Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jana tumechapika balaa, tuliingia kwenye mfumo wa wahuni na tukajaa kweli kweli, sema sio mbaya tumecheza game kibao mfululizo.

Muhimu tuko bado kwenye mashindano yote, nasemaje ubingwa wa EPL bado tunautaka mjiandae mlio juu huko tunakuja maana tusha maliza game za kufungwa zilizo baki ni kujipigia tu.

SEMA SABA NYINGI AISEE.
 
No ni 2004/2005.

Stats zinaonesha Liverpool alisonga mbele mara mbili kwenye hatua zinazofuata kwa kukutoa, Kwangu bado hiyo ni dharau tu.
Ila liver kufungwa mara nyingi zaidi na barca ni heshima!

Siku hizi heshima ya klabu inapatikana kwa kufungwa zaidi na mpinzani wako?
 
Jana tumechapika balaa, tuliingia kwenye mfumo wa wahuni na tukajaa kweli kweli, sema sio mbaya tumecheza game kibao mfululizo.

Muhimu tuko bado kwenye mashindano yote, nasemaje ubingwa wa EPL bado tunautaka mjiandae mlio juu huko tunakuja maana tusha maliza game za kufungwa zilizo baki ni kujipigia tu.

SEMA SABA NYINGI AISEE.
Kiukweli mwamba Martinez alionekana kuchoka sana.

Fernandez alionekana kuchoka sana. Jana nilimkimbuka Mzee Ferguson

Alikuwa Fernandez apunzike, asianze, akae sabtzer...

Alikuwa amuweke margure, Bisaka, Malaysia na yule mswdesh backline.
 
Kiukweli mwamba Martinez alionekana kuchoka sana.

Fernandez alionekana kuchoka sana. Jana nilimkimbuka Mzee Ferguson

Alikuwa Fernandez apunzike, asianze, akae sabtzer...

Alikuwa amuweke margure, Bisaka, Malaysia na yule mswdesh backline.
Leo mtataja mizimu yote😂😂

Hakuna rangi mtaacha ona!
 
Kiukweli mwamba Martinez alionekana kuchoka sana.

Fernandez alionekana kuchoka sana. Jana nilimkimbuka Mzee Ferguson

Alikuwa Fernandez apunzike, asianze, akae sabtzer...

Alikuwa amuweke margure, Bisaka, Malaysia na yule mswdesh backline.
Sio mbaya tuangalie game zijazo tunashindaje.
 
Mpira wa man u, ni kama timu zilizo kwenye hatihati ya kushuka daraja. Mbinu zao zimejengwa zaidi kwenye hamasa, counter na defence basi.

Game ijayo mna southermpton, hapo mnaenda kupigiwa low block na counter attack. Sasa mna Mpira wa kufungua low block, tuanzie hapo kwanza.
Halafu mna Brighton mbabe wa aliye wapiga 7, Yan kazi mnayo mwaka huu
 
Ndugu zangu nimekuja mbele zenu kuomba msamaha sisi na nyinyi ni ndugu kwa hali tunazopitia fans wa United mwisho wa siku mtakosa wa kuwatania hapa tufe presha.

Tumekosa sisi
Tumekosa sana
Tunaomba mtusamehe

1657903745907.jpg
 
Mpira wa man u, ni kama timu zilizo kwenye hatihati ya kushuka daraja. Mbinu zao zimejengwa zaidi kwenye hamasa, counter na defence basi.

Game ijayo mna southermpton, hapo mnaenda kupigiwa low block na counter attack. Sasa mna Mpira wa kufungua low block, tuanzie hapo kwanza.
Halafu mna Brighton mbabe wa aliye wapiga 7, Yan kazi mnayo mwaka huu
Icho ndo kichapo Cha mwisho kwa mwezi huu mkuu hatufungwi tena huko Carrington viboko vipo kutembea kwa uzembe wa jana.
Screenshot_20230306-132633.jpg
 
Erik ten Hag and these players have already given us some exceptional memories this season.

In return the least we can all do is get behind the team after yesterday, it was awful but in the context of our season it really shouldn’t affect things too much.

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230306_130541_496.jpg
 
Manchester United and Chelsea are set to play pre-season matches in the US - against ambitious Wrexham, owned by Hollywood stars Ryan Reynolds & Rob McElhenney. Games scheduled for July.

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230306_123341_085.jpg
 
Back
Top Bottom