hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,660
- 27,512
Haya amekuja Muarabu Kama mnavyotaka ,akampa 3+7hag £300m ,si atatuletea wachezaji Kama hawa kwa £100m[emoji1787][emoji1787]
Tuwe wakweli shida sio Graza ,shida ni mna Recruitment mbovu kabisa
Graza walaumiwe kwa kutotengeneza vyoo vya kuflashi na kuweka viraka uwanja usivuje maji
Tuwe wakweli shida sio Graza ,shida ni mna Recruitment mbovu kabisa
Graza walaumiwe kwa kutotengeneza vyoo vya kuflashi na kuweka viraka uwanja usivuje maji