Eng Inc
JF-Expert Member
- Feb 3, 2017
- 631
- 946
Sasa wewe Anthony awe mchezaji mzuri au wa hovyo anakuhusu nini? Hela unatoa wewe?Mnataka mpaka mzungu awaambie ndo muamini ndio maana mnaletewa vilainishi
Wakati tunasema Anthony Ni mchezaji wa ovyo mlibisha Sasa hivi Kila mechi mnalalamika
Hayo ya vilainishi unayajua wewe maana umeshalainishwa hadi umeshindwa kutunza siri



