Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..
Kuna Moja Ile kapoteza mpira, alaf kasimama kama kasusa fulan
 
Mashabiki tuna visa sana, huyo jamaa amecheza kwa muda mrefu sana tangu afike kwenye timu yetu. Pengine ndio mchezaji pekee ukiachana na De gea ambaye kila akihitajika yupo. Amecheza popote kocha anakompanga. Sijui shida ni nini na sisi mashabiki.
20230307_212722.jpg
 
Kipigo cha jana kinatosha kutufahamisha kuwa sisi mashabiki wa United hatupaswi kutembelea majukwaa ya timu zingine kuzicheka zinapofungwa ilihali sisi msimu huu ndiyo tuliopokea vipigo vizito vizito kuliko timu zote.

Hakuna timu nyingine epl iliyofungwa goli 17 katika mechi tatu tu.
Tofautisha "kufungwa goli nyingi" na "kufungwa mechi nyingi" DEJAN7
 
Hawa Benfica huu mpira wanaocheza walijifunzia wapi?
Hivi karibuni sijaona timu inayocheza mpira mzuri namna hii
Kuliko Arsenal?


Leao said:

"I’ve seen a lot of games this year.

"I like Arsenal, ....they play very well."
 
Back
Top Bottom