Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wameanza kuchoka naona maana kubolonga kwao huko asila wanatuletea hapa kama cheltako kubolonga kwote kule ety nao wanapata kiburi Chakuja kutujazia nzi hapa.
We waache mwisho wa msimu ndo tutajua nani kubwa jinga.

Kuna watu watamaliza msimu bila kombe na hawataamini, kuna watu hata Europa League hawatashiriki.
 
Naona kidoogo kasi ya mashambulizi imepungua.
FA5439E1-B246-47C2-A5E2-87D2E2ED0BED.jpeg

Unasema???
 
Louis Saha on Bruno Fernandes: "I think he wants to win and that's what I see in him. If the players around him are unhappy with his body lanquage and are worried about being criticised by their captain, change jobs.”

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |View attachment 2540694
Hivi mkuu bruno alifanyaje mbona ameandamwa hivi?
 
Wanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..
Mashabiki tuna visa sana, huyo jamaa amecheza kwa muda mrefu sana tangu afike kwenye timu yetu. Pengine ndio mchezaji pekee ukiachana na De gea ambaye kila akihitajika yupo. Amecheza popote kocha anakompanga. Sijui shida ni nini na sisi mashabiki.
 
Wanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..
Kuna Moja Ile kapoteza mpira, alaf kasimama kama kasusa fulan
 
Back
Top Bottom