Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Title contenders mna GD ya 6

16 points behind 'top four contenders'

Jijiemyu
JamiiForums1570800593.jpg
 
Bado tupo vizuri sana ndugu zangu tutembee tu kifua mbele maana tupo kwenye ligi kwenye nafasi nzuri tupo FA tupo ueropa yanini ujipe pressure hapo ulipo kunywa bia wewe.

Tatizo mnakuwa serious mno just relax hata tukikosa makombe yote msimu huu sio mbaya tuna dalili nzuri tulikaa miaka 5 bila kombe lolote japo carabao ni kombe la chai ila tu relax tu.

Timu yetu tuanze kui judge msimu unaofata kwa msimu huu tufunge mabakuli tu.

Just relax ushabiki sio kushinda game tu.
 
Kwa mechi 4 zijazo mnakutana na kina Brighton , Brentford , Everton yenye viungo Gueye ,Onana na Iwobi Vs Sabiza na Fred

Kuna hatari Top 4 mkaiaga kiulaini


Brighton Brentford hawa wanajua kupress wanajua kuadhibu wakikukuta janja janja nyingi
 
Kwa mechi 4 zijazo mnakutana na kina Brighton , Brentford , Everton yenye viungo Gueye ,Onana na Iwobi Vs Sabiza na Fred

Kuna hatari Top 4 mkaiaga kiulaini


Brighton Brentford hawa wanajua kupress wanajua kuadhibu wakikukuta janja janja nyingi
Ndoto za mchana hizo united Top four anakaa acha kujitoa ufahamu
 
Kwa mechi 4 zijazo mnakutana na kina Brighton , Brentford , Everton yenye viungo Gueye ,Onana na Iwobi Vs Sabiza na Fred

Kuna hatari Top 4 mkaiaga kiulaini


Brighton Brentford hawa wanajua kupress wanajua kuadhibu wakikukuta janja janja nyingi
Kwaiyo hapo ndo umefanya analysis yani?
 
Kwaiyo hapo ndo umefanya analysis yani?
Tuache ushabiki jaman ,kwasasa wanaopush Top 4 ni wengi ,Kuna Spurs , Newcastle , Liverpool anafatia, Brighton na fulham wanavizia Europa League

Je huoni hapo mechi 2 zinatosha kumpeleka manjesta nafasi hata ya 6?

Hujacheza na Newcastle ,Spurs , Brighton, fulham , Brentford ,hizi ni timu korofi EPL na Zina uwezo wqkubeba points 3 au draw kwa manjesta
 
Back
Top Bottom