Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,859
Tutaondoka ila kwa makubaliano hayaOya Wakuu mechi imeshaisha jana mmetushambulia vya kutosha tunaomba muache kupost ugoro wenu humu mtupishe tuanze uchambuzi tunaelewana ?
Unywe chapati saba na seven up leo
Na uache kupitisha makalio yako kwenye uzi wa livapuli na asenali mpaka msimu ujao Maana wewe Una kiherehere kweli
Deal ?



