ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,686
- 24,720
Mpira wa zamani wa miguvu kulukundu sasa ivi haupo mdau timu nyingi ni laini mno so ukiotewa kula saba kawaida tuIla kuna kitu nyuma ya pazia...kipindi cha mzee ferg sikuwahi kushuhudia maumivu kama haya ni KWA nini Man U imekuwa laini kiasi hiki?
Aisee! Kila nikikaa nafikiria goli saba nahisi kama kuna msiba.