hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,320
- 26,742
Tomiyasu ambaye Arsenal anacheza wiki kila wiki LB, RB , unamfananisha na malacia? Ambaye alisajiliwa kuja kumtoa Luke Shaw tuliyeambiwa ameishaUsajili wa malacia una tofauti gani na sajili hizi
Tomiyasu - paundi millioni 15 hadi 19.
Tavares - paundi millioni 7.
Una uwezo zaidi ya huo brother, mambo hayo waachie jamii ya ollachuga
Jikubali.
jiwekee standard ya ushabiki
Nuno tavares ni usajili ambao ulifeli ni wa Bei Chee £7m sidhani Kama unaweza kulaumu mchezaji backup wa £7m kufeli? Now ligue 1 ni winger ana Goli za kutosha


