Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwn kuna jambo baya amesema hapo?
anatabia za kishabiki sio za ki manager ...

Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....

Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!

I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager
 
anatabia za kishabiki sio za ki manager ...

Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....

Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!

I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager
Ndio nzuri, ili akaze kuifanya iwe kweli.

Hii ya Era Come to End inawafaa
 
anatabia za kishabiki sio za ki manager ...

Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....

Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!

I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager
Jamaa is arrogant na ni sawa tu acha awapandishe hasira wakina Potter
 
anatabia za kishabiki sio za ki manager ...

Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....

Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!

I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager
Amesema "we want to go for two(win)"

Ni Sawa tu nakusema , "we want to win this match"

Sasa kuna Kocha gani huwa hasemi hivyo?

Angekuwa amesema " we will beat Liverpool"

Hapo ungekuwa na point.
 
Mashabiki wa Man Utd mnanenepa sana na huu mwaka ni wenu bila shaka tofauti na Mashabiki wa Chelsea.

Hakika gari hata liwe Lamborghini lakini lilikosa Dereva makini na Mahiri halitaweza kushinda hata baiskeli kwa kasi za mbio
 
Mashabiki wa Man Utd mnanenepa sana na huu mwaka ni wenu bila shaka tofauti na Mashabiki wa Chelsea.

Hakika gari hata liwe Lamborghini lakini lilikosa Dereva makini na Mahiri halitaweza kushinda hata baiskeli kwa kasi za mbio
Mwaka kesho na kuendelea ndio wetu.

Mwaka huu tunatest mitambo tuu.
 
Let's discuss this
JamiiForums-382936967.jpg
 
Back
Top Bottom