Wameanza kuchoka naona maana kubolonga kwao huko asila wanatuletea hapa kama cheltako kubolonga kwote kule ety nao wanapata kiburi Chakuja kutujazia nzi hapa.Naona kidoogo kasi ya mashambulizi imepungua.
We waache mwisho wa msimu ndo tutajua nani kubwa jinga.Wameanza kuchoka naona maana kubolonga kwao huko asila wanatuletea hapa kama cheltako kubolonga kwote kule ety nao wanapata kiburi Chakuja kutujazia nzi hapa.
Unawatafuta??🤣🤣🤣🤣We waache mwisho wa msimu ndo tutajua nani kubwa jinga.
Kuna watu watamaliza msimu bila kombe na hawataamini, kuna watu hata Europa League hawatashiriki.
Hivi mkuu bruno alifanyaje mbona ameandamwa hivi?Louis Saha on Bruno Fernandes: "I think he wants to win and that's what I see in him. If the players around him are unhappy with his body lanquage and are worried about being criticised by their captain, change jobs.”
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2540694
Na mimi nilitaka kuuliza jamaa kafanya nini?Hivi mkuu bruno alifanyaje mbona ameandamwa hivi?
Wanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..Na mimi nilitaka kuuliza jamaa kafanya nini?
Wanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..
VP mwarabu mo Salah anaruhusiwa kubid kununua timu maana ..kila mkienda anfield lzm awatawaleMwarabu apewe timu haraka sana....