verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,143
- 6,246
Kaka hebu tuache na kijana wetu wa milioni 100Hii mechi hata Liverpool wangeshinda 5. Utoto na upuuzi mwingi sana, sijui EtH halioni hilo! Hasa kile kitoto chake alichokitoa Ajax sehemu ya kutoa pasi ana-force afunge mwenyewe.
View attachment 2587565
