Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Acuna si muargentina mwenzake
Bishoo kaingilia kazi za wanaume watakuua pimbi ww kifupi kama nyundo
Bishoo kaingilia kazi za wanaume watakuua pimbi ww kifupi kama nyundo
Oyaaa Carrasco una undugu wowote na Bachelor ll ? jamaa anatusumbua kinoma na kipara wetu, mwambie atupumzishe kidogo.View attachment 2587330
Nyumbu bana hii timu ina laana kuanzia mashabiki mpka wachezaji
Ukweli lazima usemwe ten hag analamba asali na wadachi MANCHESTER UnitedOyaaa Carrasco una undugu wowote na Bachelor ll ? jamaa anatusumbua kinoma na kipara wetu, mwambie atupumzishe kidogo.
Ila Mungu fundi. Wakati tunalalamika 2 - 0 ni matokeo madogo katuonyesha ukuu wake kuwa hata hiko kidogo anaweza kukichukua.
Tushukuru kwa kila jambo.

Si mlinitukana humu mnasema nawaonea wivu kwa AnthonyHii mechi hata Liverpool wangeshinda 5. Utoto na upuuzi mwingi sana, sijui EtH halioni hilo! Hasa kile kitoto chake alichokitoa Ajax sehemu ya kutoa pasi ana-force afunge mwenyewe.
View attachment 2587565



Dah nyie ndugu zangu, hivo huwa nakuja kuwaambieen ukwelihamis77 mpaka muda huu atakua bado amelala? maana sio kawaida yake Man utd awe amedraw au kufungwa halafu yeye asije kutusagia kunguni humu, hii kima hata tukishinda hua lazima ije kumchamba Antony& Sancho na timu nzima kwa ujumla.
Mpange bissaka CB uone Cha Moto kama hamuendi kucheza Europa conference league na kina MalmoBinafsi naamini kwa hizi mechi zilizosalia Bissaka kama atapangwa CB atapaform vizuri kuliko hata hio RB ayocheza.
Hii mechi hata Liverpool wangeshinda 5. Utoto na upuuzi mwingi sana, sijui EtH halioni hilo! Hasa kile kitoto chake alichokitoa Ajax sehemu ya kutoa pasi ana-force afunge mwenyewe.
View attachment 2587565
Kaka hebu tuache na kijana wetu wa milioni 100Hii mechi hata Liverpool wangeshinda 5. Utoto na upuuzi mwingi sana, sijui EtH halioni hilo! Hasa kile kitoto chake alichokitoa Ajax sehemu ya kutoa pasi ana-force afunge mwenyewe.
View attachment 2587565
Vegosti ana mikimbio mizuri, tunamsajili mazima huyuPamoja na ujinga wa kocha jana, hii timu bado inahitaji wachezaji wazuri wasiopungua watano. Mmoja awe no. 9. Wout ni mzigo.
Antony ni mjinga sana, licha ya ubora wake katika kukaba ila hiyo haikuwa lengo la kununuliwa kwake. Amekuwa mjinga sana.