Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Usajili wa malacia una tofauti gani na sajili hizi

Tomiyasu - paundi millioni 15 hadi 19.
Tavares - paundi millioni 7.

Una uwezo zaidi ya huo brother, mambo hayo waachie jamii ya ollachuga

Jikubali.
jiwekee standard ya ushabiki
Tomiyasu ambaye Arsenal anacheza wiki kila wiki LB, RB , unamfananisha na malacia? Ambaye alisajiliwa kuja kumtoa Luke Shaw tuliyeambiwa ameisha

Nuno tavares ni usajili ambao ulifeli ni wa Bei Chee £7m sidhani Kama unaweza kulaumu mchezaji backup wa £7m kufeli? Now ligue 1 ni winger ana Goli za kutosha
 
Mashabiki lawama huwa siyo wazuri mnakuwa hamna tofauti na wakina Schols, yaani timu ikishinda kocha mzuri ikipoteza point mnatafuta mchawi. Timu yetu bado inamapungufu hasa idara ya ushambuliaji na kiungo na tangu haumie Eriksen kocha amejitahidi kuziba pengo lake lakini kadri siku zinavyoenda aliowapa jukumu hilo wanazidi kudrop.

Straker sisi hatuna Rashford sio natural straiker, Sancho kiwango kibovu, Antony bado hajacheza kwenye kiwango chake Weghorst hakuwa kwenye mpango wa timu yetu alikuja kama dhali tu kuziba pengo la Ronaldo. Hivyo top four msimu huu itatutosha tukichukua na vikombe hata viwili. Ila msimu ujao baada ya usajili naamini huyu kocha mtamtaka radhi.
 
Waingereza wametupiga tena bakora ya chuma kwa usajili wa jadon sancho.
Potential ipo lakini dah!

Anthony tumeadhibiwa kwa ujinga wa mabosi wetu, tumekwenda kuwavamia Ajax muda ambao wameshapoteza wachezaji wao muhimu watano huku tukifahamu fika sisi ni kichwa cha mwendawazimu kwenye ishu za usajili.

Timing, timing
Upo sahihi chief il inabd tutulize akil
Man united ina wachezaj wegi half kibaya wale wanaolipwa pesa nyingi kila siku pancha
 
Umeninukuu vibaya, nimezungumzia tabia zenu zenye ufanano.

Kuhusu Thamani ya anthony imeshajadiliwa tokea mwezi wa 8 humu ndani, unachofanya wewe ni kelele za kasuku
Anthony tuliwaambia Sana humu kuwa mmepigwa awali mkabisha Sana

Leo nashangaa mnasema mlikubali

Mlikuwa mnadai kaifunga Arsenal mkampamba Sana


Basi ipo siku mtaimba wimbo mmoja kuhusu huyu Ten hag , Anthony mlikuwa wabishi Sana ,Sancho vile vile ,


Muda utaongea

Ila Kuna mstari mwembamba Sana Kati ya Manjesta ya 7 hag na Manjesta ya Ole Guna
 
Tomiyasu ambaye Arsenal anacheza wiki kila wiki LB, RB , unamfananisha na malacia?
Nisaidie takwimu za tomiyasu msimu huu kwa mechi alizoanza.

Hoja yangu ilikuwa kwenye potential ya mchezaji.

Hayo mambo ya kuwa na uhakika wa kuanza kikosi cha kwanza nayasikia kutoka kwako.
 
Teh teh teh
Kwa nini niwe gubu bwana hamis,

Nilikuwa na rafiki yangu kwa sasa yupo huko tanganyika anaitwa msellem.

Alikuwa anashabikia arsenal, sauti yake ilikuwa inatawala kibanda umiza kwa fujo zake.

Nikiziangalia fujo zako zinanikumbusha mbali sana
Mm ninachojua mashabiki wa manjesta na Arsenal ndio wenye fujo toka nakua najua hivo

Sisi Arsenal tunawaona mnafujo na mnaongea Sana ,the same na nyie
 
Nisaidie takwimu za tomiyasu msimu huu kwa mechi alizoanza.

Hoja yangu ilikuwa kwenye potential ya mchezaji.

Hayo mambo ya kuwa na uhakika wa kuanza kikosi cha kwanza nayasikia kutoka kwako.
Kama ni potential Basi sawa ,ila malacia najua alisajiliwa kutokana na Shaw kuonekana hafai ,lakin mwisho wa siku anasubiri had aumie

Nina chohoji ni usmati wa Ten hag katika usajili ,ninautilia mashaka

Ila kwakuwa muda ni hakimu utaongea

Nilitilia mashaka usajili wa Anthony niliandamwa Sana humu, ukafika muda mkaanza kukubali
 
Ten Hag on Casemiro’s red card:

“What I think is the inconsistency, players don't know any more what the policy is.”
Hivi seriously foul huwa ni Ban ya mechi 3 au 4?

Mbona naona sehemu Casemiro atakosa mechi 4 ,wamebadili sheria ya seriously faul?
 
Huyu Casemiro simuelewi sijui ndio kapata namna nzuri ya kula pensheni yake pale United? Siku akijisikia kuchoka kucheza anatafuta red kadi yake moja safi anaenda kopa kabana kula upepo wa bahari bila kelele za akina Neville na na Scholes.
Kwa leo nimeogopa sana uchezaji wetu umenikumbusha manchester ya Ole wakati huo; ukisajili beki,kiungo kinavuja,ukisajili kiungo ushambuliaji unadhoofu ili mradi timu isitulie.
 
Back
Top Bottom