King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,980
- 4,942
Tuliza mshono, afu nyie man fisi ilitakiwa mpaka Sasa muwe national leagueHuyu kocha atakuja kuondoka epl kwa aibu Sana ,kama mdomo wake usipokuwa na break ....
Tuliza mshono, afu nyie man fisi ilitakiwa mpaka Sasa muwe national leagueHuyu kocha atakuja kuondoka epl kwa aibu Sana ,kama mdomo wake usipokuwa na break ....
Robin van persieIkitokea umepewa nafasi ya kumrejesha mchezaji mmoja yeyote wa zamani kwa ajiri ya mechi ya LiverPool leo.
Je, ungemrejesha nani?..? na ni kwasababu?..?
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2537995
Ruud Van NesterlooyIkitokea umepewa nafasi ya kumrejesha mchezaji mmoja yeyote wa zamani kwa ajiri ya mechi ya LiverPool leo.
Je, ungemrejesha nani?..? na ni kwasababu?..?
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2537995
Kwn kuna jambo baya amesema hapo?Huyu kocha atakuja kuondoka epl kwa aibu Sana ,kama mdomo wake usipokuwa na break ....
anatabia za kishabiki sio za ki manager ...Kwn kuna jambo baya amesema hapo?
Ndio nzuri, ili akaze kuifanya iwe kweli.anatabia za kishabiki sio za ki manager ...
Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....
Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!
I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager
Van persie kama hakuwahi pita arsenal anaongeleaga man u anaikubali sanaRobin van Persie: “I do believe that everyone believes and feels that this #MUFC team can beat any team in the world.”
#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2537991
Jamaa is arrogant na ni sawa tu acha awapandishe hasira wakina Potteranatabia za kishabiki sio za ki manager ...
Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....
Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!
I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager
Amesema "we want to go for two(win)"anatabia za kishabiki sio za ki manager ...
Huwa namshangaa Sana na kauli za "I will beat ...." Manager wanaojitambua dunia wakubwa maneno kama hayo hawawezi kuongea kwenye camera,wanaongea dressing room huko na wachezaji ....
Klopp ,pep ,morhino ,carlo huwezi mkuta anaongea pumba za namna hio hata kama anacheza na underdog .....!!
I will beat ....I will beat hizo ni kauli za mashabiki kama sisi ....sio profession al manager
Huyu kocha atakuja kuondoka epl kwa aibu Sana ,kama mdomo wake usipokuwa na break ....

Mwaka kesho na kuendelea ndio wetu.Mashabiki wa Man Utd mnanenepa sana na huu mwaka ni wenu bila shaka tofauti na Mashabiki wa Chelsea.
Hakika gari hata liwe Lamborghini lakini lilikosa Dereva makini na Mahiri halitaweza kushinda hata baiskeli kwa kasi za mbio![]()
Msijichoshe Leo matokeo hayaeleweki.
😂😂😂Mkuu upo vizuri....Msijichoshe Leo matokeo hayaeleweki.
Liver anapigwa trust meMsijichoshe Leo matokeo hayaeleweki.