Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Karibu tunywe saba juuNimeacha kuishabikia manchester united.
12/03/2023



Karibu tunywe saba juuNimeacha kuishabikia manchester united.
12/03/2023



Kane ni bora zaidi ya osimhenHuko Twitter mashabiki uchwara wanaosoma stats wanampamba ndiyo aletwe yeye.
Osimhen anafanya robo ya anacho-offer Kane (kufunga magoli) halafu Osimhen ni typical no. 9 huyu hafai mfumo wetu kwa wingers za Rashford na Antony.
Wanaija pia ndiyo wanampamba kwasababu ni countryman tu. Kane bado ana misimu 3 au zaidi.
Strikers wengine Vlahovic na Ramos wao ndiyo sijui uchezaji wao kabisa.
Casemiro akija arsenal si anapewa number ya Xhaka kiulaini tu akabie juu kama alivyofanya Madrid?Mzee ile utaita late tackle?
Alikuwa on time ndio maana aliuchweza mpira, shida mpira aliuchapa kwa juu sio chini,ule mpira angeucheza chini isingekuwa ishu..
Mbona game nyingi kawasaidia man u.
Kwenye position yake ukitaja wachezaji wa5 katika epl nae hakosekani
Mashabiki wa arsenal mumejaaliwa utakatifu unaoambatana na majivuni yaliokithiri,Mimi nilipoona sajili zile za kina Anthony, malacia nikajua huyu ni wale wale tu
Anacheza bila tabu, kwa timu iliyopo sasa arsenal atakuwa bora maradufu kuliko hapo united.. achilia mbali kadi nyekundu hizo za njano tu itakuwa nadra..Casemiro akija arsenal si anapewa number ya Xhaka kiulaini tu akabie juu kama alivyofanya Madrid?
Maparachichi ndio hitaji langu.Karibu tunywe saba juu![]()
.Anacheza bila tabu, kwa timu iliyopo sasa arsenal atakuwa bora maradufu kuliko hapo united.. achilia mbali kadi nyekundu hizo za njano tu itakuwa nadra..
Timu kila muda mpira mnao nyinyi,timu nzima inakaba,kadi ataipatia wapi.. xhaka mwenyewe siku hizi mikadi imepungua.
Hamtaki kabisa tuongee uhalisia ,Basi tutaanza kuwapambaMashabiki wa arsenal mumejaaliwa utakatifu unaoambatana na majivuni yaliokithiri,
Miaka yangu 21 ya kushabikia mpira wa ulaya nimejifunza jambo hilo, mwanzoni nilidhani hiyo hulka ipo kwa mashabiki wa arsenal waliopo zanzibar tu kumbe ni Tanzania nzima.
Umeninukuu vibaya, nimezungumzia tabia zenu zenye ufanano.Hamtaki kabisa tuongee uhalisia ,Basi tutaanza kuwapamba
Kun Antony , sancho pamoj na kaka yao Bruno kun muda wanakuwa wangese Saan uwanjanHuyo Anthony naye alichomzidi Daniel James waliomuacha NI kipi? Au Labda kuzunguka na mpira Tu![]()
Usajili wa malacia una tofauti gani na sajili hiziMimi nilipoona sajili zile za kina Anthony, malacia nikajua huyu ni wale wale tu
Waingereza wametupiga tena bakora ya chuma kwa usajili wa jadon sancho.Kun Antony , sancho pamoj na kaka yao Bruno kun wanakuwa wangese Saan uwanjan
Wewe utakuwa na ghubu tu na mashabiki wa ArsenalUmeninukuu vibaya, nimezungumzia tabia zenu zenye ufanano.
Kuhusu Thamani ya anthony imeshajadiliwa tokea mwezi wa 8 humu ndani, unachofanya wewe ni kelele za kasuku
Tomiyasu ambaye Arsenal anacheza wiki kila wiki LB, RB , unamfananisha na malacia? Ambaye alisajiliwa kuja kumtoa Luke Shaw tuliyeambiwa ameishaUsajili wa malacia una tofauti gani na sajili hizi
Tomiyasu - paundi millioni 15 hadi 19.
Tavares - paundi millioni 7.
Una uwezo zaidi ya huo brother, mambo hayo waachie jamii ya ollachuga
Jikubali.
jiwekee standard ya ushabiki
Teh teh tehWewe utakuwa na ghubu tu na mashabiki wa Arsenal