GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Napenda tuchukue EL.
GGMUManchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester United 3 vs Fulham 1
Time
1.30
Stadium
Old Trafford
GGMUView attachment 2557626
Cheki zumbukuku hiliFulham tuna jambo letu leo
Nipigieni nyumbu mpka wamkumbuke CR7
Kuendelea kupata vichekesho Kama hivi bonyeza reli Kisha 9Fulham tuna jambo letu leo
Nipigieni nyumbu mpka wamkumbuke CR7
Kikosi sio unaona venye sub aina watu kabisa lazima Sancho aanze tu.Mbona Sancho anatuangusha sana na bado anamng'ang'ania?
Martial atimuliwe itakapifika mwezi wa sita.Kikosi sio unaona venye sub aina watu kabisa lazima Sancho aanze tu.
Fulham akishindwa kushinda kipindi Cha kwanza itakula kwake.Na leo tutakimbizwaaaaaaa. Hayupo Fred wala Casemiro.
Hujaangalia sub..kuna Anthony, Pelistry na Elanga. Wote hawa wana mbio sana. Sancho amepoa kama kiporo cha juzi.Kikosi sio unaona venye sub aina watu kabisa lazima Sancho aanze tu.