Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunaendelea tulipoishia

Mlisema huyu jamaa wa £100M anasaidia timu kwenye kukaba, tunamlinganisha na mkabaji mwenzake hapa
20230313_095335.jpg
 
Kwa mechi 4 zijazo mnakutana na kina Brighton , Brentford , Everton yenye viungo Gueye ,Onana na Iwobi Vs Sabiza na Fred

Kuna hatari Top 4 mkaiaga kiulaini


Brighton Brentford hawa wanajua kupress wanajua kuadhibu wakikukuta janja janja nyingi
 
Kwa mechi 4 zijazo mnakutana na kina Brighton , Brentford , Everton yenye viungo Gueye ,Onana na Iwobi Vs Sabiza na Fred

Kuna hatari Top 4 mkaiaga kiulaini


Brighton Brentford hawa wanajua kupress wanajua kuadhibu wakikukuta janja janja nyingi
Ndoto za mchana hizo united Top four anakaa acha kujitoa ufahamu
 
Kwa mechi 4 zijazo mnakutana na kina Brighton , Brentford , Everton yenye viungo Gueye ,Onana na Iwobi Vs Sabiza na Fred

Kuna hatari Top 4 mkaiaga kiulaini


Brighton Brentford hawa wanajua kupress wanajua kuadhibu wakikukuta janja janja nyingi
Kwaiyo hapo ndo umefanya analysis yani?
 
Kwaiyo hapo ndo umefanya analysis yani?
Tuache ushabiki jaman ,kwasasa wanaopush Top 4 ni wengi ,Kuna Spurs , Newcastle , Liverpool anafatia, Brighton na fulham wanavizia Europa League

Je huoni hapo mechi 2 zinatosha kumpeleka manjesta nafasi hata ya 6?

Hujacheza na Newcastle ,Spurs , Brighton, fulham , Brentford ,hizi ni timu korofi EPL na Zina uwezo wqkubeba points 3 au draw kwa manjesta
 
Tuache ushabiki jaman ,kwasasa wanaopush Top 4 ni wengi ,Kuna Spurs , Newcastle , Liverpool anafatia, Brighton na fulham wanavizia Europa League

Je huoni hapo mechi 2 zinatosha kumpeleka manjesta nafasi hata ya 6?

Hujacheza na Newcastle ,Spurs , Brighton, fulham , Brentford ,hizi ni timu korofi EPL na Zina uwezo wqkubeba points 3 au draw kwa manjesta
Umeanza vizuri nikaanza kukuulewa, kwenye paragraph ya mwisho binafsi naona ndo ukaharibu kabisa kwa chuki yako uliyonayo kwa manchester, simply tu nikukumbushe, mchezo wa mpira wa miguu ni mchezo wa wazi na kila mtu anaona hizo timu ulizozitaja ni timi kama timu zingine zinaweza kufungwa, kushinda au kudraw hivyo muda utaongea na nikiwa kama mpenzi wa united ujio wa ETH ndani ya muda mfupi umeleta kitu cha tofauti na sina shaka na hilo timu inazidi kuimarika siku hadi siku, hizo timu sumbufu zipogo miaka yote hivyo hivyo
 
Umeanza vizuri nikaanza kukuulewa, kwenye paragraph ya mwisho binafsi naona ndo ukaharibu kabisa kwa chuki yako uliyonayo kwa manchester, simply tu nikukumbushe, mchezo wa mpira wa miguu ni mchezo wa wazi na kila mtu anaona hizo timu ulizozitaja ni timi kama timu zingine zinaweza kufungwa, kushinda au kudraw hivyo muda utaongea na nikiwa kama mpenzi wa united ujio wa ETH ndani ya muda mfupi umeleta kitu cha tofauti na sina shaka na hilo timu inazidi kuimarika siku hadi siku, hizo timu sumbufu zipogo miaka yote hivyo hivyo
Tatizo umetanguliza mapenzi mbele ,je ni uongo kuwa fulham , Brentford, Brighton, Newcastle haziwezi kubeba points 3 kwa manjesta?

Tena hizo timu zimemfunga manjesta mabao mengi tu karibuni hapa

Ni timu korofi EPL , zina press na zinafunga vzr tu , mfano mechi ya Jana mtoe Soton muweke Brentford, au Brighton chance ya man u kushinda ni ndogo

Hizo timu hazina tofauti na Leeds utd ,kushinda kwa manjesta hii ni 50/50
 
Back
Top Bottom