John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
VP mwarabu mo Salah anaruhusiwa kubid kununua timu maana ..kila mkienda anfield lzm awatawaleMwarabu apewe timu haraka sana....
VP mwarabu mo Salah anaruhusiwa kubid kununua timu maana ..kila mkienda anfield lzm awatawaleMwarabu apewe timu haraka sana....
Kuna Moja Ile kapoteza mpira, alaf kasimama kama kasusa fulanWanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..
Mashabiki tuna visa sana, huyo jamaa amecheza kwa muda mrefu sana tangu afike kwenye timu yetu. Pengine ndio mchezaji pekee ukiachana na De gea ambaye kila akihitajika yupo. Amecheza popote kocha anakompanga. Sijui shida ni nini na sisi mashabiki.
Tofautisha "kufungwa goli nyingi" na "kufungwa mechi nyingi" DEJAN7Kipigo cha jana kinatosha kutufahamisha kuwa sisi mashabiki wa United hatupaswi kutembelea majukwaa ya timu zingine kuzicheka zinapofungwa ilihali sisi msimu huu ndiyo tuliopokea vipigo vizito vizito kuliko timu zote.
Hakuna timu nyingine epl iliyofungwa goli 17 katika mechi tatu tu.
He was asking for his role after a sub entranceWanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..
Hawa Benfica huu mpira wanaocheza walijifunzia wapi?Tunarudi tenaa.....
View attachment 2540552
Timu yenu kazi kujichubua tu (Antony)😂😂
Ndo mana mkagongwa 7-0
Halafu hamjanijibu bado, yule Martinez alikua anaenda wapi?😂😂
Mkuu mitandao Tena ya ulaya imejaa propaganda...
Kuliko Arsenal?Hawa Benfica huu mpira wanaocheza walijifunzia wapi?
Hivi karibuni sijaona timu inayocheza mpira mzuri namna hii
Benfica wako UEFA champions League, huwezi kuwalinganisha na genge la watoto.Kuliko Arsenal?