Spurs anapoint 49 sisi 50, bado tuna micheso miwili yenye point 6.
Mkuu bila casemiro tutatoboa??Spurs anapoint 49 sisi 50, bado tuna micheso miwili yenye point 6.
Kuwa na points mkononi ni bora zaidi kuliko kuwa na mechi mkononi.Spurs anapoint 49 sisi 50, bado tuna micheso miwili yenye point 6.
Christian Eriksen karibu anapona.Mkuu bila casemiro tutatoboa??
Watu hawamuamini Antony mm naona anamchangobmkubwa sana.
Tatizo beki kulia hatuna
Mechi mkononi zinadondoka kiuwepesi sanaKuwa na points mkononi ni bora zaidi kuliko kuwa na mechi mkononi.
Antony anatakiwa aanze benchi kumpisha pellistriMkuu bila casemiro tutatoboa??
Watu hawamuamini Antony mm naona anamchangobmkubwa sana.
Tatizo beki kulia hatuna
Mechi nne ambazo hatuna casemiro bora Erickson aje kwa kweli sisi ssio wa kugombea top four. Sisi msimu huu ni wa kuingia tena wa pili au tatu.Christian Eriksen karibu anapona.
GGMUManchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester United 3 vs Fulham 1
Time
1.30
Stadium
Old Trafford
GGMUView attachment 2557626
Cheki zumbukuku hiliFulham tuna jambo letu leo
Nipigieni nyumbu mpka wamkumbuke CR7
Kuendelea kupata vichekesho Kama hivi bonyeza reli Kisha 9Fulham tuna jambo letu leo
Nipigieni nyumbu mpka wamkumbuke CR7