hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Ngoja wakuatane na Brighton ambaye sio Arsenal au city au Liverpool anayemuweza Brighton kwenye buildup na kuupanga mpira chini ,wapeleke mpira wao wa ujanja ujanja watapigwa 7 Tena na BrightonNa huu ndiyo ukweli ambao mashabiki wa manyumbu wanaupuuza.
Wanacheza kihamasa zaidi kuliko mbinu za kueleweka za mpira.

