Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,436
- 19,465
Hii timu bila Rashford,Varane na Martinez kushinda mechi itakuwa vigumu Sana.
Binafsi mm hiyo mech pamoja alifunga ,nilimtilia wasiwasi mkubwaAnthony nilimuongelea ile siku ya kwanza tu dhidi ya arsenal watu wakasema sijui mpirainaweza kuwa ni kweli siujui ila kwa jamaa hata mimi kipofu niliona ni
10hag naona aliamua kuwapunguzia mzigo ajax
Jamaa ana ule mpira mtaaniBinafsi mm hiyo mech pamoja alifunga ,nilimtilia wasiwasi mkubwa
Picha lilianza ,anatokea ligi ya wakulima lakini namba zake za ovyo
Anthony nilimuongelea ile siku ya kwanza tu dhidi ya arsenal watu wakasema sijui mpirainaweza kuwa ni kweli siujui ila kwa jamaa hata mimi kipofu niliona ni
10hag naona aliamua kuwapunguzia mzigo ajax
Antony ni wa kucheza 10 15 mins za mwishoKocha ndo anazingua kuhusu ishu ya ubinafsi hata Rashidi ni mbinafsi tena sana kinachombeba ni yale magoli yake
Sema all in all Anthony ni winga wa kawaida bora hata tungemchukua Moussa Diaby wa Leverkusen
️
Pep Guardiola: Mzee wakuchomesha au kukinukisha😁😁😁😁Magwaya the badman
Aliona watu wamekaa kimya muda mrefu bila kumzungumzia akaamua kurudi, Sasa yupo on trending media zote zinamuongelea Uncle Magu.
Aliumizwa na nani?Wahuni wanakushugulikia halafu wanakupa msaadaView attachment 2587894