Unalinganisha 5 na 7 mkuu? Halafu man u kapigwa na hasimu wakeLiverpool alipigwa goal 5 na real Madrid tena akiwa kwake lakini hawakupigiwa kelele kama tunazopigiwa sisi hapa ndo utajua United ni moja tu duniani.
Watu wanasema tuna mdomo na kelele sasa raha ya ushabiki ni nini kama mnashinda na kuishia kukaa kimya tu.
Sisi hatuwezi kuacha kelele maana ndo raha ya ushabiki huo kama mnaona tunawapigia kelele mtu block kwenye majukwaa yenu.







We will give you a reaction on Thursday, Reds
”