Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fans United wenzangu Wala msiogope hizi kelele tunazopigiwa hapa ni kuonyesha jinsi gani sisi ni tishio uwezi kuta
Liverpool
Arsenal
Chelsea
Man City
hata zifungwe zikaandamwa hivi

Huu ni ujumbe kuwa tumekuwa timu tishio ndo maana ya kelele zote izi tungekuwa wa bovu kama Chelsea hizi kelele zingekuwa azipo kabisa.

Kwaiyo tutembee kifua mbele tuna bonge la kocha tupo bado nafasi nzuri kwenye ligi tupo kwenye kila kombe msimu huu.

kupigwa goal nyingi Amna mwenye ajawai chapwa anaebisha aje hapa na takwimu kuwa ajawai pigwa goli za kutosha.View attachment 2540121
Lete timu kubwa iliyofungwa kwa difference ya goal 7.

Nipo hapa.

Mbona hamtaki kukubali kwamba mmepigwa kipigo cha mbwa koko?
 
Title pretender anagongwa chuma 7😂😂😂😂

Acha tujikumbushe bhana mana binadamu tumeumbiwa kusahau.
IMG_20230305_224349_952.jpg
 
Nimekuja kutoa turubahi na kukunja majamvi kuashiria msiba umekwesha.
Tunawashukuru majirani kwa kuja kutughani kama wafiwa, kilicho baki rudini majumbani kwenu na maisha yaendelee.
 
Liverpool alipigwa goal 5 na real Madrid tena akiwa kwake lakini hawakupigiwa kelele kama tunazopigiwa sisi hapa ndo utajua United ni moja tu duniani.

Watu wanasema tuna mdomo na kelele sasa raha ya ushabiki ni nini kama mnashinda na kuishia kukaa kimya tu.

Sisi hatuwezi kuacha kelele maana ndo raha ya ushabiki huo kama mnaona tunawapigia kelele mtu block kwenye majukwaa yenu.
Unalinganisha 5 na 7 mkuu? Halafu man u kapigwa na hasimu wake
 
Mkuu raha ya ushabiki ni nini kama sio kelele?

unadhani ni Kwanini timu nyingi zinapenda kucheza zikiwa nyumbani ujui ni sababu ya kelele za mashabiki.

Yani Kwaiyo raha ya mpira ni nini kama watu hatuta Piga kelele na kusifia timu zetu?
Pia mimi sikuona chakuogopesha ile mechi ety mpaka tushindwe kutamba kuwa tunaenda kushinda, uoga ungetokea wapi na tulikuwa tumetoka kumpiga mara 2 mfululizo na ukiangalia mwenendo wetu ki matokeo ni mwendo wa kugawa dozi tu.

Yani ambacho nimegundua nikuwa hawana chakusema ili sentensi zao ziwe na ujazo mpaka wajazilize neno MLIDHARAU MECHI.
 
Back
Top Bottom