Kandambili1
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 1,108
- 2,932
awe amesema au hajasema ni sawa Tu....kinacho matter ni Manchester United tabia ya kujali maadui/ washindani imeturudisha sana nyuma.
Mwaka kesho na kuendelea ndio wetu.Mashabiki wa Man Utd mnanenepa sana na huu mwaka ni wenu bila shaka tofauti na Mashabiki wa Chelsea.
Hakika gari hata liwe Lamborghini lakini lilikosa Dereva makini na Mahiri halitaweza kushinda hata baiskeli kwa kasi za mbio![]()
Msijichoshe Leo matokeo hayaeleweki.
😂😂😂Mkuu upo vizuri....Msijichoshe Leo matokeo hayaeleweki.
Liver anapigwa trust meMsijichoshe Leo matokeo hayaeleweki.
Halafu alitumia muda mwingi Arsenal kuliko unitedVan persie kama hakuwahi pita arsenal anaongeleaga man u anaikubali sana
ni vile tu Arsenal haikubalikiLeo mganga kachoma kibuyuMsijichoshe Leo matokeo hayaeleweki.
liva ni mbovu banaArsenal ni timu ndogo sana.Halafu alitumia muda mwingi Arsenal kuliko unitedni vile tu Arsenal haikubaliki
Kiukweli matokeo ya leo ni ngumu kuyatabiri... Hii mechi ni ngumu sanaHayaeleweki au hayako upande wetu?
Mkuu allypipi weka hivyo hivyo tu watu wanayataka kwa sababu za kibiashara zaidi kuliko ushabiki.