Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Marco Silva: “#MUFC of course we respect them, but we were the best team on the pitch.”

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2558532
Haya maneno kwenye mpira hayasaidii kitu sana sana huwa ni yakujifariji tu. Timu yetu siku hizi inashinda tu hata ikicheza vibaya kama vile zile enzi za Sir Ferg. Kwa sasa timu inacreate nafasi nyingi sana ila tunaconvert chache, tukimpata Hary Kane msimu ujao, right back mmoja na kiungo mkabaji mmoja hakika watatutambua.
 
Tunakumbushana bado Goli moya tuu Martinelli amfikie mchezaji Bora wa mwaka pale Matofali ya kuchoma View attachment 2558598
Sasa chukua stats za Mama Tineli na Rashford: all competitions in Europe.

Ulitegemea tutafungwa imebidi uje na stats uchwara.
20230317_170854.jpg
 
Aibu tupu against Fulham
Hadi wawe pungufu wachezaji wawili ndiyo kumfunga Fulham?

11-11 Fulham was better side,by far
Ule mpira aliopiga Sancho ulikuwa unaenda wavuni. Hatujawatuma sisi wapate red cards. Vyovyote vile ile game ilikuwa ishabadilika maana mpira ulikuwa unaenda wavuni watake wasitake, Willian akajikuta mjanja kipindi hiki cha Technology kibao.
 
Erik Ten Hag Atapewa kandarasi mpya bila kujali nani atakuwa mmiliki klabu. Man Utd wamemwambia wanataka kumbakiza muda mrefu zaidi kutokana na maendeleo aliyoyafanya tangu kuwasili kwake.

Erik Ten hag alisaini mkataba wa miaka 4 wa kukinoa kikosi cha Mashetani wekundu Mwaka jana mwezi June na sasa wekundu hao wamepanga kuendelea kuwa nae zaidi na zaidi ikiwa ni miezi 8 tu tangu amechukua timu toka kwa mtangulizi wake bwana Ralf

Chanzo Simon Mullock

Usishangae anaumia hamis77 wa arsenal sasa.
 
 
Back
Top Bottom