Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Oya Wakuu mechi imeshaisha jana mmetushambulia vya kutosha tunaomba muache kupost ugoro wenu humu mtupishe tuanze uchambuzi tunaelewana ?
Tutaondoka ila kwa makubaliano haya

Unywe chapati saba na seven up leo

Na uache kupitisha makalio yako kwenye uzi wa livapuli na asenali mpaka msimu ujao Maana wewe Una kiherehere kweli

Deal ?
 
Aliyefanya hivi tunataka tujue timu yake
FB_IMG_1678085003893.jpg
FB_IMG_1678085006506.jpg
FB_IMG_1678085009247.jpg
FB_IMG_1678085011763.jpg
FB_IMG_1678085014560.jpg
FB_IMG_1678085020217.jpg
FB_IMG_1678085022801.jpg
FB_IMG_1678085026622.jpg
FB_IMG_1678087541279.jpg
 
Dah hii game niliangalia first half nikapata dharura nikasepa sikuweza kurudi badae niko bize watu wanapita wanasema 7 nikasema nini tena kucheki livescore dah aibu sanaa.
 
United all the way!
Haya ni matokeo ya mpira tu.
The progress we have made so far is substantial.

Hawa Loserfools kutufunga goli 7, haiondoi maendeleo ya timu.

Na leo inaweza kuwa ni matokeo ya uchovu wa mechi nyingi toka Februari.

We will bounce back stronger.

GGMU
hata kama ni uchovu ndio mgongwe saba? 7
 
Back
Top Bottom