Nilibahatika kuangalia mechi ya arsenal dhidi ya manchester city kwa kipindi kimoja usiku ule.
Nilichojifunza ili uwe na uhakika wa kumdhibiti adui yako ni lazima uwe na uwezo wa kupambana naye jino kwa jino wakati wowote,
ni nyuma tu hapo arsenal alikuwa anakula goli 3 mpaka 5 kwa mechi dhidi ya manchester city na hata liverpool
Naisubiria mechi yao ya pili ya marejeano, kama arsenal wataweza tena kwenda head to head na manchester city kimpira basi rasmi nitamweka mikel arteta katika kundi hili:
- Manchester city
- Liverpool
- Arsenal
Top 3 zenye uwezo wa kuadhibiana muda wowote kimpira.
Kimatokeo hata spurs anamfunga sana manchester city