Sio aibu jana ilikua ni fedheha kabisa.Jana tumetia aibu sana..
Mkienda kucheza kwa kuheshimu wapinzani mtashindaGame ya Real Madrid na hawa wageni wetu wa alhamis pale OT Real Betis imeisha kwa 0 - 0
Jamaa wazuri sana na wana speed sana
Game yetu itakuwa nzuri na Ngumu
GGMU
Umeongea vizuri Sana ETH ni kocha mzuri lakini mdomo unammalizaArrogance ndio imewaua manu hii mechi... walikua na dharau sana kuelekea hii mechi, kuanzia mashaiki hadi kocha. Hata ETH alipohojiwa alijibu kwa dharau kuwa pitch ni ile ile, ball size ni ileile, sijui nini na nini... hii ni mechi kubwa kuliko zote england. Alitakiwa kuiheshimu, kaidharau sababu ya kushinda mechi kadhaa mfululizo na kujifanya kwenda toe to toe na timu ambayo iko nyumbani na ni mpinzani wao mkubwa wa jadi ambaye katoka kujeruhiwa mechi zilizopita... ni wazi watakuja na mzuka mkubwa dhidi ya mahasimu wao kurejesha imani kwa mashabiki...
ETH awe na heshima; alikifanya kuingia kichwa kichwa na mancity akala sita, jana kaingia kichwa kichwa kala wiki... asipokua anaheshimu baadhi ya mechi atakua aachezea sana... unaenda heza derby na approach unayoenda kucheza na southampton, lazima ule nyingi...

mdomo Sana kelele nyingi mno now atatuliaOya Wakuu mechi imeshaisha jana mmetushambulia vya kutosha tunaomba muache kupost ugoro wenu humu mtupishe tuanze uchambuzi tunaelewana ?



Oya Wakuu mechi imeshaisha jana mmetushambulia vya kutosha tunaomba muache kupost ugoro wenu humu mtupishe tuanze uchambuzi tunaelewana ?
Mambo ya kawaida katika soka, ukijaa umeumia.Sio aibu jana ilikua ni fedheha kabisa.
Huwa wanamdharau Sana yule jamaaHaya sasa semeni jana kakosekana nani?
Mnamsingizia kila siku mwanetu Magure, jana angekuwepo anagezipuza hata tatu.
Endelea kuchana katibaEndeleeni kukamia gemu za ManU....
msimu ujao mbaki Europa eeh![]()
Mwanangu mwenyewe Carrasco putin mtu wa Mungu sijamuona kabisa humu.Oya Wakuu mechi imeshaisha jana mmetushambulia vya kutosha tunaomba muache kupost ugoro wenu humu mtupishe tuanze uchambuzi tunaelewana ?
Nakuona afisa masoko una piga promoCheza hivi kwenye casino ya jupita
Kwa sasa Bet companies nyingi zime stukia huu mchezo na waka amua kuweka limit ya pesa kwenye kubet casino na victual games
Hii ni baada ya kupigwa sanaaa...
Wapo hawa Jupitabet ambao wo wana deal na casino pekee na bado hawaja pigwa na bado pia hawaja limit mzigo sasa kabla hawaja stukia issue acha ni share hii trick tumbomoe mpaka maji aite mma....
JINSI YA KUCHEZA..
Mchezo unatakiwa kua na option mbili (machaguo mawili) hapa kwenye hii jupita bet tuta deal na HEAD AND TAIL mchezo wa shilingi ambao unachagua either head or tail then una spin
Ikitokea umepatia unapata mara mbili ya dau lako yaani kama ukiweka buku maana yake unapata buku mbili.
Sisi tuna deal na option moja tu! Kama ni tail au head ni hiyo hiyo hatubadili ila tuna I manupilate odd
Huu mchezo uko programed kua pande mbili za shillingi hutokea kwa ku gawana silimia(probability) ,
Inaweza kua wameweka head ni 40% alaf tail ni 60%(mfano) hivyo pande zote mbili zina nafasi karibu sawa za kutokea....
Kuchagua upande mmoja maana yake ni ku multiply uwezekano wa kuotea hata kama huna bahati...
Hivyo kama utaweka HEAD yaani
HEAD mara ya kwanza
HEAD mara ya pili
HEAD mara ya tatu
HEAD mara ya nne
Kwenye mara hizo nne kuna zaidi ya asilimia 100 head hutoa walau mara moja, haiwezi kutoa tail tuu!! muda wote au head muda wote hua ina change sababu zime gawana asilimia za kutokea.
TUNA PIGAJE PESA
Kumbuka ukipatia unapata mara mbili ya dau lako
Tuseme unaweka buku 2000 na tunadeal na HAEAD
Round ya kwanza
mfano iwe TAIL yani ukose
=>hasara ni buku mbili (-2000)
Raundi ya pili
Tunaenda tena na HEAD ila safari hii una weka mara mbili yaani 4000
Assume tulekosa tena.... Yaani itoe Head.
=>Hapo hasara ni (2000+4000=6000)
Mara ya tatu tunaweka tena TAIL ila kama kawaida double tuna naweka 8000
=> hii ikitoa maana yake unakua na 160000
Ume tumia(2000+4000+8000=14000) wewe una 16000 faida 2000
Yani hata Ikitokea ya tatu haija toa unaenda ya nne ambayo ndio ya Mwisho hapo ni mara mbili ya 8000 ambayo ni 16000
Unatoa 32000
Ulitumia (2000+4000+8000+16000= 30000) wewe una 32000 faida 2000
Hapa sasa ni wewe na pumzi yako kuzipiga hizo buku 2000 kwa siku
Uzuri huu mchezo haupotezi muda ndani yani Dakika kisha eleweka..
Website yao ni jupitabet.live
Uki sign up wanakupa 1000 la kuanzia.
NB : Hii sio risk ni uhakika hapa ni speed yako tu ya kuzipiga hizo faida kwa siku..
link www.jupitabet.live
video
Umefungwa saba na kibonde liva haibadili ukweliHuo mpira ndo umenifanya nipo top 3
Chelkenge unapata wapi nguvu za kuja huku , forward mnayemtegemea ni huyu halafu man kuamini kuwa hamtoshuka daraja ..Usitupangie![]()
Hapana hatujaelewana Tulia hivyo hivyoOya Wakuu mechi imeshaisha jana mmetushambulia vya kutosha tunaomba muache kupost ugoro wenu humu mtupishe tuanze uchambuzi tunaelewana ?
Tutaondoka ila kwa makubaliano hayaOya Wakuu mechi imeshaisha jana mmetushambulia vya kutosha tunaomba muache kupost ugoro wenu humu mtupishe tuanze uchambuzi tunaelewana ?
Nenda jukwaa la sport memes tuache humu tuchambue timu yetu hata huruma hamna wazee tokea jana uzi huu upo juu mpaka leo ..