Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wazee wa
tapatalk_1678095018381.jpeg
 
Mashabiki tuna visa sana, huyo jamaa amecheza kwa muda mrefu sana tangu afike kwenye timu yetu. Pengine ndio mchezaji pekee ukiachana na De gea ambaye kila akihitajika yupo. Amecheza popote kocha anakompanga. Sijui shida ni nini na sisi mashabiki.
Hasira tu, kipigo kiliwachanganya mashabiki. Watu wanatafuta tu sababu ilimradi asikosekane wa kutupiwa fuko la misumari.
 
Kuna Moja Ile kapoteza mpira, alaf kasimama kama kasusa fulan
Kawaida tu ile, wachezaji nao wana hisia. Mpira ni mchezo wa kukera ile mechi tulizidiwa sana. Kama umewahi kucheza mpira wa miguu au mchezo wowote ukipigwa nyingi lazima utakuwa na hasira na akili itatoka mchezoni kabisa.

Kuna muda pia Bruno alimsukuma lines-man baada ya Trent AA kung'ang'ania mpira wa kurusha, yani wachezaji wa Liverpool walikuwa wanatufunga na kutukera ili kuwatoa wapinzani mchezoni na yale magoli yalikuwa yanaongezeka kwasababu tayari wachezaji wetu walitawaliwa kwenye kila kitu.

Mimi naamini hata wachezaji walikuwa wanaomba tu muda uishe waondoke Anfield.
 
West Ham could make an approach to appoint Middlesbrough manager Michael Carrick if they decide to sack David Moyes.


‌[Times Sport]
@ManUtd_Uk#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2541709
Ningeombwa ushauri ningemshauri Somo wangu abaki championship kwanza apate uzoefu wa kutosha kabla hajahamia EPL kufifisha matumaini yake ya kuwa kocha mkubwa hapo badae.

Kimewatokea Steve G na Lampard hivi karibuni.
 
Marcel Sabitzer: “One hundred per cent [I can play three games a week]. I saw the comment Bruno [Fernandes] did and it was the same for me. I want to play every day, if possible, I am ready for every game.”

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230308_191159_570.jpg
 
Mwarabu apewe timu haraka sana
#mufc's prospective buyers will hold face to face talks with Raine & club officials in the next fortnight.

Bidders want to see breakdown of contracts, partnership deals, money owed on transfers, potential bonuses, cost of running the stadium, future TV earnings.
[@TheAthleticFC]
 
Back
Top Bottom