Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Nadhani ameona namna mpira wa kina Rashidi Mpemba unavyopata pancha pale AnfieldView attachment 2539117
Jamaa sijui anajiona nani.. ni unprofessional kuongea kauli kama hizo.
Maneno hayo ilitakiwa aongee shabiki na sio kocha.








