chai viwili tu.

EtH profile yake ni ya kocha wa timu kubwa. Kuanzia management ya wachezaji mpaka kukuza vipaji.

Sikatai Brighton wanacheza mpira mzuri ila usimfananishe De Zerbi (au hata Arteta) na Erik ten Hag. Kocha anapimwa kwa mafanikio na siyo kucheza mpira mzuri.

Jose Mourinho (The Special One) ana mpira wa zamani sana lakini hujiulizi kwanini bado vilabu vikubwa barani Ulaya vinamuamini?
7hag kimbinu kwa di zerbi haingii ,ndio umfananishe na Mikel Artata Phenomenal?

Vilabu gani vikubwa vinamtaka Mourinho au Conte kwa Sasa

Conte alikuwa na safu bora ya ushambuliaji akaongezewa na pesa juu ,mkasema atagombea epl ,kashatimuliwa unadhani EPL ya sasa Ni hi ya kuwa na kina Sancho ,wanabisaka na weghost
 
Wabongo tunajifanyaga tunajua sana, kwaiyo hapo na wewe unajikuta umefanya uchambuzi yani?
Mnataka mpaka mzungu awaambie ndo muamini ndio maana mnaletewa vilainishi

Wakati tunasema Anthony Ni mchezaji wa ovyo mlibisha Sasa hivi Kila mechi mnalalamika
 
Mnataka mpaka mzungu awaambie ndo muamini ndio maana mnaletewa vilainishi

Wakati tunasema Anthony Ni mchezaji wa ovyo mlibisha Sasa hivi Kila mechi mnalalamika
Sasa wewe Anthony awe mchezaji mzuri au wa hovyo anakuhusu nini? Hela unatoa wewe?
Hayo ya vilainishi unayajua wewe maana umeshalainishwa hadi umeshindwa kutunza siri
 
De zerbi ana mbinu za mpira na tactics kumzidi huyo ten hag ,...

Mpira tunaangalia mzee ,...

De zerbi angekuwa na world class player kama alionao ten hag ,basi tegemea kuona Barcelona ya pep akiibua de zerbi....
Hahah! Nyie si ndiyo kila siku mnasema United ina wachezaji wabovu, leo wamegeuka World class players!

Kubalini tu EtH ni kocha wa mpira na ndiyo kwanza yupo msimu wake wa kwanza 90% ni wachezaji aliowakuta.

Unai tu kakusanya points 32 mwaka huu 2023 huyo mkulima wa nyanya 33 toka October 2022.

Potter pia mlimsifia akapewa watu kafeli, sasa hivi mnampamba De Zerbi.

Eddie Howe pia mlimsifia ilipofika hatua za kocha kuhukumiwa (fainali) akaonyeshwa uwezo wake ulivyo mdogo ktk soka, kaja kushinda ligi mechi ambayo haina mantiki yoyote kwao (yes, UCL football waende kushiriki tu).

Mnamkosea sana heshima EtH.
 
Ten hagi kocha mweupe sana anazidiwa mbinu hata na Unai Emery kwa mbali usimfananishe na Di zerbi mpira tunaangalia Sana
Nyumbu mmekuwa mkiokolewa na Degea na fomu ya Rashford nje ya hapo Teni hagi angekuwa alipo Chelsea
Unai ni kocha mzuri lakini bado hafiki levels za EtH.

Kushinda Ligue 1 na PSG siyo mafanikio ya kudhihirisha umwamba ktk soka. Kuna watu wameshinda UCL na Porto.

Unai anafanya kazi nzuri kwa mid-table clubs. Alipewa Arsenyani msimu wake wa mwisho mlimaliza nafasi ya ngapi?
 
7hag kimbinu kwa di zerbi haingii ,ndio umfananishe na Mikel Artata Phenomenal?

Vilabu gani vikubwa vinamtaka Mourinho au Conte kwa Sasa

Conte alikuwa na safu bora ya ushambuliaji akaongezewa na pesa juu ,mkasema atagombea epl ,kashatimuliwa unadhani EPL ya sasa Ni hi ya kuwa na kina Sancho ,wanabisaka na weghost
Kama Arsenyani ni timu kubwa ina tofauti gani na Roma? Hivi Arsenyani na Roma nani kacheza Champions League ktk miaka 7 iliyopita?

Mourinho yupo Roma huko timu ileile iliyokuwa ina-struggle ashawapa kombe na kuwa kocha pekee kubeba makombe yote ya UEFA.

Mafanikio ya Arteta ktk miaka yote Arsenal yanaweza kufikiwa na EtH msimu huu tena anaipeleka timu UCL. Kipindi Arsenyani mnacheza bora liende mshasahau leo EtH msimu wa kwanza mnalazimisha acheze mpira mzuri.

Spurs ni bottlers tu kama nyie, makocha wote wazuri wanafeli.
 
Back
Top Bottom