Jamani tutake tusitake, man united kuna tatizo.
Moyes anafanya nn leo anataka kumuingiza Chicharito wa nn sijui.
Evra ni liability siku hizi...
Moyes anafanya nn leo anataka kumuingiza Chicharito wa nn sijui.
Man utd si walisema juzi ndo wameanza ligi..fukuza kocha huyo nyie vipi
Moyes anafanya nn leo anataka kumuingiza Chicharito wa nn sijui.
huyu ni liability toka msimu huu uanze......DM akitambua hilo ndio mambo yatabadilika