Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Familia ya marehem Graza wakatoa €250m , afanye usajili ,Kachota €100m kawanufaisha Ajax

January ,7Hag kawafata familia ya marehem Graza akitaka apewe pesa Tena alete CF

Joel Graza akamwambia 7 hag aache uhuni

Wakamwambia Kuna €3m ,7 hag akasema ana Shemeji yake yupo uturuki anaitwa Werghost Lina funga Sana

Kamleta Ghost, had Sasa kwenye EPL jamaa ana goals 0 assist 0

Michuano yote ana Goli 1 la PAPATUPAPATU


Je Graza waachie timu kwa misingi ipi ?

Tusimame na Graza
 
Casemiro

Umri miaka 30

€70m

Unasajili mchezaji ambaye hawezi kudumu kwa long term project

Ina maana miaka miwili mbele tunarudi kule kule

Madrid wanamsajili Tchoumeni kwa €80m ,ana miaka 20-21 wanakuuzia Casemiro babu kwa €70m

Kihasibu Madrid wamemnunua Tchoumeni kwa €10m na Wana uhakika wakuwa nae kwa miaka 10
 
Graza family wametoa £1.4B kwenye Usajili hapo manjesta

Sheikh Mansoor ametoa £1.4B kwenye Usajili mancity


Kosa la Graza Ni lipi ?
 
Pamoja na ujinga wa kocha jana, hii timu bado inahitaji wachezaji wazuri wasiopungua watano. Mmoja awe no. 9. Wout ni mzigo.

Antony ni mjinga sana, licha ya ubora wake katika kukaba ila hiyo haikuwa lengo la kununuliwa kwake. Amekuwa mjinga sana.
Striker ni lazima. Weghorst arudi alipotoka. Martial asiuzwe abaki kama backup maana naona dalili pesa itakuwa siyo ya kutosha.

Nachukia sana wachezaji wabinafsi, Antony ni mmoja wao.
 
Casemiro

Umri miaka 30

€70m

Unasajili mchezaji ambaye hawezi kudumu kwa long term project

Ina maana miaka miwili mbele tunarudi kule kule

Madrid wanamsajili Tchoumeni kwa €80m ,ana miaka 20-21 wanakuuzia Casemiro babu kwa €70m

Kihasibu Madrid wamemnunua Tchoumeni kwa €10m na Wana uhakika wakuwa nae kwa miaka 10
Pesa inaongea. Subiri wachezaji wenu wa mafungu mnunue.
 
Graza family wametoa £1.4B kwenye Usajili hapo manjesta

Sheikh Mansoor ametoa £1.4B kwenye Usajili mancity


Kosa la Graza Ni lipi ?
Hiyo £1B ni pesa kutoka kwenye mapato ya club tofautisha na uwekezaji.

Tukiachana na pesa ambayo ipo, kosa kubwa ni Glazers kufeli ktk uendeshaji timu, kuna vitu vingi vinakwamisha United kusonga mbele uwanjani hata makocha na wachezaji waliopita wamesema walichokiona Old Trafford & Carrington.
 
Striker ni lazima. Weghorst arudi alipotoka. Martial asiuzwe abaki kama backup maana naona dalili pesa itakuwa siyo ya kutosha.

Nachukia sana wachezaji wabinafsi, Antony ni mmoja wao.
Anthony nilimuongelea ile siku ya kwanza tu dhidi ya arsenal watu wakasema sijui mpira 😃 inaweza kuwa ni kweli siujui ila kwa jamaa hata mimi kipofu niliona ni 🚮
10hag naona aliamua kuwapunguzia mzigo ajax
 
Hiyo £1B ni pesa kutoka kwenye mapato ya club todautisha na uwekezaji.

Tukiachana na pesa ambayo ipo, kosa kubwa ni Glazers kufeli ktk uendeshaji timu, kuna vitu vingi vinakwamisha United kusonga mbele uwanjani hata makocha na wachezaji waliopita wamesema walichokiona Old Trafford & Carrington.
Makosa ya wengine wanapakaziwa Graza

Recruitment iliyowaleta Werghost, Sancho , Anthony ,

Graza wanahusikaje?

DOF mmempa Fretcher Kama sikosei ,amesaidia nn?

7hag kapewa pesa kamleta Anthony , Werghost ,Malacia ,sajiri zake mwenyewe ,zikifeli familia ya marehem Graza wanaandamwa
 
Anthony nilimuongelea ile siku ya kwanza tu dhidi ya arsenal watu wakasema sijui mpira inaweza kuwa ni kweli siujui ila kwa jamaa hata mimi kipofu niliona ni
10hag naona aliamua kuwapunguzia mzigo ajax
Binafsi mm hiyo mech pamoja alifunga ,nilimtilia wasiwasi mkubwa

Picha lilianza ,anatokea ligi ya wakulima lakini namba zake za ovyo
 
Back
Top Bottom