Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yani hata mm nisijie jua mpira nisingefanya sub ya kuwaingiza Wellback na Chicharito

timu imekufa kiungo na kaumia beki anaenda kuingiza forward wakati fletcher yupo nje kwanza nashangaa kwanini kagawa hakuwepo sub??? ,mi nahisi huyu mzee uingereza unamponza.hana lolote
 
timu imekufa kiungo na kaumia beki anaenda kuingiza forward wakati fletcher yupo nje kwanza nashangaa kwanini kagawa hakuwepo sub??? ,mi nahisi huyu mzee uingereza unamponza.hana lolote

Msajilini chuji akae pale kwenye mid field asaidianae na Mata...
 
Wanaosema Mata mbona hajafanya kitu, nahisi walikuwa hawaangalii gemu...Mata ndiye MOTM kwa United leo....kila mpira ulikuwa unapelekwa kwake....kuna chances nyingi alipewa Welbeck, lakini alifanya madudu....Cleverly alipewa pasi dakika za majeruhi, akabutua...

Ingawa, ni kweli kuumia kwa Evans na Jones kulivuruga timu...na DM kumuingiza Welbeck kama mbadala wa Jones ilikuwa ni kosa kubwa mno...pale angeingia Darren....ili Darren angeenda pale CB, na Carrick angebaki CM, ili Rooney awe mbele....Rooney alivyorudi pale CM, basi mambo yote yakafa....

Pamoja na makosa ya leo, bado nina imani kubwa na isiyotetereka kwa DM....bado naamini yeye ni chaguo sahihi kama meneja wa United....ataweka mambo sawa tu...ingawa kama mashabiki tutapitia wakati mgumu mno....

we amini hivyohivyo ilapale man u mwenzanu hatuna kitu benchi lake lenyewe hovyo we unafikiri giggs atamshauri nini yule,mechi 20 bado hajaiujua timu kila siku anakosea yy tu kufanya sub stupid kabisa
 
Damn Twitter wanadai Moyes ana mechi kama 4 kuokoa kibarua chake. Inaaminika La Family de Glazers wamempa hadi CL game akishindwa kuingia robo fainali ndo mwisho wake
 
Do you realize that is half of team to be sold? That overhaul will take at least 2 seasons.

If 5 out of 20+ players is half of the team to you, well, I give up.

2 seasons, that is what I said in the post...his 3rd year would be the one to judge him..as he will be having his own 'team' i.e. a team with players signed by him......

You can't replace all those players at once and expect to challenge for honors. Look what happened to Tottenham with their overhaul. I know you will say Manchester UTD ain't Tottenham but it a big ask to replace experienced players to newcomers in a single transfer.

I guess you are not a football supporter....look what Chelsks and Shitty did when Maureen and Mancini came respectively, they all brought more than 5 players....and when you say 'experienced players to newcomers', do you mean that if United gets Vidal or Kroos, would they be inexperienced players?
 
Damn Twitter wanadai Moyes ana mechi kma 4 kuokoa kibarua chake. Inaaminika La Family de Glazers wamempa hadi CL game akishindwa kuingia robo fainali ndo mwisho wake

So Twitter is United's board nowadays?!

#Amazing from a goon who hasn't seen a trophy at Imarata for 9 years under Arsene Chenga, the pulofesa....
 
Wanaosema Mata mbona hajafanya kitu, nahisi walikuwa hawaangalii gemu...Mata ndiye MOTM kwa United leo....kila mpira ulikuwa unapelekwa kwake....kuna chances nyingi alipewa Welbeck, lakini alifanya madudu....Cleverly alipewa pasi dakika za majeruhi, akabutua...

Ingawa, ni kweli kuumia kwa Evans na Jones kulivuruga timu...na DM kumuingiza Welbeck kama mbadala wa Jones ilikuwa ni kosa kubwa mno...pale angeingia Darren....ili Darren angeenda pale CB, na Carrick angebaki CM, ili Rooney awe mbele....Rooney alivyorudi pale CM, basi mambo yote yakafa....

Pamoja na makosa ya leo, bado nina imani kubwa na isiyotetereka kwa DM....bado naamini yeye ni chaguo sahihi kama meneja wa United....ataweka mambo sawa tu...ingawa kama mashabiki tutapitia wakati mgumu mno....

Kwa kweli ubovu wa Moyes uko kwenye kufanya substitution ingawa bado tuna imani nae sana. Fletcher alikuwa mtu sahihi sana baada ya Jones kuumia
 
If 5 out of 20+ players is half of the team to you, well, I give up.

2 seasons, that is what I said in the post...his 3rd year would be the one to judge him..as he will be having his own 'team' i.e. a team with players signed by him......



I guess you are not a football supporter....look what Chelsks and Shitty did when Maureen and Mancini came respectively, they all brought more than 5 players....and when you say 'experienced players to newcomers', do you mean that if United gets Vidal or Kroos, would they be inexperienced players?

Experienced EPL players.. But Chelsea and City didn't overhaul at once... took them two seasons. Ranieri, Sven Eriksson and Hughes made the initial changes then Maureen and Mancini completed. And almost of players you've mentioned have featured in the first 11 matches this season bar Underson and Rio.
 
Experienced EPL players.. But Chelsea and City didn't overhaul at once... took them two seasons. Ranieri, Sven Eriksson and Hughes made the initial changes then Maureen and Mancini completed. And almost of players you've mentioned have featured in the first 11 matches this season bar Underson and Rio.

Dude what's your point? Did you read my post well?

I said DM needs 3 seasons for pundits to judge him...he needs to have his own players in a team....that should start next summer...bringing two CBs and CMs and a LB would do good for the team to in fighting for a top 3 finish....in his 3rd season, then he should have about 7 to 8 'players of his own' to fight for the title.....

OTH, a complete overhaul is possible...just look what Maureen and Mancini did:

Words in red: I am saying this again, I guess you are not a football supporter....if you are saying Ranieri did a job for Maureen, then you are out of the league....before Maureen, Chelskis have been chasing managers like crazy.....Maureen came with his own men....

Do you know how many players Maureen left when in his first season? 15. Yes, 15 players were shown an exit door by Maureen. Do you know who are they? Mutu, Crespo, Babayaro, Hasslebaink, Petit, Melchiot, Carlton Cole, Zenden, Stanic, Forssell and others, just to mention a few. Do you know who came in? Ferreira, Cech, Robben, Kezman, Drogba, Tiago, Carvalho, Jarosik and Morais. Now, say again that Ranieri paved the way for Maureen.

Now let us talk Shitty. I think you know that Mancini was hired as a Shitty boss in December 2009. Almost mid-season, after Hughes was sacked. So in his first half year, he had only Vieira and Adam Johnson as his signings. But in the season 2010-11, literally, his first season in charge of things at Shitty, Mancini did this:

Players out, 8, including Benjani, Petrov, Silvinho, Ireland, Etuhu, Robinho and Garrido. Players in, 7, including, Toure, Silva, Balotelli, Milner, Dzeko, Kolarov and Boateng. Mancini had also loaned out 12 players including Adebayor, Santa Cruz, W. Bridge, Bellamy etc...

Now say it again that Maureen and Mancini didn't go for a complete overhaul....

Sources: Chelskis and Shitty websites
 
Hii timu sio yangu kabisa na ninapenda wanavyopoteza gemu lakini bado tunawahitaji kwenye ligi hii
Moye anajaribu kubadilisha uchezaji wa timu(kuweka himaya yake) na wakati huo huo anawaogopa baadhi ya wachezaji
Kibarua kinaweza kuonta nyasi asipobadilika vyenginevyo kunakitu nyuma ya pazia
 
BfaTRidCQAE9L9F.jpg:large


At least he did what he is supposed to do, to score....

BfaTLlWCIAA25KV.jpg:large


And he was United's MOTM for the 2nd consecutive game...
 
Back
Top Bottom