Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Erik Ten Hag Atapewa kandarasi mpya bila kujali nani atakuwa mmiliki klabu. Man Utd wamemwambia wanataka kumbakiza muda mrefu zaidi kutokana na maendeleo aliyoyafanya tangu kuwasili kwake.

Erik Ten hag alisaini mkataba wa miaka 4 wa kukinoa kikosi cha Mashetani wekundu Mwaka jana mwezi June na sasa wekundu hao wamepanga kuendelea kuwa nae zaidi na zaidi ikiwa ni miezi 8 tu tangu amechukua timu toka kwa mtangulizi wake bwana Ralf

Chanzo Simon Mullock

Usishangae anaumia hamis77 wa arsenal sasa.
 
 
Sasa wewe jamaa! Msimu huu Rashford ana goals 27 na assists 7
Wakati Martinelli ana goals 13 na assists 3. Acha kufananisha msitu na kichakaa!
EPL ana goli 27?

Tunazungumzia EPL ,wewe unaleta had magoli na kina reading, chalton ,
 
Aibu tupu against Fulham
Hadi wawe pungufu wachezaji wawili ndiyo kumfunga Fulham?

11-11 Fulham was better side,by far
Mm huwa nasema hakuna timu humu hamuelewi,

Kuna mstari mwembamba Sana kimbinu na manjesta inavyocheza Kati ya ole Guna na 3+7hag
 
Erik Ten Hag Atapewa kandarasi mpya bila kujali nani atakuwa mmiliki klabu. Man Utd wamemwambia wanataka kumbakiza muda mrefu zaidi kutokana na maendeleo aliyoyafanya tangu kuwasili kwake.

Erik Ten hag alisaini mkataba wa miaka 4 wa kukinoa kikosi cha Mashetani wekundu Mwaka jana mwezi June na sasa wekundu hao wamepanga kuendelea kuwa nae zaidi na zaidi ikiwa ni miezi 8 tu tangu amechukua timu toka kwa mtangulizi wake bwana Ralf

Chanzo Simon Mullock

Usishangae anaumia hamis77 wa arsenal sasa.
Huyu kocha Ni mbahatishaji, sitashangaa msimu ujao asifike disemba

Hata Conte alipambwa Sana last season ila tulionya mpira wa janja janja haunaga muda mrefu

Tuliona kwa Ole Guna alifika had nafasi ya 2 Epl , fainal Europa , kwa janja janja ,mwisho alikutana na dhahama na Project uchwara ikafa kifo Cha mende


Sasa huyu 3+7 hag ambaye Fulham , Brentford, Brighton, Newcastle zinamsumbua mpaka asubiri miujiza kazi ipo
 
We pimbi na mbinu zao wameshinda ngapi leo
Hampend kuambiwa na kukubali ukweli

Manjesta ni mbovu , Fulham iliyokamilika huwez kuifunga comfortable

Mlidanganyana humu mnabeba epl ,tuliwaonya Sana EPL ni mbio ndefu ,na ujanja ujanja huwa ni wa muda mfupi tu

Mpira wa janja janja huwa unasaidia kwenye tournament kwa kiasi fulani ila ukifika muda wa kuwekwa uchi mtawekwa

Ole Guna alicheza nusu fainal za kumwaga na fainal Europa na 2nd place EPL , mwisho wa siku janja ya nyani ikafika mwisho ,akala vipigo

3+7hag alioneshwa kidogo tu janja janja sio nzuri akala 7-0
 
Back
Top Bottom