Ndiyo maana alikuwa anamtaka Fabio wa Real Madrid....
Ni kweli, DM bado hajaielewa vizuri United, ndiyo maana bodi ikamwambia mwaka huu aangalie weakest links kwenye timu, kisha aseme anataka wachezaji wapi, na summer anajenga timu yake.....
Hii gemu tukifungwa, kwa mara ya kwanza nitamlaumu DM kw kupanga kikosi cha ajabu na kufanya subs za ajabu, baada ya Evans na Jones kuumia....
wachezaji wa ManU wanacheza bila juhudi kabisa......yaani wanacheza utafikiri wana urafiki na mpira...na kwamba mpira utawafuata.....hakuna spirit ile ya kutafuta mpira kwa juhudi na kuumiliki ipasavyo........na kuepuka vikosa vidogovidogo vya kuachi achia tu mijamaa inasepa.......
Hii gemu tukifungwa, kwa mara ya kwanza nitamlaumu DM kw kupanga kikosi cha ajabu na kufanya subs za ajabu, baada ya Evans na Jones kuumia....
Moyes is few minutes away from breaking another United record this season. Playing Rooney, RVP and still losing, is it going to happen?