christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,199
- 5,132
Haya maneno kwenye mpira hayasaidii kitu sana sana huwa ni yakujifariji tu. Timu yetu siku hizi inashinda tu hata ikicheza vibaya kama vile zile enzi za Sir Ferg. Kwa sasa timu inacreate nafasi nyingi sana ila tunaconvert chache, tukimpata Hary Kane msimu ujao, right back mmoja na kiungo mkabaji mmoja hakika watatutambua.Marco Silva: “#MUFC of course we respect them, but we were the best team on the pitch.”
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2558532










Erik Ten Hag Atapewa kandarasi mpya bila kujali nani atakuwa mmiliki klabu. Man Utd wamemwambia wanataka kumbakiza muda mrefu zaidi kutokana na maendeleo aliyoyafanya tangu kuwasili kwake. 
