Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ngoma ishakuwa ngumu hii..

Itatubidi tudefend vizuri sana na tutumie chance zetu vizuri sana pia.
 
Lakini kuhusu Red card ya Casemiro wataalamu mnipe elimu, kwani Casemiro si alianza kuucheza mpira ukateleza ndio akamkanyaga mchezaji? Kuna dhamira hapo au ni vile alivyoonyesha meno ya kiatu?
 
JamiiForums1612958155.jpg
 
Casemiro atakosa four straight games. Niliwaambia huyu jamaa ni mzito hio ligi haiwezi anafanya late tackles sababu timing yake mbovu

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app

Ubora wake tuna uona kosa moja halifanyi tumuone mzito wakati Liverkuku yote hamna defensive midfielder km Casemiro
Mpk ss unajua anagoli ngapi na assist ngapi ? Think before u writing
 
Back
Top Bottom