Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha akipewa wachezaji wake anaowata

Wachezaji wenyewe anaowataka kocha sasaView attachment 2559470
Game ya kwanza MWAMBA aliwatungua Arsenal..Akawatungua City akaenda likizo akarudi akamtungua Barca na kama haitoshi kama uliangalia game VS Fulham na ukawa na mashaka na kipaji cha huyu mwamba LETA TEAM YAKO
 
Unakumbuka goli ulipata dk ya ngapi goli la 2?

Performance mbovu

Kama watu wanawonea aibu kuwaambia mm nitawaambia mna timu mbovu

Katika wale top 10 wewe una GD 6
man u ndio timu iliyocheza michezo mingi mpaka sasa, fatigue na injuries ni nyingi.
huko april itakuwa ni balaa kama tukiprogress europa kila baada ya siku tatu GAME!!
 
Haya amekuja Muarabu Kama mnavyotaka ,akampa 3+7hag £300m ,si atatuletea wachezaji Kama hawa kwa £100m

Tuwe wakweli shida sio Graza ,shida ni mna Recruitment mbovu kabisa

Graza walaumiwe kwa kutotengeneza vyoo vya kuflashi na kuweka viraka uwanja usivuje maji

View attachment 2559121
Yaani we Shabiki wa Arsenal kukaa kileleni msimu mmoja.

Tayari Ushaanza kuizodoa Man U.

Tuliza mdomo kwanza uone timu yako itafika wapi.
Na habari za Glazer achana nazo hakuna unachojua.
 
Yaani we Shabiki wa Arsenal kukaa kileleni msimu mmoja.

Tayari Ushaanza kuizodoa Man U.

Tuliza mdomo kwanza uone timu yako itafika wapi.
Na habari za Glazer achana nazo hakuna unachojua.
Asernal sio wa kuongea kitu maana wao ni tiamaji tiamaji
 
Perfomance mbaya kama ile juzi dhidi ya Fulham, tutaendelea kushuhudia hadi msimu unaisha.

Sababu wachezaji wamechoka, mechi ni nyingi.
Kila baada ya siku 3 tuna mechi na zote ni muhimu.
Na ukizingatia hatuna wachezaji wa kucontrol mechi.
Kwa nini 10hag hatumii wachezaji wengine.? Kuna timu nzima imekaa pembeni.

Nathan

Dalot Victor Malasia William

Iqbal. Mainoo.

Elanga. Van de beek Ganacho.

Martial.


Hii iliwatosha sana Fulham.. weka academy wapige games
 
How Jaman m ona utani usiomaama
Subiri uone historia inajirudia msimu wa 4 sir Alex Ferguson time anaanza kazi MANCHESTER United zilikuwa zimebakia mechi 10 huku nafasi ya kwanza ikiwa Bolton wanderers walikuwa wanaizidi MANCHESTER United point 29 LKN MANCHESTER United end of the day wakatwaa ubingwa kwa kuizidi Bolton wanderers point 1
 
Kwa nini 10hag hatumii wachezaji wengine.? Kuna timu nzima imekaa pembeni.

Nathan

Dalot Victor Malasia William

Iqbal. Mainoo.

Elanga. Van de beek Ganacho.

Martial.


Hii iliwatosha sana Fulham
Huyo mnaemuita kocha ni dalali wa Ajax hapo MANCHESTER United
 
Agent Shaw

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230321_000916_573.jpg
 
Sir Jim Ratcliffe: “Desire to buy Man Utd is purely in winning things. How do you decide the price of a painting? It’s not related to how much it cost to paint”.

He regards Man United as a “community asset” rather than a financial one.

#FabrizioRomano
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230321_135827_999.jpg
 
Donny van de Beek is on the comeback trail…

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230321_135835_099.jpg
 
Qatar is preparing to make a new offer of 5.5 billion euros for Manchester United.

The deadline for submission of second takeover bids for #mufc is 21:00 GMT on Wednesday.

[FootMercato]
[Telegraph]
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230321_135954_967.jpg
 
Back
Top Bottom