Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ten Hag: “We made the wrong decisions. That for me is unprofessional. I'm really disappointed and angry. We let our fans down. As a squad, as a team, you cannot allow this. You have to stick together and support each other and fight for each other. You have to defend.”

#TrustTheProcessETH
#UnitedfortheFans
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230306_121045_057.jpg
 
Arrogance ndio imewaua manu hii mechi... walikua na dharau sana kuelekea hii mechi, kuanzia mashaiki hadi kocha. Hata ETH alipohojiwa alijibu kwa dharau kuwa pitch ni ile ile, ball size ni ileile, sijui nini na nini... hii ni mechi kubwa kuliko zote england. Alitakiwa kuiheshimu, kaidharau sababu ya kushinda mechi kadhaa mfululizo na kujifanya kwenda toe to toe na timu ambayo iko nyumbani na ni mpinzani wao mkubwa wa jadi ambaye katoka kujeruhiwa mechi zilizopita... ni wazi watakuja na mzuka mkubwa dhidi ya mahasimu wao kurejesha imani kwa mashabiki...
ETH awe na heshima; alikifanya kuingia kichwa kichwa na mancity akala sita, jana kaingia kichwa kichwa kala wiki... asipokua anaheshimu baadhi ya mechi atakua aachezea sana... unaenda heza derby na approach unayoenda kucheza na southampton, lazima ule nyingi...
IMG_1034.jpg

Jamaa sijui anajiona nani.. ni unprofessional kuongea kauli kama hizo.

Maneno hayo ilitakiwa aongee shabiki na sio kocha.
 
Hizi dharau Liverpool hawezi kuzifanya mbele ya Real Madrid lkn anaweza kuzifanya mbele ya Man United na Barcelona. Inasikitisha sana.
Dharau gani liverpool anaweza ifanya mbele ya barcelona?

Au mpira umeanza kuangalia msimu wa UEFA 2018/2019?


Angalia stats za liver vs barca
2023_03_06_12_21_50-1.jpg
2023_03_06_12_22_11-1.jpg
2023_03_06_12_25_28-1.jpg
 
Cheza hivi kwenye casino ya jupita

Kwa sasa Bet companies nyingi zime stukia huu mchezo na waka amua kuweka limit ya pesa kwenye kubet casino na victual games

Hii ni baada ya kupigwa sanaaa...

Wapo hawa Jupitabet ambao wo wana deal na casino pekee na bado hawaja pigwa na bado pia hawaja limit mzigo sasa kabla hawaja stukia issue acha ni share hii trick tumbomoe mpaka maji aite mma....

JINSI YA KUCHEZA..

Mchezo unatakiwa kua na option mbili (machaguo mawili) hapa kwenye hii jupita bet tuta deal na HEAD AND TAIL mchezo wa shilingi ambao unachagua either head or tail then una spin

Ikitokea umepatia unapata mara mbili ya dau lako yaani kama ukiweka buku maana yake unapata buku mbili.

Sisi tuna deal na option moja tu! Kama ni tail au head ni hiyo hiyo hatubadili ila tuna I manupilate odd

Huu mchezo uko programed kua pande mbili za shillingi hutokea kwa ku gawana silimia(probability) ,

Inaweza kua wameweka head ni 40% alaf tail ni 60%(mfano) hivyo pande zote mbili zina nafasi karibu sawa za kutokea....

Kuchagua upande mmoja maana yake ni ku multiply uwezekano wa kuotea hata kama huna bahati...

Hivyo kama utaweka HEAD yaani

HEAD mara ya kwanza
HEAD mara ya pili
HEAD mara ya tatu
HEAD mara ya nne

Kwenye mara hizo nne kuna zaidi ya asilimia 100 head hutoa walau mara moja, haiwezi kutoa tail tuu!! muda wote au head muda wote hua ina change sababu zime gawana asilimia za kutokea.

TUNA PIGAJE PESA

Kumbuka ukipatia unapata mara mbili ya dau lako

Tuseme unaweka buku 2000 na tunadeal na HAEAD

Round ya kwanza
mfano iwe TAIL yani ukose

=>hasara ni buku mbili (-2000)

Raundi ya pili
Tunaenda tena na HEAD ila safari hii una weka mara mbili yaani 4000

Assume tulekosa tena.... Yaani itoe Head.

=>Hapo hasara ni (2000+4000=6000)

Mara ya tatu tunaweka tena TAIL ila kama kawaida double tuna naweka 8000

=> hii ikitoa maana yake unakua na 160000

Ume tumia(2000+4000+8000=14000) wewe una 16000 faida 2000

Yani hata Ikitokea ya tatu haija toa unaenda ya nne ambayo ndio ya Mwisho hapo ni mara mbili ya 8000 ambayo ni 16000

Unatoa 32000

Ulitumia (2000+4000+8000+16000= 30000) wewe una 32000 faida 2000

Hapa sasa ni wewe na pumzi yako kuzipiga hizo buku 2000 kwa siku

Uzuri huu mchezo haupotezi muda ndani yani Dakika kisha eleweka..

Website yao ni jupitacasino.site

Uki sign up wanakupa 1000 la kuanzia.

NB : Hii sio risk ni uhakika hapa ni speed yako tu ya kuzipiga hizo faida kwa siku..

link www.jupitacasino.site

video
Hebu tuache kidogo mzee.
 
Cheza hivi kwenye casino ya jupita

Kwa sasa Bet companies nyingi zime stukia huu mchezo na waka amua kuweka limit ya pesa kwenye kubet casino na victual games

Hii ni baada ya kupigwa sanaaa...

Wapo hawa Jupitabet ambao wo wana deal na casino pekee na bado hawaja pigwa na bado pia hawaja limit mzigo sasa kabla hawaja stukia issue acha ni share hii trick tumbomoe mpaka maji aite mma....

JINSI YA KUCHEZA..

Mchezo unatakiwa kua na option mbili (machaguo mawili) hapa kwenye hii jupita bet tuta deal na HEAD AND TAIL mchezo wa shilingi ambao unachagua either head or tail then una spin

Ikitokea umepatia unapata mara mbili ya dau lako yaani kama ukiweka buku maana yake unapata buku mbili.

Sisi tuna deal na option moja tu! Kama ni tail au head ni hiyo hiyo hatubadili ila tuna I manupilate odd

Huu mchezo uko programed kua pande mbili za shillingi hutokea kwa ku gawana silimia(probability) ,

Inaweza kua wameweka head ni 40% alaf tail ni 60%(mfano) hivyo pande zote mbili zina nafasi karibu sawa za kutokea....

Kuchagua upande mmoja maana yake ni ku multiply uwezekano wa kuotea hata kama huna bahati...

Hivyo kama utaweka HEAD yaani

HEAD mara ya kwanza
HEAD mara ya pili
HEAD mara ya tatu
HEAD mara ya nne

Kwenye mara hizo nne kuna zaidi ya asilimia 100 head hutoa walau mara moja, haiwezi kutoa tail tuu!! muda wote au head muda wote hua ina change sababu zime gawana asilimia za kutokea.

TUNA PIGAJE PESA

Kumbuka ukipatia unapata mara mbili ya dau lako

Tuseme unaweka buku 2000 na tunadeal na HAEAD

Round ya kwanza
mfano iwe TAIL yani ukose

=>hasara ni buku mbili (-2000)

Raundi ya pili
Tunaenda tena na HEAD ila safari hii una weka mara mbili yaani 4000

Assume tulekosa tena.... Yaani itoe Head.

=>Hapo hasara ni (2000+4000=6000)

Mara ya tatu tunaweka tena TAIL ila kama kawaida double tuna naweka 8000

=> hii ikitoa maana yake unakua na 160000

Ume tumia(2000+4000+8000=14000) wewe una 16000 faida 2000

Yani hata Ikitokea ya tatu haija toa unaenda ya nne ambayo ndio ya Mwisho hapo ni mara mbili ya 8000 ambayo ni 16000

Unatoa 32000

Ulitumia (2000+4000+8000+16000= 30000) wewe una 32000 faida 2000

Hapa sasa ni wewe na pumzi yako kuzipiga hizo buku 2000 kwa siku

Uzuri huu mchezo haupotezi muda ndani yani Dakika kisha eleweka..

Website yao ni jupitacasino.site

Uki sign up wanakupa 1000 la kuanzia.

NB : Hii sio risk ni uhakika hapa ni speed yako tu ya kuzipiga hizo faida kwa siku..

link www.jupitacasino.site

video
Cheza mwenyewe huo UJINGA wako,hapa tunazungumzia SENGE moja KUGONGWA 7 jana na sio mambo ya kucheza Jupita sijui,acha uchoko
 
Arrogance ndio imewaua manu hii mechi... walikua na dharau sana kuelekea hii mechi, kuanzia mashaiki hadi kocha. Hata ETH alipohojiwa alijibu kwa dharau kuwa pitch ni ile ile, ball size ni ileile, sijui nini na nini... hii ni mechi kubwa kuliko zote england. Alitakiwa kuiheshimu, kaidharau sababu ya kushinda mechi kadhaa mfululizo na kujifanya kwenda toe to toe na timu ambayo iko nyumbani na ni mpinzani wao mkubwa wa jadi ambaye katoka kujeruhiwa mechi zilizopita... ni wazi watakuja na mzuka mkubwa dhidi ya mahasimu wao kurejesha imani kwa mashabiki...
ETH awe na heshima; alikifanya kuingia kichwa kichwa na mancity akala sita, jana kaingia kichwa kichwa kala wiki... asipokua anaheshimu baadhi ya mechi atakua aachezea sana... unaenda heza derby na approach unayoenda kucheza na southampton, lazima ule nyingi...
Ni Opinion but not Facts.
Hakuna kitu kinaitwa arrogance kwenye mpira.
 
Back
Top Bottom