Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Samahani jaman hivi huwa mpira mnaocheza huwa mnakaa kabisa mnafurahia ? Au ushabiki tu

Mnanikumbusha Arsenal ya Unai Emery haina tofauti kabisa na Hii manjesta
 
Haya amekuja Muarabu Kama mnavyotaka ,akampa 3+7hag £300m ,si atatuletea wachezaji Kama hawa kwa £100m

Tuwe wakweli shida sio Graza ,shida ni mna Recruitment mbovu kabisa

Graza walaumiwe kwa kutotengeneza vyoo vya kuflashi na kuweka viraka uwanja usivuje maji

FB_IMG_1678650685375.jpg
 
Hampend kuambiwa na kukubali ukweli

Manjesta ni mbovu , Fulham iliyokamilika huwez kuifunga comfortable

Mlidanganyana humu mnabeba epl ,tuliwaonya Sana EPL ni mbio ndefu ,na ujanja ujanja huwa ni wa muda mfupi tu

Mpira wa janja janja huwa unasaidia kwenye tournament kwa kiasi fulani ila ukifika muda wa kuwekwa uchi mtawekwa

Ole Guna alicheza nusu fainal za kumwaga na fainal Europa na 2nd place EPL , mwisho wa siku janja ya nyani ikafika mwisho ,akala vipigo

3+7hag alioneshwa kidogo tu janja janja sio nzuri akala 7-0
Fulham iliyokamilika hatuwezi kuifunga comfortable


Kwenye ligi

United 2 fulham 1

No redcard humo
 
Fulham iliyokamilika hatuwezi kuifunga comfortable


Kwenye ligi

United 2 fulham 1

No redcard humo
Unakumbuka goli ulipata dk ya ngapi goli la 2?

Performance mbovu

Kama watu wanawonea aibu kuwaambia mm nitawaambia mna timu mbovu

Katika wale top 10 wewe una GD 6
 
Manchester United are prepared to sell Harry Maguire and Victor Lindelof this summer.

(Source: Football Insider)
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
Kocha akipewa wachezaji wake anaowata

Wachezaji wenyewe anaowataka kocha sasa
FB_IMG_1678650685375.jpg
 
Mkuu hoja ilikuwa hatuwezi kuwafunga umeletewa ushahidi unaanza tena ilikuwa dakika ya ngapi.

Kwani matokeo yalikuwaje? Mpira ni dk 90.
huyo ndo hamis77 mkuu ukibishana nae utachoka bure tu yeye alishasema aipendi man u kwaiyo hata umuelekezeje unajisumbua tu.

Wao arteta msimu wa 4 huu wamemvumilia ila sisi ten hag hataki hata tumpe misimu miwili huyo mental health inamtesa.
 
Kocha akipewa wachezaji wake anaowata

Wachezaji wenyewe anaowataka kocha sasaView attachment 2559470
Game ya kwanza MWAMBA aliwatungua Arsenal..Akawatungua City akaenda likizo akarudi akamtungua Barca na kama haitoshi kama uliangalia game VS Fulham na ukawa na mashaka na kipaji cha huyu mwamba LETA TEAM YAKO
 
Unakumbuka goli ulipata dk ya ngapi goli la 2?

Performance mbovu

Kama watu wanawonea aibu kuwaambia mm nitawaambia mna timu mbovu

Katika wale top 10 wewe una GD 6
man u ndio timu iliyocheza michezo mingi mpaka sasa, fatigue na injuries ni nyingi.
huko april itakuwa ni balaa kama tukiprogress europa kila baada ya siku tatu GAME!!
 
Haya amekuja Muarabu Kama mnavyotaka ,akampa 3+7hag £300m ,si atatuletea wachezaji Kama hawa kwa £100m

Tuwe wakweli shida sio Graza ,shida ni mna Recruitment mbovu kabisa

Graza walaumiwe kwa kutotengeneza vyoo vya kuflashi na kuweka viraka uwanja usivuje maji

View attachment 2559121
Yaani we Shabiki wa Arsenal kukaa kileleni msimu mmoja.

Tayari Ushaanza kuizodoa Man U.

Tuliza mdomo kwanza uone timu yako itafika wapi.
Na habari za Glazer achana nazo hakuna unachojua.
 
Back
Top Bottom