Dish
JF-Expert Member
- Jun 3, 2019
- 628
- 930
Anthony nilimuongelea ile siku ya kwanza tu dhidi ya arsenal watu wakasema sijui mpira [emoji2] inaweza kuwa ni kweli siujui ila kwa jamaa hata mimi kipofu niliona ni [emoji706]
10hag naona aliamua kuwapunguzia mzigo ajax
Kocha ndo anazingua kuhusu ishu ya ubinafsi hata Rashidi ni mbinafsi tena sana kinachombeba ni yale magoli yake
Sema all in all Anthony ni winga wa kawaida bora hata tungemchukua Moussa Diaby wa Leverkusen