mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
Hii gemu tukifungwa, kwa mara ya kwanza nitamlaumu DM kw kupanga kikosi cha ajabu na kufanya subs za ajabu, baada ya Evans na Jones kuumia....
Leo kocha nambebesha lawama zote kwa mara ya kwanza
Hii gemu tukifungwa, kwa mara ya kwanza nitamlaumu DM kw kupanga kikosi cha ajabu na kufanya subs za ajabu, baada ya Evans na Jones kuumia....
Kwani mpaka sasa matokeo yakoje?Leo kocha nambebesha lawama zote kwa mara ya kwanza
Mara ya mwisho stoke city kuifunga man u ilikuwa boxing day 1984,thanks moyes kwa haya unayotufanyia ila usijali u have fool support of top mangement and ferguson,
Ngoja nitoke kwenye huu uzi, yaani mechi inaendelea lakini hakuna updates zozote za matokeo. Mashabiki wa Man u mna matatizo sana.