Dish
JF-Expert Member
- Jun 3, 2019
- 628
- 930





Hao wasengw wengine wanafuata nini hapo uwanjaniPositive feelings on Sheikh Jassim side after delegation spent 10 hours at Man United today. They remain determined to buy 100% of the club after talks.![]()
Formal new bid expected soon, plan has never changed — while INEOS group will also visit Man United.
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2555121
HakikaTukichukua ndoo,,, afu tunamsubiri kaka yao Real Madrid kwenye UEFA SUPER CUP nae tunampiga hapo tunakuwa tumemalizana na wa Spain![]()
Mzimu ni mali ya United?Hatuwezi kuwapa newcastle united wachezaji wawili (mctominay na mzimu) then wao watupe ISAK
View attachment 2556093
Yeah mbele na nyumaSevilla tunamlamba home and away hakuna utani this time
Spurs anapoint 49 sisi 50, bado tuna micheso miwili yenye point 6.
Mkuu bila casemiro tutatoboa??Spurs anapoint 49 sisi 50, bado tuna micheso miwili yenye point 6.
Kuwa na points mkononi ni bora zaidi kuliko kuwa na mechi mkononi.Spurs anapoint 49 sisi 50, bado tuna micheso miwili yenye point 6.
Christian Eriksen karibu anapona.Mkuu bila casemiro tutatoboa??
Watu hawamuamini Antony mm naona anamchangobmkubwa sana.
Tatizo beki kulia hatuna
Mechi mkononi zinadondoka kiuwepesi sanaKuwa na points mkononi ni bora zaidi kuliko kuwa na mechi mkononi.
Antony anatakiwa aanze benchi kumpisha pellistriMkuu bila casemiro tutatoboa??
Watu hawamuamini Antony mm naona anamchangobmkubwa sana.
Tatizo beki kulia hatuna
Mechi nne ambazo hatuna casemiro bora Erickson aje kwa kweli sisi ssio wa kugombea top four. Sisi msimu huu ni wa kuingia tena wa pili au tatu.Christian Eriksen karibu anapona.