Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jana tumechapika balaa, tuliingia kwenye mfumo wa wahuni na tukajaa kweli kweli, sema sio mbaya tumecheza game kibao mfululizo.

Muhimu tuko bado kwenye mashindano yote, nasemaje ubingwa wa EPL bado tunautaka mjiandae mlio juu huko tunakuja maana tusha maliza game za kufungwa zilizo baki ni kujipigia tu.

SEMA SABA NYINGI AISEE.
 
No ni 2004/2005.

Stats zinaonesha Liverpool alisonga mbele mara mbili kwenye hatua zinazofuata kwa kukutoa, Kwangu bado hiyo ni dharau tu.
Ila liver kufungwa mara nyingi zaidi na barca ni heshima!

Siku hizi heshima ya klabu inapatikana kwa kufungwa zaidi na mpinzani wako?
 
Jana tumechapika balaa, tuliingia kwenye mfumo wa wahuni na tukajaa kweli kweli, sema sio mbaya tumecheza game kibao mfululizo.

Muhimu tuko bado kwenye mashindano yote, nasemaje ubingwa wa EPL bado tunautaka mjiandae mlio juu huko tunakuja maana tusha maliza game za kufungwa zilizo baki ni kujipigia tu.

SEMA SABA NYINGI AISEE.
Kiukweli mwamba Martinez alionekana kuchoka sana.

Fernandez alionekana kuchoka sana. Jana nilimkimbuka Mzee Ferguson

Alikuwa Fernandez apunzike, asianze, akae sabtzer...

Alikuwa amuweke margure, Bisaka, Malaysia na yule mswdesh backline.
 
Kiukweli mwamba Martinez alionekana kuchoka sana.

Fernandez alionekana kuchoka sana. Jana nilimkimbuka Mzee Ferguson

Alikuwa Fernandez apunzike, asianze, akae sabtzer...

Alikuwa amuweke margure, Bisaka, Malaysia na yule mswdesh backline.
Leo mtataja mizimu yote😂😂

Hakuna rangi mtaacha ona!
 
Kiukweli mwamba Martinez alionekana kuchoka sana.

Fernandez alionekana kuchoka sana. Jana nilimkimbuka Mzee Ferguson

Alikuwa Fernandez apunzike, asianze, akae sabtzer...

Alikuwa amuweke margure, Bisaka, Malaysia na yule mswdesh backline.
Sio mbaya tuangalie game zijazo tunashindaje.
 
Mpira wa man u, ni kama timu zilizo kwenye hatihati ya kushuka daraja. Mbinu zao zimejengwa zaidi kwenye hamasa, counter na defence basi.

Game ijayo mna southermpton, hapo mnaenda kupigiwa low block na counter attack. Sasa mna Mpira wa kufungua low block, tuanzie hapo kwanza.
Halafu mna Brighton mbabe wa aliye wapiga 7, Yan kazi mnayo mwaka huu
 
Ndugu zangu nimekuja mbele zenu kuomba msamaha sisi na nyinyi ni ndugu kwa hali tunazopitia fans wa United mwisho wa siku mtakosa wa kuwatania hapa tufe presha.

Tumekosa sisi
Tumekosa sana
Tunaomba mtusamehe

1657903745907.jpg
 
Mpira wa man u, ni kama timu zilizo kwenye hatihati ya kushuka daraja. Mbinu zao zimejengwa zaidi kwenye hamasa, counter na defence basi.

Game ijayo mna southermpton, hapo mnaenda kupigiwa low block na counter attack. Sasa mna Mpira wa kufungua low block, tuanzie hapo kwanza.
Halafu mna Brighton mbabe wa aliye wapiga 7, Yan kazi mnayo mwaka huu
Icho ndo kichapo Cha mwisho kwa mwezi huu mkuu hatufungwi tena huko Carrington viboko vipo kutembea kwa uzembe wa jana.
Screenshot_20230306-132633.jpg
 
Erik ten Hag and these players have already given us some exceptional memories this season.

In return the least we can all do is get behind the team after yesterday, it was awful but in the context of our season it really shouldn’t affect things too much.

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230306_130541_496.jpg
 
Manchester United and Chelsea are set to play pre-season matches in the US - against ambitious Wrexham, owned by Hollywood stars Ryan Reynolds & Rob McElhenney. Games scheduled for July.

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230306_123341_085.jpg
 
Na huu ndiyo ukweli ambao mashabiki wa manyumbu wanaupuuza.

Wanacheza kihamasa zaidi kuliko mbinu za kueleweka za mpira.
Ngoja wakuatane na Brighton ambaye sio Arsenal au city au Liverpool anayemuweza Brighton kwenye buildup na kuupanga mpira chini ,wapeleke mpira wao wa ujanja ujanja watapigwa 7 Tena na Brighton
 
Ingawa 7 ni nyingi lakini bado zinatoa point tatu kama anayeshinda 1-0 tu. Arsenal,man city,liverpool,n.k zimeshinda kwao nasi tumeshinda kwetu.
Mtizamo wa kwanza kabisa kwa EtH ilikuwa kufahamu anaenda kucheza away kwa Liverpool ili achukue tahadhali ya kutosha kwa maana ya kupata walau droo tu. Matokeo ya arsenal kwao na City kwao yalitosha kumwambia timu huwa na sura tofauti kwenye uwanja wa nyumbani maana hii ni EPL na sio Eredisie ambapo Ajax anashinda popote anapotaka kwa idadi ya magoli anayotaka.

Rotation ya wachezaji imekua ni shida kubwa sana hasa nafasi za ushambuliaji na kiungo. Mfano mzuri ni Bruno,amekuwa hapumzishwi mechi hadi mechi matokeo yake jana alikuwa anapiga pasi kama amejikwaa vile. Hii wengi wetu tutasema sababu ya kikosi kidogo lakini kuna mechi walau dakika 10-15 za mwisho weka wale madogo wa akademi wakajaribu kutushangaza pia.

Pamoja na kwamba ratiba imechangia sisi kufungwa kwenye hii mechi kwa 50%,ila fomu yetu nzuri ya ushindi imepelekea sisi kupoteza hii game kirahisi na kwa kudhalilika hivi. Tangu mwanzo wa mechi Peter Drury anasema De gea anaonyesha kuanza kupoteza muda ndani ya dakika 10 za mwanzo. Kwamba Man utd walijua watulize presha ya liverpool mwanzoni halafu muda wao wa kushinda mechi utafika wakati wowote. Hii kujiaminia muendelezo mzuri ukafanya tufungwe maana tuliamini bahati bado iko upande wetu siku zote.

Conversion rate ya Rashford inatia huzuni sana. Ana rekodi nzuri siku za hivi karibuni ila bado inategemeana ameamkaje siku ya mechi ili kukupa kiwango stahiki. Tunamhitaji striker wa maana kama msimu ujao tunataka kupambania ndoo kubwa kubwa na wenzetu na wala sio kumtegemea Rashford kwa kazi ya kuzalisha magoli.

Lesson learned and we move forward.
GGMU.
 
Hivi mko serious mnagombea EPL au top four?
Msimu wa kwanza wa kocha, msimu wa kwanza kwa baadhi ya wachezaji kuweza kuchukua kombe na kuweza kuwa tishio kwa timu zilizoko mbele yake kimsimamo basi ni mafanikio makubwa. Kila mtu acheze mechi zake mwisho wa siku utavuna unachostahili.
 
Jana tumechapika balaa, tuliingia kwenye mfumo wa wahuni na tukajaa kweli kweli, sema sio mbaya tumecheza game kibao mfululizo.

Muhimu tuko bado kwenye mashindano yote, nasemaje ubingwa wa EPL bado tunautaka mjiandae mlio juu huko tunakuja maana tusha maliza game za kufungwa zilizo baki ni kujipigia tu.

SEMA SABA NYINGI AISEE.
Game zilizobaki wakienda kichwa kichwa una wahuni wanaoshuka daraja na hakika kuna match Tatu mpaka nne za kupakatwa.Uingereza ni pahala pa ajabu sana.

Mpira wa jana Liver walivyoanza walikuwa kama hawana muda na Magoli..waliweka asali ambayo kulamba ni tamu ikikaa kidogo mdomoni chungu.

Tulifanywa mambo mabaya yasiyo na utu ndani yake..
 
Back
Top Bottom