Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fans United wenzangu Wala msiogope hizi kelele tunazopigiwa hapa ni kuonyesha jinsi gani sisi ni tishio uwezi kuta
Liverpool
Arsenal
Chelsea
Man City
hata zifungwe zikaandamwa hivi

Huu ni ujumbe kuwa tumekuwa timu tishio ndo maana ya kelele zote izi tungekuwa wa bovu kama Chelsea hizi kelele zingekuwa azipo kabisa.

Kwaiyo tutembee kifua mbele tuna bonge la kocha tupo bado nafasi nzuri kwenye ligi tupo kwenye kila kombe msimu huu.

kupigwa goal nyingi Amna mwenye ajawai chapwa anaebisha aje hapa na takwimu kuwa ajawai pigwa goli za kutosha.View attachment 2540121
kila kombe unaota wewe Uefa champions league mpo au
 
20230307_092407.jpg
 
Hapana hatuna shida na utishio WENU

Mna kelele Sana kelele za dharau mlidharau sana mechi Ile kabsa nakwambia hakuna mtu Humu aliogopa Ile mechi, dharau zilikua nyingi Sana aisee which was bad

Yaani dharau unaziona kwa kocha kabisa, siogopi anfield automatically wachezaji nao wakawa na akili kama za kocha

Anfield pa kawaida nyoko nyoko pale Pana majini na hayapendi dharau muulize messi alisema ule uwanja anauogopa Sana na Haupendi

Hata Carlo katupiga juzi alikuja kama underdog katupiga kama mbwa
Mkuu raha ya ushabiki ni nini kama sio kelele?

unadhani ni Kwanini timu nyingi zinapenda kucheza zikiwa nyumbani ujui ni sababu ya kelele za mashabiki.

Yani Kwaiyo raha ya mpira ni nini kama watu hatuta Piga kelele na kusifia timu zetu?
 
Mkuu raha ya ushabiki ni nini kama sio kelele?

unadhani ni Kwanini timu nyingi zinapenda kucheza zikiwa nyumbani ujui ni sababu ya kelele za mashabiki.

Yani Kwaiyo raha ya mpira ni nini kama watu hatuta Piga kelele na kusifia timu zetu?
 
Liverpool alipigwa goal 5 na real Madrid tena akiwa kwake lakini hawakupigiwa kelele kama tunazopigiwa sisi hapa ndo utajua United ni moja tu duniani.

Watu wanasema tuna mdomo na kelele sasa raha ya ushabiki ni nini kama mnashinda na kuishia kukaa kimya tu.

Sisi hatuwezi kuacha kelele maana ndo raha ya ushabiki huo kama mnaona tunawapigia kelele mtu block kwenye majukwaa yenu.
 
Yani

Ubingwa tusiwe tunachukua

Kiwango kizuri tusiwe nacho.

Uefa tusicheze

Na mdomo nao mnataka tusiwe nayo acheni zenu bhana tunasema hivi kwa yoyote hatae pigwa tunakuja kulianzisha huko Kiufupi.
Tunaanza upyaaaaaaaaa
 
Liverpool alipigwa goal 5 na real Madrid tena akiwa kwake lakini hawakupigiwa kelele kama tunazopigiwa sisi hapa ndo utajua United ni moja tu duniani.

Watu wanasema tuna mdomo na kelele sasa raha ya ushabiki ni nini kama mnashinda na kuishia kukaa kimya tu.

Sisi hatuwezi kuacha kelele maana ndo raha ya ushabiki huo kama mnaona tunawapigia kelele mtu block kwenye majukwaa yenu.
Tumia dawa 3
 
Liverpool alipigwa goal 5 na real Madrid tena akiwa kwake lakini hawakupigiwa kelele kama tunazopigiwa sisi hapa ndo utajua United ni moja tu duniani.

Watu wanasema tuna mdomo na kelele sasa raha ya ushabiki ni nini kama mnashinda na kuishia kukaa kimya tu.

Sisi hatuwezi kuacha kelele maana ndo raha ya ushabiki huo kama mnaona tunawapigia kelele mtu block kwenye majukwaa yenu.
7 bila 7 bila 7 bila wamebana wameachia
 
Grazzer wamekuwa wanatoa pesa ila watumiaji ndio wajinga , najiuliza hata akija huyo mwarabu kipi kipya ataleta ? Labda kuboresha miundombinu ,ila swala la pesa la usajili mnadanganyana tu ,takwimu zinasema Grazzer wametoa pesa inayokaribiana na ya matajiri wa mancity


Mfano dirisha kubwa huyo Ten hag kapewa €250m kachukua €100m kamnunua Anthony , yule malacia kamnunua lakini kafeli kuingia kikos Cha Kwanza

Kwahiyo Grazzer muwalaumu kwenye kutojenga miundombinu ila sio kwenye usajili
Pesa za usajili wa wachezaji zinatokana na mapato ya timu na siyo pesa kutoka kwa Glazers.

Kuna sababu nyingi tu za kuwakataa Glazers.
 
Waarabu wapi na wewe.. lini umesikia Glazzers wanataka kuuza sehemu yao ya kupatia ugali.

Kwanza hawakutoa pesa yao mfukoni kuinunua. Club inajiendesha yenyewe kwa madeni. Jamaa hawatoi jasho.

Mwarabu pekee ataewamiliki ni Mo Salah😂😂
Arsenyani mnatetemeka maana wakija Qataris mtaishia kupambania top 4 tu. Ubingwa itakuwa ni United na City tu.
 
Hapana hatuna shida na utishio WENU

Mna kelele Sana kelele za dharau mlidharau sana mechi Ile kabsa nakwambia hakuna mtu Humu aliogopa Ile mechi, dharau zilikua nyingi Sana aisee which was bad

Yaani dharau unaziona kwa kocha kabisa, siogopi anfield automatically wachezaji nao wakawa na akili kama za kocha

Anfield pa kawaida nyoko nyoko pale Pana majini na hayapendi dharau muulize messi alisema ule uwanja anauogopa Sana na Haupendi

Hata Carlo katupiga juzi alikuja kama underdog katupiga kama mbwa
Kabla ya ule mdinyo WA goli 7 kulikuwa kuna chambuzi zinachekesha za wanaunyumbuni humu...kama Ile ya Wana uwezo WA kuifunga timu yoyote barani ulaya Kwa sasahv
 
Back
Top Bottom