Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu Casemiro simuelewi sijui ndio kapata namna nzuri ya kula pensheni yake pale United? Siku akijisikia kuchoka kucheza anatafuta red kadi yake moja safi anaenda kopa kabana kula upepo wa bahari bila kelele za akina Neville na na Scholes.
Kwa leo nimeogopa sana uchezaji wetu umenikumbusha manchester ya Ole wakati huo; ukisajili beki,kiungo kinavuja,ukisajili kiungo ushambuliaji unadhoofu ili mradi timu isitulie.
 
Kwa leo nimeogopa sana uchezaji wetu umenikumbusha manchester ya Ole wakati huo;
Tuna tabia ya kuanza mechi kivivu, ugonjwa huu unaelekea kukosa dawa.

Tumekuwa tukiinua nguvu zetu kila ifikapo kipindi cha pili.

Ni kama vile wachezaji hawana uwezo wa kucheza kwa kiwango bora kwa dakika 90.
Sijui tatizo kuu liko wapi.
 
Tuna tabia ya kuanza mechi kivivu, ugonjwa huu unaelekea kukosa dawa.

Tumekuwa tukiinua nguvu zetu kila ifikapo kipindi cha pili.

Ni kama vile wachezaji hawana uwezo wa kucheza kwa kiwango bora kwa dakika 90.
Sijui tatizo kuu liko wapi.
Labda huwa tunawaza kutengeneza headlines kwa Fergie time au come back kings
Rule bender = fuentte
 
Blud thought he is Trossard
JamiiForums1570800593.jpg
 
Pengine msimu ujao munaweza kuwa na timu nzuri ikiwa mutapata mwalimu sahihi.

Nafikiria kuwa mshabiki wa NAPOLI.


DAEMUSHIN = M Z A N Z I B A R I
Potter ni kocha mzuri anayehitaji muda potter kaja chelsea kaikuta tuna injuries ya wachezaji 8 Ngolo Kante, Kovacic Fofana, James,Chillwel Mendy RLC na Pulisic hajakaa Sana kuletewa wachezaji wapya kwenye dirisha dogo Enzo Hernandez, Mudryk, Madueke, Bachishile, dafro Fofana na jao felix kwa namna hiyo kwanini asipate matokeo mabaya? Umeona sasa hivi umeanza kupata kikosi chake Cha kwanza na unaona kabisa team imeimarika kulinganisha na Mwanzo tumeshinda mechi Tatu mfululizo Tena ngumu na tumecheza vizuri Sana. Usimuunderstimate Potter mkuu
 
Labda huwa tunawaza kutengeneza headlines kwa Fergie time au come back kings
Kuna siku unafanyiwa suprise mfano ile ya liverpool, unategemea second half kurudisha energy ya upambanaji hatimaye unaongezwa goli mbili za haraka za kukutoa mchezoni.

Mechi ya leicester
Mechi ya west ham - FA

kipindi cha kwanza tulikuwa ovyo, tukaokolewa na ubutu wa wapinzani wetu
 
Potter ni kocha mzuri anayehitaji muda potter kaja chelsea kaikuta tuna injuries ya wachezaji 8 Ngolo Kante, Kovacic Fofana, James,Chillwel Mendy RLC na Pulisic hajakaa Sana kuletewa wachezaji wapya kwenye dirisha dogo Enzo Hernandez, Mudryk, Madueke, Bachishile, dafro Fofana na jao felix kwa namna hiyo kwanini asipate matokeo mabaya? Umeona sasa hivi umeanza kupata kikosi chake Cha kwanza na unaona kabisa team imeimarika kulinganisha na Mwanzo tumeshinda mechi Tatu mfululizo Tena ngumu na tumecheza vizuri Sana. Usimuunderstimate Potter mkuu
Binafsi namkubali Potter,ni suala la muda tu chemistry ikikaa vema mtarudi juu.
Hata MZANZIBARI kipindi cha nyuma alikuwa shabiki wake kabla hajatoka Brighton.
 
Kuna siku unafanyiwa suprise mfano ile ya liverpool, unategemea second half kurudisha energy ya upambanaji hatimaye unaongezwa goli mbili za haraka za kukutoa mchezoni.

Mechi ya leicester
Mechi ya west ham - FA

kipindi cha kwanza tulikuwa ovyo, tukaokolewa na ubutu wa wapinzani wetu
Ile siku ya 7UP uliona kabisa tunavizia jamaa wapunguze tempo ya mchezo kwa kutuhofi form yetu,bahati miungu ya mpira haikuwa upande wetu.
 
The boss has praised the work rate of his side after playing an hour with 10 men against Southampton.

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230312_223256_878.jpg
 
Lakini unaisemea vipi hali ya uchovu wa mechi nyingi mfululizo pamoja na mabadiliko ya kikosi cha kwanza mechi hadi mechi kwenye kile kipigo?
Bado hatuna uwezo wa kwenda nguvu kwa nguvu dhidi ya liverpool kimpira,

hivyo hatukuadhibiwa kwa sababu ya uchovu siku ile bali liverpool waliamua kupasha kiporo chao cha ubora japo kwa asilimia 60, walikimbia zaidi yetu, walifika kwenye eneo la mpira zaidi yetu, waliharibu nguvu yetu ya kushoto (martinez amekuwa injini yetu ya kusambaza mipira)

Kuna makosa mengi sana walifanya liverpool lakini hatukuwa wakatili.
 
Back
Top Bottom