Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
Digea katuokoa
2Arsenal anaongoza 1
Hii mechi mpaka muda huu tumezidiwa... Kucheza na kiungo mmoja inatupa shida.
Casemiro REDCasemiro yellow. FRED NI LAZIMA SASA.
Eti sancho antony wanacheza upande mmojaKocha kaharibu sana hii mechi. Kikosi hovyo kabisa