Eng Inc
JF-Expert Member
- Feb 3, 2017
- 631
- 946
Ndomana Ramos alikavunja mkono kubabae zake kanatupaniaga kinomaKwani salah akitufunga lazima avue shati kudadeki zake.
Ndomana Ramos alikavunja mkono kubabae zake kanatupaniaga kinomaKwani salah akitufunga lazima avue shati kudadeki zake.
Kapuuzi sana na vinywele kama still wireNdomana Ramos alikavunja mkono kubabae zake kanatupaniaga kinoma
Arsenal ni team ndogo Haina hata Uropa Wala UEFAKuliko Arsenal?
Leao said:
"I’ve seen a lot of games this year.
"I like Arsenal, ....they play very well."
Hasira tu, kipigo kiliwachanganya mashabiki. Watu wanatafuta tu sababu ilimradi asikosekane wa kutupiwa fuko la misumari.Mashabiki tuna visa sana, huyo jamaa amecheza kwa muda mrefu sana tangu afike kwenye timu yetu. Pengine ndio mchezaji pekee ukiachana na De gea ambaye kila akihitajika yupo. Amecheza popote kocha anakompanga. Sijui shida ni nini na sisi mashabiki.
Kawaida tu ile, wachezaji nao wana hisia. Mpira ni mchezo wa kukera ile mechi tulizidiwa sana. Kama umewahi kucheza mpira wa miguu au mchezo wowote ukipigwa nyingi lazima utakuwa na hasira na akili itatoka mchezoni kabisa.Kuna Moja Ile kapoteza mpira, alaf kasimama kama kasusa fulan
We jamaaMwarabu apewe timu haraka sana


We mwarabu nini Kila saa mwarabu apewe team
Muarabu wanataka kumchinjaaMwarabu apewe timu haraka sana
Ningeombwa ushauri ningemshauri Somo wangu abaki championship kwanza apate uzoefu wa kutosha kabla hajahamia EPL kufifisha matumaini yake ya kuwa kocha mkubwa hapo badae.West Ham could make an approach to appoint Middlesbrough manager Michael Carrick if they decide to sack David Moyes.
[Times Sport]
@ManUtd_Uk#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2541709





#mufc's prospective buyers will hold face to face talks with Raine & club officials in the next fortnight.Mwarabu apewe timu haraka sana

#MUFC









#MUFC



