Eng Inc
JF-Expert Member
- Feb 3, 2017
- 631
- 946
Umeanza vizuri nikaanza kukuulewa, kwenye paragraph ya mwisho binafsi naona ndo ukaharibu kabisa kwa chuki yako uliyonayo kwa manchester, simply tu nikukumbushe, mchezo wa mpira wa miguu ni mchezo wa wazi na kila mtu anaona hizo timu ulizozitaja ni timi kama timu zingine zinaweza kufungwa, kushinda au kudraw hivyo muda utaongea na nikiwa kama mpenzi wa united ujio wa ETH ndani ya muda mfupi umeleta kitu cha tofauti na sina shaka na hilo timu inazidi kuimarika siku hadi siku, hizo timu sumbufu zipogo miaka yote hivyo hivyoTuache ushabiki jaman ,kwasasa wanaopush Top 4 ni wengi ,Kuna Spurs , Newcastle , Liverpool anafatia, Brighton na fulham wanavizia Europa League
Je huoni hapo mechi 2 zinatosha kumpeleka manjesta nafasi hata ya 6?
Hujacheza na Newcastle ,Spurs , Brighton, fulham , Brentford ,hizi ni timu korofi EPL na Zina uwezo wqkubeba points 3 au draw kwa manjesta








No compromise but no malice...