Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
We waache mwisho wa msimu ndo tutajua nani kubwa jinga.Wameanza kuchoka naona maana kubolonga kwao huko asila wanatuletea hapa kama cheltako kubolonga kwote kule ety nao wanapata kiburi Chakuja kutujazia nzi hapa.
Kuna watu watamaliza msimu bila kombe na hawataamini, kuna watu hata Europa League hawatashiriki.







