


Fuatilia mpira mzee siyo kuja kuandika vitu ambavyo havina maana.NYIE MANJESTA TUNAPOSEMA 7 HAG MBABAISHAJI TUNA MAANA KUBWA
Wiki ijayo mna Brighton angalien msidhalilishwe tu
Hakuna timu duniani kwa Sasa inafanya buildup Bora kuanzia kwa GK Hadi katikati Kama Brighton ,
Brighton had 67.95% possession in the opening 45 minutes against Chelsea, the most by an away team in the first half of ANY Premier League game this season.
Pep was right.![]()
Kwa mashabiki wa arsenal, kwao mafanikio ya timu ni kudominate wapinzani in terms of possession.Fuatilia mpira mzee siyo kuja kuandika vitu ambavyo havina maana.
Toka huyo mkulima wa nyanya kutoka Ukraine kaja England amekusanya points 33 wakati Erik ten Hag kakusanya points 44. Hiyo ni kuanzia October 1st, 2022.
Katika kipindi chote hicho De Zerbi anachocheza mpira mzuri, EtH kabeba Carabao Cup, timu yake ipo Top 4, Europa League QF & FA Cup SM (hiki ndiyo kitu pekee De Zerbi kapata kama mafanikio pamoja na EtH).
United chini ya EtH wameshinda mechi zote za muhimu kuwafanya wawepo kwenye makombe yote. De Zerbi ni mkulima wa nyanya, hata kule Ukraine hakuna alichofanya (Shakhtar kubeba kombe ni kama Bayern na Bundesliga) ilibaki kidogo aukose ubingwa. Katika career yake ana vikombe vya chai viwili tu.
EtH profile yake ni ya kocha wa timu kubwa. Kuanzia management ya wachezaji mpaka kukuza vipaji.
Sikatai Brighton wanacheza mpira mzuri ila usimfananishe De Zerbi (au hata Arteta) na Erik ten Hag. Kocha anapimwa kwa mafanikio na siyo kucheza mpira mzuri.
Jose Mourinho (The Special One) ana mpira wa zamani sana lakini hujilizi kwanini bado vilabu vikubwa barani Ulaya vinamuamini?
De zerbi ana mbinu za mpira na tactics kumzidi huyo ten hag ,...Fuatilia mpira mzee siyo kuja kuandika vitu ambavyo havina maana.
Toka huyo mkulima wa nyanya kutoka Ukraine kaja England amekusanya points 33 wakati Erik ten Hag kakusanya points 44. Hiyo ni kuanzia October 1st, 2022.
Katika kipindi chote hicho De Zerbi anachocheza mpira mzuri, EtH kabeba Carabao Cup, timu yake ipo Top 4, Europa League QF & FA Cup SM (hiki ndiyo kitu pekee De Zerbi kapata kama mafanikio pamoja na EtH).
United chini ya EtH wameshinda mechi zote za muhimu kuwafanya wawepo kwenye makombe yote. De Zerbi ni mkulima wa nyanya, hata kule Ukraine hakuna alichofanya (Shakhtar kubeba kombe ni kama Bayern na Bundesliga) ilibaki kidogo aukose ubingwa. Katika career yake ana vikombe vya chai viwili tu.
EtH profile yake ni ya kocha wa timu kubwa. Kuanzia management ya wachezaji mpaka kukuza vipaji.
Sikatai Brighton wanacheza mpira mzuri ila usimfananishe De Zerbi (au hata Arteta) na Erik ten Hag. Kocha anapimwa kwa mafanikio na siyo kucheza mpira mzuri.
Jose Mourinho (The Special One) ana mpira wa zamani sana lakini hujiulizi kwanini bado vilabu vikubwa barani Ulaya vinamuamini?
Ten hagi kocha mweupe sana anazidiwa mbinu hata na Unai Emery kwa mbali usimfananishe na Di zerbi mpira tunaangalia SanaFuatilia mpira mzee siyo kuja kuandika vitu ambavyo havina maana.
Toka huyo mkulima wa nyanya kutoka Ukraine kaja England amekusanya points 33 wakati Erik ten Hag kakusanya points 44. Hiyo ni kuanzia October 1st, 2022.
Katika kipindi chote hicho De Zerbi anachocheza mpira mzuri, EtH kabeba Carabao Cup, timu yake ipo Top 4, Europa League QF & FA Cup SM (hiki ndiyo kitu pekee De Zerbi kapata kama mafanikio pamoja na EtH).
United chini ya EtH wameshinda mechi zote za muhimu kuwafanya wawepo kwenye makombe yote. De Zerbi ni mkulima wa nyanya, hata kule Ukraine hakuna alichofanya (Shakhtar kubeba kombe ni kama Bayern na Bundesliga) ilibaki kidogo aukose ubingwa. Katika career yake ana vikombe vya chai viwili tu.
EtH profile yake ni ya kocha wa timu kubwa. Kuanzia management ya wachezaji mpaka kukuza vipaji.
Sikatai Brighton wanacheza mpira mzuri ila usimfananishe De Zerbi (au hata Arteta) na Erik ten Hag. Kocha anapimwa kwa mafanikio na siyo kucheza mpira mzuri.
Jose Mourinho (The Special One) ana mpira wa zamani sana lakini hujiulizi kwanini bado vilabu vikubwa barani Ulaya vinamuamini?
Newcastle alivomfanya mpaka akanyoosha mikono juu ...Carabao sio kombe la kutamba Ten hagi amekuwa outplayed na makocha wengi tu ni vile Wana bajeti finyu
Kimbinu siwezi kumuweka hata karibu tu au meza moja Ten hagi na Arteta ,Arteta kaiva sana pale kwa PepNewcastle alivomfanya mpaka akanyoosha mikono juu ...
Huyu kocha kimbinu Ni Kama Sean Dyche tu Ni vile Kuna wachezaji kama Rashford aliye form na Degea ndio wanamuweka hapo alipoNewcastle alivomfanya mpaka akanyoosha mikono juu ...
Wabongo tunajifanyaga tunajua sana, kwaiyo hapo na wewe unajikuta umefanya uchambuzi yani?Kimbinu siwezi kumuweka hata karibu tu au meza moja Ten hagi na Arteta ,Arteta kaiva sana pale kwa Pep
Mashabiki wa united hawataki kusikia ukweli ukiona kocha anasomeka kirahisi na anabutuliwa Huyo kwa epl Sasa hafai kina Conte Mourinho na waviziaji wengine EPL pamekuwa sio salama Tena kwao ,jiulize kwanini hakuna watu wanaowashobokea kina murinho na Conte



7hag kimbinu kwa di zerbi haingii ,ndio umfananishe na Mikel Artata Phenomenal?Fuatilia mpira mzee siyo kuja kuandika vitu ambavyo havina maana.
Toka huyo mkulima wa nyanya kutoka Ukraine kaja England amekusanya points 33 wakati Erik ten Hag kakusanya points 44. Hiyo ni kuanzia October 1st, 2022.
Katika kipindi chote hicho De Zerbi anachocheza mpira mzuri, EtH kabeba Carabao Cup, timu yake ipo Top 4, Europa League QF & FA Cup SM (hiki ndiyo kitu pekee De Zerbi kapata kama mafanikio pamoja na EtH).
United chini ya EtH wameshinda mechi zote za muhimu kuwafanya wawepo kwenye makombe yote. De Zerbi ni mkulima wa nyanya, hata kule Ukraine hakuna alichofanya (Shakhtar kubeba kombe ni kama Bayern na Bundesliga) ilibaki kidogo aukose ubingwa. Katika career yake ana vikombe vya chai viwili tu.
EtH profile yake ni ya kocha wa timu kubwa. Kuanzia management ya wachezaji mpaka kukuza vipaji.
Sikatai Brighton wanacheza mpira mzuri ila usimfananishe De Zerbi (au hata Arteta) na Erik ten Hag. Kocha anapimwa kwa mafanikio na siyo kucheza mpira mzuri.
Jose Mourinho (The Special One) ana mpira wa zamani sana lakini hujiulizi kwanini bado vilabu vikubwa barani Ulaya vinamuamini?
Mnataka mpaka mzungu awaambie ndo muamini ndio maana mnaletewa vilainishiWabongo tunajifanyaga tunajua sana, kwaiyo hapo na wewe unajikuta umefanya uchambuzi yani?![]()
Sasa wewe Anthony awe mchezaji mzuri au wa hovyo anakuhusu nini? Hela unatoa wewe?Mnataka mpaka mzungu awaambie ndo muamini ndio maana mnaletewa vilainishi
Wakati tunasema Anthony Ni mchezaji wa ovyo mlibisha Sasa hivi Kila mechi mnalalamika
Hahah! Nyie si ndiyo kila siku mnasema United ina wachezaji wabovu, leo wamegeuka World class players!De zerbi ana mbinu za mpira na tactics kumzidi huyo ten hag ,...
Mpira tunaangalia mzee ,...
De zerbi angekuwa na world class player kama alionao ten hag ,basi tegemea kuona Barcelona ya pep akiibua de zerbi....
Unai ni kocha mzuri lakini bado hafiki levels za EtH.Ten hagi kocha mweupe sana anazidiwa mbinu hata na Unai Emery kwa mbali usimfananishe na Di zerbi mpira tunaangalia Sana
Nyumbu mmekuwa mkiokolewa na Degea na fomu ya Rashford nje ya hapo Teni hagi angekuwa alipo Chelsea
Kama Arsenyani ni timu kubwa ina tofauti gani na Roma? Hivi Arsenyani na Roma nani kacheza Champions League ktk miaka 7 iliyopita?7hag kimbinu kwa di zerbi haingii ,ndio umfananishe na Mikel Artata Phenomenal?
Vilabu gani vikubwa vinamtaka Mourinho au Conte kwa Sasa
Conte alikuwa na safu bora ya ushambuliaji akaongezewa na pesa juu ,mkasema atagombea epl ,kashatimuliwa unadhani EPL ya sasa Ni hi ya kuwa na kina Sancho ,wanabisaka na weghost