Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bruno na Antony ni muhimili mkubwa sana wa timu kwa sasa.
Sijui kulikua na umuhimu gani wa kufanya sub za hawa watu kwa pamoja?
Sub ya muhimu ilikua ni ya Sancho tu, hata huyo Martial leo hakustahiki kutoka.
Draw ya leo lawama zote tunambebesha kocha maana sio mara ya kwanza wala ya pili kufanya kazi ndogo zinazotucost.
N Sancho bora angebaki kuliko kuingiza Elanga
 
Muhujumu uchumi hapo MANCHESTER United
7E1C431D-4139-424F-9395-233E175AE4AB.jpeg
 
Back
Top Bottom