Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
Seven hag ni kanjanja
Lete timu kubwa iliyofungwa kwa difference ya goal 7.Fans United wenzangu Wala msiogope hizi kelele tunazopigiwa hapa ni kuonyesha jinsi gani sisi ni tishio uwezi kuta
Liverpool
Arsenal
Chelsea
Man City
hata zifungwe zikaandamwa hivi
Huu ni ujumbe kuwa tumekuwa timu tishio ndo maana ya kelele zote izi tungekuwa wa bovu kama Chelsea hizi kelele zingekuwa azipo kabisa.
Kwaiyo tutembee kifua mbele tuna bonge la kocha tupo bado nafasi nzuri kwenye ligi tupo kwenye kila kombe msimu huu.
kupigwa goal nyingi Amna mwenye ajawai chapwa anaebisha aje hapa na takwimu kuwa ajawai pigwa goli za kutosha.View attachment 2540121
Unajinyea ndotoni amkaa wewe!😂😂😂Arsenyani mnatetemeka maana wakija Qataris mtaishia kupambania top 4 tu. Ubingwa itakuwa ni United na City tu.
acha kupoteza MB zako kujibishana na MACHOKO yaliyokojolewa MIKOJO SABALete timu kubwa iliyofungwa kwa difference ya goal 7.
Nipo hapa.
Mbona hamtaki kukubali kwamba mmepigwa kipigo cha mbwa koko?
Tufanye yaishe.acha kupoteza MB zako kujibishana na MACHOKO yaliyokojolewa MIKOJO SABA
Naona mkuu umebadili mpaka Id.Tunarudi tenaa.....
View attachment 2540552
Unalinganisha 5 na 7 mkuu? Halafu man u kapigwa na hasimu wakeLiverpool alipigwa goal 5 na real Madrid tena akiwa kwake lakini hawakupigiwa kelele kama tunazopigiwa sisi hapa ndo utajua United ni moja tu duniani.
Watu wanasema tuna mdomo na kelele sasa raha ya ushabiki ni nini kama mnashinda na kuishia kukaa kimya tu.
Sisi hatuwezi kuacha kelele maana ndo raha ya ushabiki huo kama mnaona tunawapigia kelele mtu block kwenye majukwaa yenu.
Ile inaitwa NO look defending ni style mpya ya ukabaji ameicopy kutoka kwa maguireHivi yule Martinez alikua anaenda wapi!![]()
Pia mimi sikuona chakuogopesha ile mechi ety mpaka tushindwe kutamba kuwa tunaenda kushinda, uoga ungetokea wapi na tulikuwa tumetoka kumpiga mara 2 mfululizo na ukiangalia mwenendo wetu ki matokeo ni mwendo wa kugawa dozi tu.Mkuu raha ya ushabiki ni nini kama sio kelele?
unadhani ni Kwanini timu nyingi zinapenda kucheza zikiwa nyumbani ujui ni sababu ya kelele za mashabiki.
Yani Kwaiyo raha ya mpira ni nini kama watu hatuta Piga kelele na kusifia timu zetu?