Tofautisha "kufungwa goli nyingi" na "kufungwa mechi nyingi" DEJAN7Kipigo cha jana kinatosha kutufahamisha kuwa sisi mashabiki wa United hatupaswi kutembelea majukwaa ya timu zingine kuzicheka zinapofungwa ilihali sisi msimu huu ndiyo tuliopokea vipigo vizito vizito kuliko timu zote.
Hakuna timu nyingine epl iliyofungwa goli 17 katika mechi tatu tu.
He was asking for his role after a sub entranceWanadai jamaa aliomba sub! Ila kiuhalisia muda ule rashford anatolewa kulikuwa na sintofahamu ya kujiuliza nani anatokaa!?. So, mashabiki wengi wakahisi jamaa aliomba atolewee..
Hawa Benfica huu mpira wanaocheza walijifunzia wapi?Tunarudi tenaa.....
View attachment 2540552
Timu yenu kazi kujichubua tu (Antony)😂😂
Ndo mana mkagongwa 7-0
Halafu hamjanijibu bado, yule Martinez alikua anaenda wapi?😂😂
Mkuu mitandao Tena ya ulaya imejaa propaganda...
Kuliko Arsenal?Hawa Benfica huu mpira wanaocheza walijifunzia wapi?
Hivi karibuni sijaona timu inayocheza mpira mzuri namna hii
Benfica wako UEFA champions League, huwezi kuwalinganisha na genge la watoto.Kuliko Arsenal?
Na wewe umeamini kabisa hiyo source na kuleta hapa?Na bado kenge nyie View attachment 2541081
Mwarabu apewe timu haraka sanaManchester United are moving their London headquarters as part of the club’s plans to build a greater powerbase at Old Trafford.