Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunapelekwa sana, kati hakuna mtu kabisa, TOA SANCHO WEKA FRED kabla mambo hayajaharibika.
 
Hii mechi mpaka muda huu tumezidiwa... Kucheza na kiungo mmoja inatupa shida.
 
Kocha kaharibu sana hii mechi. Kikosi hovyo kabisa
 
Mmeona jamani hicho kichwa kilichopigwa na Weghorst, Utafikiri mgonjwa wa uti wa mgongo
 
Back
Top Bottom